Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

1 Reactions
4 Replies
2K Views
Collabo hizi za ndani ya Afrika kama zikitokea ni hatari saana....Ni muziki mzuri.. Diamond Platinumz ft Wizkid. Simi Ft Wizkid Vanesa mdee ft Burna Boy Alikiba ft Davido Patoranking ft...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habarini, Muumba aendelee kuwaepusha na korona! amina! Tumeshasikia sana na tunaendelea kusikia kuhusu 'dodo' huko mtaani na kuanza kulipwa kwa kodi kwa zile kaya maskini 500 huko tandale. hebu...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
TVE, mmekonga nyoyo za watazamaji! Na Mwl Sylvester, George Wambura Twitter @PGGeorgeJr Instagram @pg_georgejr +255716109169 georgesylvester35@yahoo.com Tukiwa bado katika sekeseke la ugonjwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kweli corona imekita, kudanganya haifai. Dunia yote walia, hata wenye utajiri. Wenzetu wanapambana, Siye bado hatujali. Pazuri pakipotea, tuje kumlaumu nani? Mlioshika madaraka, hivi...
2 Reactions
8 Replies
671 Views
baada ya kumpoteza lyrical and freestyle king ngwair,nmesikia mtu wa karibu anaeitwa mswaki akisema alikua anamsubir arud toka south watoe ngoma.Sasa nawahamasisha wasanii wa muziki aina zote...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Uzi huu kwa ajili ya kutaja character wa movie yoyote ile aliekuwa anafanya mauaji! Bila kosa lolote, yani yeye anamvizia mmoja mmoja anaua! Mimi naanza kuna Jason yeye movie zake ni za Friday...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Series zenye scene za mapenzi kama Spartacus, Banshee, Game of thrones na nyingine nyingi zenye mfanano na hizo ni series zilizobeba uhalisia kulinganishwa na zile nyingine ambazo hazina scene za...
2 Reactions
13 Replies
13K Views
Wapi nitapata free hii movie amecheza kira noir......Au mwenye nayo msaada please Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
22 Replies
15K Views
…Natumaini ni wazima wa afya. Habari zenu, ni vipindi gani vinakuvutia clouds fm pia tv, presenter gani bora pale mawingu. vitu gani wanavifanya mpaka redio kupendwa sana na vijana, redio zengine...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Guys hivi ni nyimbo gani kaliii za taratibu ambazo zinafaa kusikiliza hasa mida ya usiku..Ngoma laini zile zilizoimbwa kwa hisia kali. Mfano. Ed Sheeran_Thinking out loud Ed Sheeran_Perfect...
2 Reactions
40 Replies
20K Views
Tumeshazoea kuwaona wanamuziki mbali mbali wa Gospel wakimwimbia na kumtukuza Mungu, ila kwa mwanamama kutoka ireland , Enya Patricia Brennan aliyezaliwa mnamo 17 May 1961 , kwake ni tofauti...
4 Reactions
113 Replies
14K Views
Natumia smartphone naombeni namna ya kudownload series yangu with English subtitle anayejua atoe maelezo yakutosheleza please
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za mda wana jamvi, natumai mapambano dhidi ya mvamivi Corona yanaendelea tena kwa ufasaha mkubwa . Leo baada ya kuperuzi playlist yangu nimeibuka na ngoma ya mnyamwezi Breezy , inayoitwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau hii channel ya Wasafi TV mbona haionekani kwasisi tunaotumia DStv now app, wakati king'amuzi kimeshalipiwa au wameshaitoa!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Twajaa utimamu wa uwazimu, bila dhima twamhukumu imamu Huzunini twajifanyia karamu, Ramadhani twabugia kharamu Wenye wehu tumewapa hatamu, dhiki yetu itadumu dawamu Maumivu yatujia kwa jamu...
0 Reactions
1 Replies
855 Views
Patricia Hillary nakukumbuka kwa wimbo huu. Hauchuji leo wala kesho ni classic sana Chakushangaza niliambiwa wimbo huu Patricia aliutunga akiwa Tukuyu Kiwira magereza kwa wanyakyusa huko Mbeya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Sean Paul ft Kelly Rowland - How Deep is your love 2. Rick Ross ft Drake & Chrissete Michelle - Aston Martin Music 3. Rihanna - Man Down 4. Chris Brown - Back to sleep 5. Kranium ft...
2 Reactions
7 Replies
946 Views
IMEANDIKWA NA : HUSSEIN ISSA TUWA ********************************************************************************* Simulizi : Bondia Sehemu Ya Kwanza (1) Lango kuu la gereza la Ukonga jijini...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Kwanza kabisa niwapongeze kwa kazi nzuri na jitihada mnazozifanya kuhakikisha ulimwengu wa burudani unakua kwa kiwango cha 5G. Studio zenu kiukweli ni studio kali ambazo nilishawai kuziona hapa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom