Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama wewe ni msanii na una mpango wa kutoa wimbo ukamshirikisha huyu kijana wa Tandale inabidi ujiandae vya kutosha. Zaidi ya hapo mwachie tu wimbo uwe wake tu kama alivofanya Innos' B na Yope...
7 Reactions
36 Replies
6K Views
Safari ya Denis na Maria katika Maisha, walikunywa na kula mvua na jua kila kuchwao.... Riwaya ya Kiswahili "TOKOMEZO" Starxav
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Habari zenu wana Jf matumaini yangu muwazima wa afya. Matumaini yangu mapambano dhidi ya Corona yanaendelea vizuri. Kipindi hiki cha almost a week muda ninaokuwa free nimeamua kuingia kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mauno yanavunjwa na mabinti kwenye video ya Jeje ya Diamond, On the Low ya Burna boy pamoja na Joro ya Wizkid. Hizi nyimbo zina mahadhi yanayofanana. Unafikiri ni yupi aliyepiga mauno mazuri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Kuna msanii wa reggae mbongo jina limenitoka Aliimba nyimbo nyingi ila ninayoikumbuka sana ni ile ya Money Money Pesa Nyimbo hii iliimbwa miaka ya tisini Kwa anayemjua msanii na...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Angelina Jolie is teaming up with Netflix to direct an adaptation of "First they Killed My Father: A Daughter of Cambodia Remembers." The online streaming service announced the news Thursday...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
; NILIPOMUAMSHA SHETANI WA MUME WANGU--- SEHEMU YA KWANZA. “Kwahiyo ndiyo unanirudia saa nne? Unajiona mw3anaume sana na hao rafiki zako ambao kila siku wanakudanganya? Wenzako hawajaoa lakini...
7 Reactions
96 Replies
24K Views
Kampuni ya Vevo ilizaliwa mwaka 2009 huko Marekani kwa lengo la kutoa huduma za usambazaji maudhui ya wasanii hasa waimbaji kwa kuambatanisha na matangazo ili waweze kujipatia kipato. Vevo...
4 Reactions
3 Replies
4K Views
Uziri ni kitu gani uzuri ? uzuri wapimwa vipi? Uzuri upo dukani kama wanunua pipi? Uzuri ule wa ndani , au umbo la halisi? Uzuri hasa ni nini? Na upo sehemu gani ? Uzuri kalio kubwa linalozidi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mshauri wa maswala ya kifedha anaiingiza familia yake kwenye biashara ya madawa ya kulevya ambapo anatakiwa kutakatisha $500 Millioni ndani ya miaka mitano kutoka kwa wauza madawa ya kulevya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tamthilia pendwa ya Maneno ya Kuambiwa hatimaye imefika ukingoni, ni moja kati ya tamthilia bora kwa ukanda huu wa Afrika ya Mashariki. Katika mfululizo wa episode za tamthilia hiyo, kuna wasanii...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Waambie na mwenzio hii si yakukosa kwa Wapenzi Wa Burudani.. Sapot Mziki Wa Tanzania Pia Endelea kuangalia OMUKWANO na DODO
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Msanii mkali wa miondoko ya RnB nchini, Banana Zoro anaongea na Babuu wa Kitaa muda huu kupitia Safari Lager Kizibo Challenge. Mfuatilie hapa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mmewahi kuusikia wimbo wa Chid Benz uliojaa matusi yasiyoandikika kama nat..ba mademu kibao nk nk! halafu kila baada ya mstari anamalizia na neno kum...ko! chid hii si sawa pamoja na studio...
0 Reactions
31 Replies
18K Views
YOU KNOW THE TASTE EEEH!? haya sasa Music and fashion combined INAKUAJE? ok haha! Unaeza ita BEST COMBINATION ipo hapa.. [emoji92][emoji440] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
524 Views
Solo Thang salute kwako brother. Hii Nyimbo nilikuwa nikiisikiliza napata hofu kweli kipindi hiko nipo darasa la 6E Alichokiimba ndio Corona Virus inavyotufanya Sasa. Sent using Jamii Forums...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
A Boy From Tandale Kwa miaka miwili Stream 5.48 Afro East Ndani ya Mwezi Mmoja Stream 5.01 Ni kwamba yale Marobot ya Youtube uku uwa hayapenyi au Album ya Diamond ilikua Mbovu,? Ya konde Boy ni...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Nimesikitishwa sana na maneno ya matusi dhidi ya BSS yaliyotolewa na kijana aliyeonekana yuko humble sana na kumbe hayuko hivyo. Hamis bado una safari ndefu ambayo ndio kwanza ulikuwa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wale wazee wa kuponda walioanzisha Kampeni ya kuuponda wimbo wa Dodo Mko wapi, Leo ni Siku ya 12 Namba 1 Trending, Views 3.3m Pamoja na Promo aliyopewa Zuchu Ndani na nje ya Nchi, Team WCB, WCB...
9 Reactions
76 Replies
8K Views
Back
Top Bottom