Weekend tulivu, Mwalimu John kapozi zake Huku akifuafua vijisarawili vyake viwili vitatu kuisindikiza. Akiwa bize kufua na kule simu inaita, kuitazama Namba ngeni. Anaipokea taratibu sauti...
Nimetengeneza game nakuliweka Play Store, ni game gumu kwa atakayeweza fika kuanzia level ya 3 na kuendelea atume screenshot. [emoji23]
Liko Play Store only, search Pixelpunk
Pixelpunk - Cyberpunk...
KIONJO!
Kweli nimeamini kuwa asali haionjwi, ni lazima utarudia tu kuionja mpaka utakapo imaliza yote na katika harakati za kuisaka asali iliyo bora ujiandae kung’atwa na nyuki.
Hayo ndiyo...
LA Casa De Papel ndio jina la huu mzigo. Ulianza kwenda hewani mapema mwaka 2017 ila binafsi nilichelewa kuudaka mpaka mwishoni mwishoni mwaka jana(2018!)
Kiukweli ni moja kati ya TV Shows ambazo...
Nimetazama the queen of the south, nacos seal pia. ya Naomba series nyingine nje ya hizi lakini zinazoendana na hizi.
Pia kama kuna mtu anajua series zenye hadhi ya game of thrones au spartacus...
Hizi nyimbo zote ni mpya, na zina mahadhi yanayofanana...
Dodo iliachiwa jana chini ya Kings music na Wana imeachiwa leo chini ya Wasafi label
Kwa mtazamo wako upi wimbo ni mkali kuliko mwingine...
Habari wakuu
Naomba msaada kwa mwenye anaweza kuwa na nyimbo (Audio) orijinal za ulbum ya sauti ikatoka ya kwaya ya vijana mabibo anitumie
Hapa au kwa telegram,whatsapp 0764339400
Asanteni
'We Men' ni series mpya ya Kitanzania inayoonyeshwa kwenye Instagram page ya Maxrioba. Maudhui yake ni ya mapenzi (kama kawa). Kwa story nzima mnaweza kwenda kuiangalia huko Instagram...
Leo wakati nataka kuchek Quarantine ya Diamond nikajikuta nashuhudia maajabu na rekodi mpya ambayo Diamond Platnumz ameivunja.
Tukio lake la kuweka rekodi hiyo limetokea dakika chache zilizopita...
Nafikiri kwenye 3d hakuna future Wala present ni past tu so ni lazima tufe coz tulishakufagaa. to see the future is like to remember how it was. To see the future and you living straight to no...
Wadau nahitaji kujua maana ya yale mashairi yaliyopo kwenye huo wimbo wa huyu mwanadada raia wa Ireland aliouimba nikiri kusema ni moja kati ya NYIMBO BORA DUNIANI iliyowahi kuimbwa.
Leo nimepata nimekuta nyimbo mpya ya Harmonize inaitwa CCM nimeisikiliza nimegundua amekuwa mpuuzi japokuwa anapata pesa Ila nimemtoa maana kwakuwa anatugawa Sasa mashabiki
AUDIO Harmonize CCM...
Hi guy's
Nimeicheki hii TV show mpya ya wasafi TV
Ni kwamba Hatuwezi kusema ni new idea au creativity but Nimeona utofauti fulani.
Watu wanaweza kuifananisha na TV-E show ya homa,au CLOUDS TV...
Habarini wadau,
Mimi ni mpenzi na mfuatiliaji sana wa ngoma za kitambo mziki ulipoitwa mziki. Muziki wenyewe nnauongelea hapa ni zile ngoma nyeusi, kubum kubam za mbele za miaka ya 1988 mpaka...
Mimi ni bingwa wa kucheki mamovie ya kutisha tisha sana mpaka home walikuwa wakiona nawasha tv au naweka CD watu hukimbia vyumbani.
Asikudanganye mtu hizi movies kuzicheki lazima uwe na two...
Salaam Wakuu,
Kwa wale wapenzi wa nyimbo zenye mahadhi ya reggae na riddim lazima mtakua mnawafahamu hawa jamaa wanaoitwa Morgan Heritage. Jamaa hawa ambao ni ndugu wa tumbo moja waliunda kundi...
Nakuleteeni swali, wajuzi wa maarifa,
Mlojaliwa akili, na bongo zisizokufa,
Muwezao ona mbali, naombeni maarifa,
Mapenzi ni kitu gani?
Mapenzi ni kitu gani, swali langu nauliza,
Kwani...
TUTAFIKA SALAMA MKE WANGU.
Na, Robert Heriel
Miaka ilienda nayo haikurudi, muda ukapita wala hatukuuona tena. Ahadi nilizomuahidi sasa aliziona ni ndoto ya mchana. Ndoto za alinacha kamwe...