Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Weekend tulivu, Mwalimu John kapozi zake Huku akifuafua vijisarawili vyake viwili vitatu kuisindikiza. Akiwa bize kufua na kule simu inaita, kuitazama Namba ngeni. Anaipokea taratibu sauti...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimetengeneza game nakuliweka Play Store, ni game gumu kwa atakayeweza fika kuanzia level ya 3 na kuendelea atume screenshot. [emoji23] Liko Play Store only, search Pixelpunk Pixelpunk - Cyberpunk...
5 Reactions
123 Replies
12K Views
KIONJO! Kweli nimeamini kuwa asali haionjwi, ni lazima utarudia tu kuionja mpaka utakapo imaliza yote na katika harakati za kuisaka asali iliyo bora ujiandae kung’atwa na nyuki. Hayo ndiyo...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
LA Casa De Papel ndio jina la huu mzigo. Ulianza kwenda hewani mapema mwaka 2017 ila binafsi nilichelewa kuudaka mpaka mwishoni mwishoni mwaka jana(2018!) Kiukweli ni moja kati ya TV Shows ambazo...
13 Reactions
198 Replies
25K Views
Nimetazama the queen of the south, nacos seal pia. ya Naomba series nyingine nje ya hizi lakini zinazoendana na hizi. Pia kama kuna mtu anajua series zenye hadhi ya game of thrones au spartacus...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hizi nyimbo zote ni mpya, na zina mahadhi yanayofanana... Dodo iliachiwa jana chini ya Kings music na Wana imeachiwa leo chini ya Wasafi label Kwa mtazamo wako upi wimbo ni mkali kuliko mwingine...
3 Reactions
34 Replies
7K Views
Habari wakuu Naomba msaada kwa mwenye anaweza kuwa na nyimbo (Audio) orijinal za ulbum ya sauti ikatoka ya kwaya ya vijana mabibo anitumie Hapa au kwa telegram,whatsapp 0764339400 Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The African princess ni moja ya wasanii wa kike wanaofanya vizuri kwa sasa ndani na nje ya nchi, enjoy muziki mzuri.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
'We Men' ni series mpya ya Kitanzania inayoonyeshwa kwenye Instagram page ya Maxrioba. Maudhui yake ni ya mapenzi (kama kawa). Kwa story nzima mnaweza kwenda kuiangalia huko Instagram...
7 Reactions
30 Replies
4K Views
Leo wakati nataka kuchek Quarantine ya Diamond nikajikuta nashuhudia maajabu na rekodi mpya ambayo Diamond Platnumz ameivunja. Tukio lake la kuweka rekodi hiyo limetokea dakika chache zilizopita...
8 Reactions
167 Replies
19K Views
Nafikiri kwenye 3d hakuna future Wala present ni past tu so ni lazima tufe coz tulishakufagaa. to see the future is like to remember how it was. To see the future and you living straight to no...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau nahitaji kujua maana ya yale mashairi yaliyopo kwenye huo wimbo wa huyu mwanadada raia wa Ireland aliouimba nikiri kusema ni moja kati ya NYIMBO BORA DUNIANI iliyowahi kuimbwa.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo nimepata nimekuta nyimbo mpya ya Harmonize inaitwa CCM nimeisikiliza nimegundua amekuwa mpuuzi japokuwa anapata pesa Ila nimemtoa maana kwakuwa anatugawa Sasa mashabiki AUDIO Harmonize CCM...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Hi guy's Nimeicheki hii TV show mpya ya wasafi TV Ni kwamba Hatuwezi kusema ni new idea au creativity but Nimeona utofauti fulani. Watu wanaweza kuifananisha na TV-E show ya homa,au CLOUDS TV...
7 Reactions
34 Replies
6K Views
Habarini wadau, Mimi ni mpenzi na mfuatiliaji sana wa ngoma za kitambo mziki ulipoitwa mziki. Muziki wenyewe nnauongelea hapa ni zile ngoma nyeusi, kubum kubam za mbele za miaka ya 1988 mpaka...
1 Reactions
1 Replies
904 Views
Mimi ni bingwa wa kucheki mamovie ya kutisha tisha sana mpaka home walikuwa wakiona nawasha tv au naweka CD watu hukimbia vyumbani. Asikudanganye mtu hizi movies kuzicheki lazima uwe na two...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Salaam Wakuu, Kwa wale wapenzi wa nyimbo zenye mahadhi ya reggae na riddim lazima mtakua mnawafahamu hawa jamaa wanaoitwa Morgan Heritage. Jamaa hawa ambao ni ndugu wa tumbo moja waliunda kundi...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Nakuleteeni swali, wajuzi wa maarifa, Mlojaliwa akili, na bongo zisizokufa, Muwezao ona mbali, naombeni maarifa, Mapenzi ni kitu gani? Mapenzi ni kitu gani, swali langu nauliza, Kwani...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
TUTAFIKA SALAMA MKE WANGU. Na, Robert Heriel Miaka ilienda nayo haikurudi, muda ukapita wala hatukuuona tena. Ahadi nilizomuahidi sasa aliziona ni ndoto ya mchana. Ndoto za alinacha kamwe...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mfalme muda wowote kuanzia sasa anaenda kuachia pin Mpya inayokwenda kwa jina LA so hot. Ni ngoma matata usipime ===============
1 Reactions
187 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…