Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau wa tasnia ya muziki wa kizazi kipya Tanzania. Njooni tujuzane kati ya wahasimu hawa wawili. Nani amenogesha zaidi uzinduzi wa album yake? Na kwa sababu gani? Honestly mimi nime enjoy zaidi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu salamu. Naomba kuuliza,hivi kuna uwezekano wa ku-download series za kikorea ambazo zipo kwenye one folder. Yaani,badala ya ku-download episode moja moja mpaka ziishe. Hakuna namna ambayo...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wa Entertainment natafuta hiyo album anayeweza kunisaidia kuipata itakuwa vyema sana. Ina nyimbo nne nazo ni 1. Elephants Ambiance 2. Elephants a gagne 3. Tienbe Moin Fo na 4. Motema na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau,nimehangaika kwa muda mrefu kupata jina la wimbo huu bila mafanikio ni wimbo wa zamani na sehemu ya mashairi yake yanasema "NIMEACHANA NA MUME WANGU NIMEKWENDA KWA REHANI,BAADA YA...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu Sihitaji kuwachosha niende kwenye mada. Ni nyimbo zipi kwa bongo ulizipenda na mpaka sasa zikipigwa unakumbuka enzi hizo? Kwa mfano: Mimi nyimbo za wasanii wa Daz Nundaz mfano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Walimu Wa Sayansi Tanzania Walimu Wa Sayansi Tanzania Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Herode anamtafuta mtoto ambae amezaliwa. Herode alifadhaika Sana moyoni, kusikia mfalme Yesu amezaliwa katika Bethlehem nchi ambayo Herode aliitawala. Mtoto mfalme alie tabiriwa kuchukua...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Dogo kachana kama 2pac,hii ndo hip-hop Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
18 Replies
5K Views
RIWAYA; MAUAJI YA KIFO MTUNZI; BAHATI MWAMBA SIMU;0758573660. Mwaka 2012 CHAYA- Kikundi chao kilikuwa na watu wanne. Kikundi hiki kilikuwa na watu wanaopenda kujiongeza...
6 Reactions
38 Replies
12K Views
MUANDISHI: Dawa yenu STORY: BURIANI SALIMA Mapenzi ni kama ushairi, ushairi wa huba wenye beti murua zilizosukwa kiustadi na kupangiliwa kwa urari wa vina na mizani. Mapenzi ni zaidi ya bustani...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamvi ,matumaini yangu muwazima wa afya .Kutokana na janga ya Corona lililopelekea kufungwa kwa shule kwa siku 30 , nimeingiwa na mawazo mengi sana na hatimaye nikaamua tu...
1 Reactions
4 Replies
645 Views
Diamond platnumz ameonyesha nijinsi gani tunapaswa kusapot mziki wa Tanzania Tuache u timu Mara timu mwijaku Mara timu mondi Mara timu wema Mara timu harmo Mara timu kiba Amempost kijana kitu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Kinga ni bora kuliko tiba Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
10. Runtown – Mad Over You (Nigeria) 92M views. 9. P-Square – Personally (Nigeria) 92M views. 8. Tekno – Pana (Nigeria) 106M views. 7. Yemi Alade – Johnny (Nigeria) 107M views. 6. Davido –...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
By Sangu Joseph March 14, 2020 tulishuhudia Mkali Konde Boy, Tembo, Mmachinga wa zamani Harmonize akiweka historia ya kuzindua Albamu kibabe ya AfroEast na haya ni maoni yangu. Kiukweli tangu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
By Sangu J . Katika maisha yangu ya Kitaaluma nimekuwa nikijiuliza sana nani anastahili heshima kwa mwenzake kati ya Msanii na Mtangazaji ni swali ambalo leo nadhani nimelipatia majibu. . Ni mara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Tuache unafiki tufike mbinguni. Usiku wa kuamkia leo ulikuwa mwanana, na nimefurahishwa na namna Harmonize alichokifanya. Full show was live, na jinsi alivyocheza na stage was stunning...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Waandaaji wa Tamthilia ya HUBA inayoonyeshwa DSTV, mmeanza kuunga unga na kuongeza watu wasio na umuhimu wowote mpaka mmeanza kutuudhi wafuatiliaji. Kwa mfano suala la Uchawi wa kuwatoa kina...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom