Wadau hebu huu uzi tukumbushane bendi na nyimbo za zamani
mimi.naanza na.Ngarula karubandika usimchezee chatu.kata.maji ukweni hizi maquise de zaire
Mesenja kaleta balaa hii bima lee...
Habari wapendwa? Natumaini Wazima wa Afya.
Twende kwenye hoja yetu, ni hivi: Jumapili kulikuwa na Tamasha la kwaya mbalimbali Lengo ni Kumshukuru MUNGU, Sasa kwenye mida kama ya Usiku hivi...
When I was a Gospel Singer in 2014 I delivered an Albam "Agano Jipya" with my former name "Mwl. Deo Kisandu". Now I become aware that Jesus Christ is not God and I introduced new religion(ANGELISH...
KUHUSU MOYO WAKO
BY: Mfalme Hadithi
Moyo huwa unadunda kwa nyendo tofauti kwa hali tofauti tofauti (different Apparitional)
Hivi ndivyo mapigo ya moyo hupiga kwa vipindi tofauti.
(1) UKIWA NA...
CHAGUO LA MOYO WANGU 18+ - 01
Ilikua ni asubuhi siku ya jumatatu ambapo watu mbalimbali walikua wakiendelea na mihangaiko yao ya kila siku ili kujitafutia riziki katika mji mdogo wa zingawe...
Leo nimeona nije tufahamishane juu ya maproducer wetu wa Tanzania
Nani mkali ni nyimbo gani a lido site genes a ukazipenda bila kujali zilikua hot au lah!
Mimi producer wangu wa muda wote nampa...
Mtunzi: R. Michaelray
JF member
Mapaa ya nyumba yanaonekana. Mchukua kamera ambaye yupo kwenye ndege anaendela kufanya kazi yake vyema. Moja kwa moja Picha inaonyesha Benki Fulani ambayo watu...
Najua naweza kuwa against na watu wachache ila huyu jamaa ni ghost writer never seen.👹👹👹
Jamaa yupo deep sana kwenye mashairi yake, na hata utunzi wake sijaona kama yeye 👽👽👽
Pia ni King of...
Samahani HII SMS INA HADITHI MAFUNDISHO KWAAJILI YA JAMII MNISAMEE KAMA ITA WAKWAZA KWA UFUPI
*PALE MAITI INAPOKUWA NI BORA KULIKO MGONJWA*
Mazungumzo baina ya Mabwana Sambi na Sembela ambao ni...
Sisifii siffii na sipendi mm ni mkazi jiji DSM.
Hupenda kutoka mtoko Kama kawaida ya Sana ukiwa DSM. Nimetembea nimelala,nimezunguka miji hakuna pub kama hii. Kiukweli DJ ndio ananisuuza zaidi...
By Sangu Joseph
Njia ya kuanguka kimuziki ya Vanessa Mdee nadhani inafaa kuwa fundisho Sana kwa Wasanii wakike nchini lakini Kwa Leo naomba niidedicate Kwa Nandy zaidi.
Inawezekana mkaniona wa...
Umuofia kwenu,
Wakuu nadhani hali kama hii hutokea. Unaweza ukakuta wimbo unaupenda sana sema ndani ya mashairi yake kuna msitari mmoja tu huwa unakuweka "off".
Binafsi wimbo as Dogo...
Nimekuwa shabiki wa mwimbaji wa muziki wa injili nchini Tanzania Bahati Bukuku, lakini sijawahi kukubali collabo ambazo amekuwa akifanya na wanamuziki wengine.
Lakini hii collabo yake na msanii...
Wakuu sikutegemea wakongwe hawa wawili wenye medali za kimataifa kutoa song halafu isiwe hitsong.
Naomba niwape pole sana WCB pamoja na fans wao, ni wakati sasa wa kujitafakari hasa ndugu yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.