Nilikuwa sijui kama Musumbiji wana muziki wa aina gani; mwanzoni niliamini kuwa ni kama wa kwetu, lakini sasa naona kama muziki wao uko kwenye muziki wa kitamaduni wa Afrika ya Kusuini unaoitwa Mbaqanga. Ni muziki uliochezwa sana na Soul Brothers na Mahotella Queens. Kwa hiyo sijuia huwa wanapokea muziki wa kitanzania.Hujaeleweka