Sikiliza na angalia wimbo huu wa Bonta

jamaa namkubli sana...ana IQ kubwa sana ya kufikiri,,,pengine ni kwa sababu jamaa ni Doctor of medicine
Kati ya ngoma zake nazozikubali ni ile nyimbo ya NAUZA KURA YANGU,,WEUSI wanajivunia sana kuwa na huyu jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom