Kama wewe ni msanii na una mpango wa kutoa wimbo ukamshirikisha huyu kijana wa Tandale inabidi ujiandae vya kutosha. Zaidi ya hapo mwachie tu wimbo uwe wake tu kama alivofanya Innos' B na Yope...
Habari zenu wana Jf matumaini yangu muwazima wa afya. Matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea vizuri.
Kipindi hiki cha almost a week muda ninaokuwa free nimeamua kuingia kwenye...
Kuna mauno yanavunjwa na mabinti kwenye video ya Jeje ya Diamond, On the Low ya Burna boy pamoja na Joro ya Wizkid. Hizi nyimbo zina mahadhi yanayofanana.
Unafikiri ni yupi aliyepiga mauno mazuri...
Wakuu kwema?
Kuna msanii wa reggae mbongo jina limenitoka
Aliimba nyimbo nyingi ila ninayoikumbuka sana ni ile ya Money Money Pesa
Nyimbo hii iliimbwa miaka ya tisini
Kwa anayemjua msanii na...
Angelina Jolie is teaming up with Netflix to direct an adaptation of "First they Killed My Father: A Daughter of Cambodia Remembers."
The online streaming service announced the news Thursday...
; NILIPOMUAMSHA SHETANI WA MUME WANGU--- SEHEMU YA KWANZA.
“Kwahiyo ndiyo unanirudia saa nne? Unajiona mw3anaume sana na hao rafiki zako ambao kila siku wanakudanganya? Wenzako hawajaoa lakini...
Kampuni ya Vevo ilizaliwa mwaka 2009 huko Marekani kwa lengo la kutoa huduma za usambazaji maudhui ya wasanii hasa waimbaji kwa kuambatanisha na matangazo ili waweze kujipatia kipato. Vevo...
Uziri ni kitu gani uzuri ? uzuri wapimwa vipi?
Uzuri upo dukani kama wanunua pipi?
Uzuri ule wa ndani , au umbo la halisi?
Uzuri hasa ni nini? Na upo sehemu gani ?
Uzuri kalio kubwa linalozidi...
Mshauri wa maswala ya kifedha anaiingiza familia yake kwenye biashara ya madawa ya kulevya ambapo anatakiwa kutakatisha $500 Millioni ndani ya miaka mitano kutoka kwa wauza madawa ya kulevya...
Tamthilia pendwa ya Maneno ya Kuambiwa hatimaye imefika ukingoni, ni moja kati ya tamthilia bora kwa ukanda huu wa Afrika ya Mashariki. Katika mfululizo wa episode za tamthilia hiyo, kuna wasanii...
Mmewahi kuusikia wimbo wa Chid Benz uliojaa matusi yasiyoandikika kama nat..ba mademu kibao nk nk! halafu kila baada ya mstari anamalizia na neno kum...ko! chid hii si sawa pamoja na studio...
YOU KNOW THE TASTE EEEH!? haya sasa Music and fashion combined INAKUAJE? ok haha! Unaeza ita BEST COMBINATION ipo hapa..
[emoji92][emoji440]
Sent using Jamii Forums mobile app
Solo Thang salute kwako brother.
Hii Nyimbo nilikuwa nikiisikiliza napata hofu kweli kipindi hiko nipo darasa la 6E
Alichokiimba ndio Corona Virus inavyotufanya Sasa.
Sent using Jamii Forums...
A Boy From Tandale Kwa miaka miwili Stream 5.48
Afro East Ndani ya Mwezi Mmoja Stream 5.01
Ni kwamba yale Marobot ya Youtube uku uwa hayapenyi au Album ya Diamond ilikua Mbovu,? Ya konde Boy ni...
Nimesikitishwa sana na maneno ya matusi dhidi ya BSS yaliyotolewa na kijana aliyeonekana yuko humble sana na kumbe hayuko hivyo.
Hamis bado una safari ndefu ambayo ndio kwanza ulikuwa...
Wale wazee wa kuponda walioanzisha Kampeni ya kuuponda wimbo wa Dodo Mko wapi, Leo ni Siku ya 12 Namba 1 Trending, Views 3.3m
Pamoja na Promo aliyopewa Zuchu Ndani na nje ya Nchi, Team WCB, WCB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.