Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habarini wakuu poleni na michakato ya maisha. Moja kwa moja niende kwenu nyie ma actors/actress wa bongo pamoja na directors,producer's mnakwama wapi ndugu zanguni ? Je tatizo ni nini? Ni...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
MSANII aliyejizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya Bongo miaka ya 2000, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka upyaaa! Safari hii fujo na makeke yake yanatokea nchini Kenya ambako ameweka makazi yake...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Yupi ni rapper bora kwako wewe kati ya WizKid vs burna boy
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Huyu Tommy flavour, ana uwezo mkubwa sana kimuziki, kwa maoni yangu sioni kama ni movement sahihi kuwa chini ya ali kiba, itakuwa ngumu sana kupanda chati na kukuza muziki wake Naona alipaswa awe...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Eminem alirap kwenye Love the way you lie alafu Rihanna aliimba Chorus moja hatari saana kutokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao. T.i alirap sana kwenye live your life alafu Rihanna huyo huyo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ukisikia duniani watu wanasema huyu mtu ana akili, basi akili yenyewe ndiyo hii. Kujua matokeo ya maamuzi unayofanya. Wasomi watakwambia kila kitu kinawezekana. Lakini mimi nasema kuna vitu...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Aisee Mabaharia wenzangu tusaidiane kujua nyimbo zetu zilee ambazo huwa tunazitumia kama mtego geto, demu akijichanganya tu basi ananyonyolewa taaaratiibu Nikki Minaj -Anaconda- Enrique Iglesias...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hii ni Moja kati ya wimbo uliobuma Mapema sana, Mtaani hausikiki, kwenye Media umebaki unapigwa Wasafi pekee, Mabodaboda pia wameupotezea, Everything back to Normal kama vile hakukua na Ngoma mpya...
6 Reactions
35 Replies
3K Views
1.3 Idiots 2.John Carter 3.Kingsman: The Secret Service 4.Hurricane Heist 5. Hizi muvi nazikubali kinoma. Je kuna muvi zimefikia level kali kama muvi hizo nilizotaja hapo juu?
4 Reactions
56 Replies
11K Views
Kuna watu wanasema sijui ni gundu aukila shetani ana Mbuyu wake yani kama hapa tz watu wanavyoamini alikiba ana kipaji lakini Diamond anampita kwa kila kitu Basi ndio huko Nigeria napo kuna...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Dah! Kuna watu wanajua mpaka noma nimeskiliza ngoma ya huyu jamaa. Nadriki kusema jamaa anakuja kutake over game ya Hip Hop bongo nisiwachoshe Sana sikilizeni wenyewe ili dude
1 Reactions
83 Replies
9K Views
Kwa wale wa Arusha hivi Regals Cinemaxx wako open? Au watarudi lini kwa wale wanaojua? Na kama schedule ipo ?
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Kutokana na tukio lilotokea USA la mmarekani mweusi Floyd. Ebu fanya kupakua au kutafuta movie iitwayo GREEN BOOK ilitoka mwaka 2018 ni drama flani nzuri sana. Kama kuna ingine unaijua unaweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tupeane nyimbo nzuri za country
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Saa hivi kuna ushindani mkubwa kwenye tasnia ya utangazaji. Japo vipaji vipo vingi mtaani vya kutangaza. Sema ukiweza kuji brand una kuwa na soko kubwa. Ukisema unaacha kutangaza basi wengine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf Nipende kukili kwamba sikua msikilizaji wa redio kwa mda mrefu sanaa lakini hii Corona imenifanya nisikilize redio mda mwingi kwakua nabaki nyumbani nikijilinda na haya...
4 Reactions
45 Replies
6K Views
Binafsi nilikuwa ndiyo mwaka wa kwanza pale chuo.... kitu kilikuwa hot hot ni hatareeee - Wakati huo ukipanda daladala lazima ngoma hii ipigwe.......wewe ulikuwa mitaa ngani wakati kitu...
9 Reactions
152 Replies
15K Views
Nilikuwa nacheki Live Show music ya R. Kelly , nikaja kuangalia ya Jay Z , Beyonce, JLo & Eminem, nimegundua ni kwanini wenzetu wajaza sana kwenye show zao. Mziki wa live ni mtamu jamani
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Look in the eyes of the Homeless man Tell me what you see In the eyes of a jobless man Tell me what you see What about the eyes Of a prisoner What do you see Now you' ve seen it all It is time to...
1 Reactions
3 Replies
854 Views
Back
Top Bottom