miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
Huyu jamaa alikuwa ni bonge sio sana sema ana mwili wa kibabe fulani.Alitamba sana miaka ya 2000s
Nakumbuka alishawahi kuwa ngoma inazungumzia kuwa anawapenda mademu wasiopenda chapaa na kitu kinachonifanya niikumbuke ile video ndani kulikuwa na muigiza wa kike enzi hizo:Sandra
Sasa ningependa wakuu mnikumbushe jina huyu jamaa kwa sababu kitambo sijamuona na nilitaka kujikumbusha ngoma zake za kitambo.
Nakumbuka alishawahi kuwa ngoma inazungumzia kuwa anawapenda mademu wasiopenda chapaa na kitu kinachonifanya niikumbuke ile video ndani kulikuwa na muigiza wa kike enzi hizo:Sandra
Sasa ningependa wakuu mnikumbushe jina huyu jamaa kwa sababu kitambo sijamuona na nilitaka kujikumbusha ngoma zake za kitambo.