Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari wadau, Napenda kuwapongeza Clouds TV - State of Arts - Kwisa kwa kuanzisha kipindi chenye mikasa ya kutisha ambayo ni ya kweli iliyowatokea watu. Episode ya kwanza ilikuwa jamaa(bodaboda)...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Devil kingdom ya Kanumba, nimejaribu kufekenyua u-tube hadi snaptube wapi. Mwenye link yake anisaidie
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Musiq Soulchild - Say I Do . Taylor Swift - Superstar . Michael Bolton - I Promise . Maroon5 ft Gwen Stephen - My Heart is Open . One Direction - Ready to Run . One Direction - Story of My Life...
2 Reactions
5 Replies
905 Views
Leo katika pekua pekua kwenye kumbukumbu zangu, nikakutana na karatasi, nilikua nimeandika majina ya wanamuziki ambao nikua na kanda zao, (Tap) Nikaona ni share na member wenzangu hapa, nadhani...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika series nilizoangalia na kuinjoy hii inaingia katika list ikiongozwa na baba la series PRISON BREAK. Kwenye character wa hii series niliyemkubali ni mtu mzima DENVER hasa lile cheko lake...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Mimi nitaangalia movie categories zote ila category ya Science Fiction (Sci-Fi) inanipa tabu sana kuangalia movie zake. Nilianza kuangalia movie za Sci-Fi za Spider-Man, miaka hiyo Spider-Man ni...
5 Reactions
48 Replies
5K Views
FUMBO (01) PUA za Leila ziliipokea harufu ya manukato iliyopozwa na kiyoyozi, mara baada ya kufungua mlango na kuingia ofisini. Chini, sakafu ilifichwa na zulia la sufi. Juu, taa zenye rangi...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
SEHEMU YA 1 Sitausahau mwaka 1978. Nina sababu tatu za kutousahau mwaka huo. Sababu ya kwanza ni kuwa kulitokea vita vya Kagera. Majeshi ya Iddi Amin aliyekuwa Rais wa Uganda yalivamia nchi yetu...
18 Reactions
161 Replies
150K Views
Hili swala huwa linanisumbua sana, hivi bongo movie walikosea wapi mpaka hawa wakorea wameteka soko. Kuanzia Nyumbani, kwenye usafiri, vibanda umiza kote ni Korean drama. Popote kwenye Tv na deki...
2 Reactions
38 Replies
10K Views
Wizkid ft Chris Brown__African Bad Gyal. Wizkid ft Drake_Come Closer. Wizkid ft Ty Dolla Sign__One For Me. Wizkid Ft Ty Dolla Sign__Dirt Wine Wizkid ft Major Lazer__Naughty Ride Wizkid ft...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
" Sasa hivi kumbi na baa zimefungwa hatupigi muziki kwa sababu ya Corona, nimewasaidia kuwalipa mshahara wanamuziki wangu kwa mwezi mmoja na mimi nimeishiwa nina wasanii zaidi ya 40, wengine...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika kibao chake kiitwacho Baba Lao, nyota wa muziki anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania Diamond Platnumz ameimba maneno haya katika moja ya verses kwenye wimbo huo "Eeeh! Tumewachapa...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimewawekea video hapa chin, toa maoni yako, inapendeza wagonjwa wana afya nzuri kabisa.. [emoji116][emoji116][emoji116] Sent using Jamii Forums mobile app
5 Reactions
54 Replies
5K Views
Huyu kijana ni most talented na amejaa mafuta ya Roho wa Mungu. Mungu amwinue zaidi
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naona weekend speacial nyingi zimekua ni muziki wa kizazi kipya, naomba watoto wadogo mtupe nafasi watu wazima nasi tujidai kidogo weekend hii tupate miziki ya batu bazima, na kanyimbo haka...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Miss World Pageant contestant Richa Maria Adhia of Tanzania poses for photos at Yalong Bay in Sanya, Thursday, Nov. 29, 2007 Miss World Pageant contestants from left, Nigeria's Munachi...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wakuu heshima sana! Tafadhali naomba msaada wa jinsi ya kufanya malipo kwenye netflix. Awali sikuwa na shida na nilitumia VISA card kujisajili kwa ajili ya malipo. Baada ya VISA card ku-expire...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hizi ni GiftCard Ambazo unatumia kulipia netflix yako!! Hauna haja ya kuweka credit or Debit card wala Paypal account!!! Ukienda kwenye sehemu ya payments Utaona kuna sehemu wameandika Redeem...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda tujuane wale wote tunaofuatilia mziki wa TRAPMETAL. Au kwa wale wasio ujua, lakini wamechoka mainstream music wanaweza fanyia utafiti hii, tunawakalibisha sana kwenye hii dark community...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wapenda filamu wenzangu. Ni siku nyingine tena tumepewa nafasi ya kukutana hapa na kujadiliana mambo kadhaa kadhaa kuhusu utazamaji wa filamu, starehe ambayo kwa sasa ukizingatia na hali ya...
24 Reactions
107 Replies
15K Views
Back
Top Bottom