Dim Ray
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 320
- 249
Habari za muda huu? Matumaini yangu ni kwamba mko na afya njema. Kwa waliopata maswaibu Mungu awape nguvu, hata hayo pia yanapita.
Straight to the point, leo ninamzungumzia mwanamziki mashuhuri ambaye wengi bado wanamuita "King Of Pop", Michael Jackson aliyezaliwa mwaka 1958.
Kwenye familia yao walizaliwa watoto tisa, kaka 5, dada watatu na yeye, lakini pia yawezekana wangekua kumi sema kuna mmoja wa watoto wa Baba na Mama ake Michael aliyefariki tu baada ya kuzaliwa.
Mama yake Michael Jackson alikuwa ni Shahidi wa Yehova, na mwanamziki (ili kupata kipato) na baba yake alikuwa mpambanaji (hakuwa anafahamika sana, sijajua alipambana kimtaa au vipi)
Familia yao ilimezwa na ukata mkubwa wakiwa na vyumba viwili vya kulala kwa watoto tisa. Baba yao alikuwa na kipaji cha mziki kizuri na muda mwingi aliwafundisha wanawe muziki lakini kaka ake Micjael, Jermaine anathibitisha kwamba MJ alichezea sana bakora kutoka kwa babaye.
Kama familia ya kimziki kaka zake Michael Jackson akiwepo naye ,waliunda kundi la Jackson 5.............
Hayo sio yalio nileta jambo lenyewe liko hapo down 👇👇
Kuna albamu ya Invincible ya M.J inayotajwa kutumia $30 million kuiandaa inaonekana mkwanja mrefu ,ingawa ilipata msuguano latika kui 'release' kutokana na Sony ambayo ilikuwa record label ilokuwa na usimamizi wa kazi za M.J kutaka kupata MGAO mkubwa.
Straight to the point, leo ninamzungumzia mwanamziki mashuhuri ambaye wengi bado wanamuita "King Of Pop", Michael Jackson aliyezaliwa mwaka 1958.
Kwenye familia yao walizaliwa watoto tisa, kaka 5, dada watatu na yeye, lakini pia yawezekana wangekua kumi sema kuna mmoja wa watoto wa Baba na Mama ake Michael aliyefariki tu baada ya kuzaliwa.
Mama yake Michael Jackson alikuwa ni Shahidi wa Yehova, na mwanamziki (ili kupata kipato) na baba yake alikuwa mpambanaji (hakuwa anafahamika sana, sijajua alipambana kimtaa au vipi)
Familia yao ilimezwa na ukata mkubwa wakiwa na vyumba viwili vya kulala kwa watoto tisa. Baba yao alikuwa na kipaji cha mziki kizuri na muda mwingi aliwafundisha wanawe muziki lakini kaka ake Micjael, Jermaine anathibitisha kwamba MJ alichezea sana bakora kutoka kwa babaye.
Kama familia ya kimziki kaka zake Michael Jackson akiwepo naye ,waliunda kundi la Jackson 5.............
Hayo sio yalio nileta jambo lenyewe liko hapo down 👇👇
Kuna albamu ya Invincible ya M.J inayotajwa kutumia $30 million kuiandaa inaonekana mkwanja mrefu ,ingawa ilipata msuguano latika kui 'release' kutokana na Sony ambayo ilikuwa record label ilokuwa na usimamizi wa kazi za M.J kutaka kupata MGAO mkubwa.