Izi zingine Dharau sa
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
hapo mhaya umenena.... unapoamua kuingia vitani ule mguu wa kuku haujalishi we ni kuruta au jenerali, wote mnakufa kifo kimoja...Hakuna cha dharau hapo kama Alikiba aliamua kuja kwenye muziki anatakiwa awe tayari kulinganishwa na kupambnishwa na yeyote yule ambaye ana shiriki muziki! Kama hataki basi aachane na muziki!
Ukweli ni kwamba wimbo wa Alikiba a.k.a Mfalme Helode ni mbaya na ni mmoja wa wimbo mbovu sana toka kwa Alikiba hakika Alikiba anavunja moyo.....
Kama ukilinganisha Dodo na Wana kama utaangalia nyimbo tuu lazima ujue Wana ni wimbo mzuri kuzidi Dodo
Sent from my iPhone using Tapatalk
King kiba ni king tuHizi nyimbo zote ni mpya, na zina mahadhi yanayofanana...
Dodo iliachiwa jana chini ya Kings music na Wana imeachiwa leo chini ya Wasafi label
Kwa mtazamo wako upi wimbo ni mkali kuliko mwingine bila ya kujali jina wala label aliyopo msanii husika
Hiyo inajulikana wazi hamisa kabust ngoma kwa muda mfupi lakini hii ngoma haitafikisha hata wiki moja it's kuwa IPO makaburini.Kelele zote zinazopigwa Alikiba hataki kusikia. Kwa ujumla ule hamna alichokiimba sema views zo Mobetto ndio zitakazo mbeba. Ukweli mchungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa maboko katisha.