mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,744
Kutokana na teaser ilianza kusambaa tangu wiki ilioisha huko kwenye mitandao ya kijamii "FUNDI BORA KWAKO NI NANI" Hatimae leo mida ya saa nane majira ya mchana fumbo litaenda kufumbuliwa,
Je ni Lil Ommy, Sam Misago, Ammy Gal na Dj Mafuvu kutambulishwa rasmi Wasafi..? mimi sijui yetu macho na masikio
Kwa zama za sasa sio tu kwenye Media, hata huko kwenye Makampuni makubwa, Taasisi mwenye Kisu kikali ndio huwa mla nyama
Dakika zimesalia chache sana, Teka sikio fungua Jicho
fatilia live
Tchao
Je ni Lil Ommy, Sam Misago, Ammy Gal na Dj Mafuvu kutambulishwa rasmi Wasafi..? mimi sijui yetu macho na masikio
Kwa zama za sasa sio tu kwenye Media, hata huko kwenye Makampuni makubwa, Taasisi mwenye Kisu kikali ndio huwa mla nyama
Dakika zimesalia chache sana, Teka sikio fungua Jicho
fatilia live
Tchao