Wadau wa tasnia ya muziki wa kizazi kipya Tanzania. Njooni tujuzane kati ya wahasimu hawa wawili. Nani amenogesha zaidi uzinduzi wa album yake? Na kwa sababu gani?
Honestly mimi nime enjoy zaidi...
Wakuu salamu.
Naomba kuuliza,hivi kuna uwezekano wa ku-download series za kikorea ambazo zipo kwenye one folder.
Yaani,badala ya ku-download episode moja moja mpaka ziishe. Hakuna namna ambayo...
Wadau wa Entertainment natafuta hiyo album anayeweza kunisaidia kuipata itakuwa vyema sana.
Ina nyimbo nne nazo ni 1. Elephants Ambiance 2. Elephants a gagne
3. Tienbe Moin Fo na 4. Motema na...
Habari wadau,nimehangaika kwa muda mrefu kupata jina la wimbo huu bila mafanikio ni wimbo wa zamani na sehemu ya mashairi yake yanasema "NIMEACHANA NA MUME WANGU NIMEKWENDA KWA REHANI,BAADA YA...
Habari wakuu
Sihitaji kuwachosha niende kwenye mada.
Ni nyimbo zipi kwa bongo ulizipenda na mpaka sasa zikipigwa unakumbuka enzi hizo?
Kwa mfano: Mimi nyimbo za wasanii wa Daz Nundaz mfano...
Herode anamtafuta mtoto ambae amezaliwa.
Herode alifadhaika Sana moyoni, kusikia mfalme Yesu amezaliwa katika Bethlehem nchi ambayo Herode aliitawala.
Mtoto mfalme alie tabiriwa kuchukua...
RIWAYA; MAUAJI YA KIFO
MTUNZI; BAHATI MWAMBA
SIMU;0758573660.
Mwaka 2012
CHAYA-
Kikundi chao kilikuwa na watu wanne. Kikundi hiki kilikuwa na watu wanaopenda kujiongeza...
MUANDISHI: Dawa yenu
STORY: BURIANI SALIMA
Mapenzi ni kama ushairi, ushairi wa huba wenye beti murua zilizosukwa kiustadi na kupangiliwa kwa urari wa vina na mizani. Mapenzi ni zaidi ya bustani...
Habari zenu wana jamvi ,matumaini yangu muwazima wa afya .Kutokana na janga ya Corona lililopelekea kufungwa kwa shule kwa siku 30 , nimeingiwa na mawazo mengi sana na hatimaye nikaamua tu...
Diamond platnumz ameonyesha nijinsi gani tunapaswa kusapot mziki wa Tanzania
Tuache u timu
Mara timu mwijaku
Mara timu mondi
Mara timu wema
Mara timu harmo
Mara timu kiba
Amempost kijana kitu...
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
By Sangu Joseph
March 14, 2020 tulishuhudia Mkali Konde Boy, Tembo, Mmachinga wa zamani Harmonize akiweka historia ya kuzindua Albamu kibabe ya AfroEast na haya ni maoni yangu.
Kiukweli tangu...
By Sangu J
.
Katika maisha yangu ya Kitaaluma nimekuwa nikijiuliza sana nani anastahili heshima kwa mwenzake kati ya Msanii na Mtangazaji ni swali ambalo leo nadhani
nimelipatia majibu.
.
Ni mara...
Wadau,
Tuache unafiki tufike mbinguni. Usiku wa kuamkia leo ulikuwa mwanana, na nimefurahishwa na namna Harmonize alichokifanya. Full show was live, na jinsi alivyocheza na stage was stunning...
Waandaaji wa Tamthilia ya HUBA inayoonyeshwa DSTV, mmeanza kuunga unga na kuongeza watu wasio na umuhimu wowote mpaka mmeanza kutuudhi wafuatiliaji.
Kwa mfano suala la Uchawi wa kuwatoa kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.