Collabo hizi za ndani ya Afrika kama zikitokea ni hatari saana....Ni muziki mzuri..
Diamond Platinumz ft Wizkid.
Simi Ft Wizkid
Vanesa mdee ft Burna Boy
Alikiba ft Davido
Patoranking ft...
Habarini, Muumba aendelee kuwaepusha na korona! amina!
Tumeshasikia sana na tunaendelea kusikia kuhusu 'dodo' huko mtaani na kuanza kulipwa kwa kodi kwa zile kaya maskini 500 huko tandale. hebu...
TVE, mmekonga nyoyo za watazamaji!
Na Mwl Sylvester, George Wambura
Twitter @PGGeorgeJr Instagram @pg_georgejr
+255716109169
georgesylvester35@yahoo.com
Tukiwa bado katika sekeseke la ugonjwa...
Kweli corona imekita, kudanganya haifai.
Dunia yote walia, hata wenye utajiri.
Wenzetu wanapambana, Siye bado hatujali.
Pazuri pakipotea, tuje kumlaumu nani?
Mlioshika madaraka, hivi...
baada ya kumpoteza lyrical and freestyle king ngwair,nmesikia mtu wa karibu anaeitwa mswaki akisema alikua anamsubir arud toka south watoe ngoma.Sasa nawahamasisha wasanii wa muziki aina zote...
Uzi huu kwa ajili ya kutaja character wa movie yoyote ile aliekuwa anafanya mauaji! Bila kosa lolote, yani yeye anamvizia mmoja mmoja anaua!
Mimi naanza kuna Jason yeye movie zake ni za Friday...
Series zenye scene za mapenzi kama Spartacus, Banshee, Game of thrones na nyingine nyingi zenye mfanano na hizo ni series zilizobeba uhalisia kulinganishwa na zile nyingine ambazo hazina scene za...
…Natumaini ni wazima wa afya. Habari zenu, ni vipindi gani vinakuvutia clouds fm pia tv, presenter gani bora pale mawingu. vitu gani wanavifanya mpaka redio kupendwa sana na vijana, redio zengine...
Guys hivi ni nyimbo gani kaliii za taratibu ambazo zinafaa kusikiliza hasa mida ya usiku..Ngoma laini zile zilizoimbwa kwa hisia kali.
Mfano.
Ed Sheeran_Thinking out loud
Ed Sheeran_Perfect...
Tumeshazoea kuwaona wanamuziki mbali mbali wa Gospel wakimwimbia na kumtukuza Mungu, ila kwa mwanamama kutoka ireland , Enya Patricia Brennan aliyezaliwa mnamo 17 May 1961 , kwake ni tofauti...
Habari za mda wana jamvi, natumai mapambano dhidi ya mvamivi Corona yanaendelea tena kwa ufasaha mkubwa .
Leo baada ya kuperuzi playlist yangu nimeibuka na ngoma ya mnyamwezi Breezy , inayoitwa...
Patricia Hillary nakukumbuka kwa wimbo huu. Hauchuji leo wala kesho ni classic sana
Chakushangaza niliambiwa wimbo huu Patricia aliutunga akiwa Tukuyu Kiwira magereza kwa wanyakyusa huko Mbeya...
1. Sean Paul ft Kelly Rowland - How Deep is your love
2. Rick Ross ft Drake & Chrissete Michelle - Aston Martin Music
3. Rihanna - Man Down
4. Chris Brown - Back to sleep
5. Kranium ft...
IMEANDIKWA NA : HUSSEIN ISSA TUWA
*********************************************************************************
Simulizi : Bondia
Sehemu Ya Kwanza (1)
Lango kuu la gereza la Ukonga jijini...
Kwanza kabisa niwapongeze kwa kazi nzuri na jitihada mnazozifanya kuhakikisha ulimwengu wa burudani unakua kwa kiwango cha 5G. Studio zenu kiukweli ni studio kali ambazo nilishawai kuziona hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.