Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Binafsi toka Tz ipate Uhuru nyimbo nyingi sana nzuri nimezikubali ila kuna nyimbo nasema hakuna itakayotokea nikaipenda kama hiyo (toa suala la kuchuja), nazungumzia nyimbo pale imetoka ipo kwenye...
0 Reactions
3 Replies
922 Views
Kama hujaziona IP Man zote nne fanya kuzitafuta, Humu Don Yean anaonesha umuhimu wa hekima, busara na kupinga uonevu! Jamaa ni very simple guy with nice family, lakini upiganaji wake unaangusha...
2 Reactions
40 Replies
7K Views
MIKE MARTIN 1958-1996 (1) ILIKUWA ni alfajiri yenye mawingu mazito angani. Kila mtu alijua mvua ingenyesha siku hiyo kwani dalili zote za mvua zilikuwepo angani. Waliokuwa wamelala walizidi...
3 Reactions
35 Replies
17K Views
Kenya tumejinoa vikali kwenye muziki, wasanii kadhaa wa kadhaa wamejionyesha kuwa hao ndo mastaa wa Afrika Mashariki na ndo hawa: 1: Sautisol 2: Khaligraph Jones 3: Boondocks Gang 4: Otile Brown...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wasafi, Media House iliyokosa ubunifu yakinifu! Na Mwl Sylvester, George Wambura Twitter @PGGeorgeJr Instagram @pg_georgejr +255716109169 georgesylvester35@yahoo.com Ukiiongelea Wafasi Media...
7 Reactions
72 Replies
8K Views
Leo nimewasogezea shortfilm mpya kabisa ya kibogo. HEBU ichek halafu muwape maoni Hawa jamaaa. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
2K Views
K’naan (KEINAN ABDI WARSAME) ni msanii kutoka CANADA na pia ni mzaliwa wa SOMALIA mjini Mogadishu. Watu wengi wanamtambua kwa nyimbo yake maarufu ya waving flag ambayo aliitunga kwaajili ya...
8 Reactions
21 Replies
5K Views
Mwandishi: Erick Shigongo MIKE MARTIN 1958-1996 ILIKUWA ni alfajiri yenye mawingu mazito angani. Kila mtu alijua mvua ingenyesha siku hiyo kwani dalili zote za mvua zilikuwepo angani. Waliokuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni lipi jina la nyimbo? Raha Nani anazungumziwa? Mwanamme Tabia gani amebebeshwa mwanamme (katika wimbo huu)? Mwanamme amebebeshwa sifa mbili nzuri na mbaya kwanza amezungumziwa kama ni...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Completely, wanna give my love, completely I'd rather be alone than be in love just half the way I want to find someone that I can trust, completely Wanna give my heart, completely To someone...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Nakupenda ugali dagaa.. sijui Kama unajua. Npo tayar kulala njaa.. Kuliko kula vitumbua. Wew kwangu nishujaa..sitakusaliti kwa kibua. Nikuonapo nitakaa..nashati nitavua. Katu sitakugaa..hata...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wanazi au wapenzi wa Drama kutoka pande za Korea Kusini nadhani mtakuwa mnafahamu kuhusu Joseon. Taifa lililokuwepo miaka ya 1300 - 1800 k.m. Nimeandaa Drama kali 10 ambazo zinaelezea...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Mke mmoja hatoshi tuache kukariri. Kulisha gari moshi pekee hahimili. Kitumbua kimoja hakichoshi? utamu viwe viwili. Uku ukinyimwa pishi Unaenda kwa wapili Jiko moja haliivishi raha yawe mawili...
0 Reactions
4 Replies
921 Views
Mambo vipi wakuu? Mara baada ya kupitia lile group letu la series kiukweli nimeona nihitimishe kwenye huu uzi wangu. Series nilizoangalia mpaka sasa na kuzipa nyota 5, ambazo pia nakushaur...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Siku hizi imekuwa kero kuzisikiliza baadhi ya nyimbo nyingi za muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania kwani nyimbo hizi zimejaa mashairi yaliyobeba maudhui yenye matusi. Mbaya zaidi nyimbo hizi...
1 Reactions
49 Replies
9K Views
Habari za sasa wakuu.. Hivi nyimbo za hip hop ni lazima ziwe na punchlines Mimi kwa mtazamo wangu naona ni lazima kuwepo na hizo Punch lines. Ili zinoge na kuleta flavour halisi ya kihiphop...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ok
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Usipokua na hela, kupendwa usahau Mapenzi yatakukera, utaambulia dharau Kisa huna mshahara, mapenzi yanakuwa jau Ukiwa mzuri wa sura, hapo kidogo angalau Sie wenye sura kama chura, tuile tu pilau
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom