Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 709
- 1,558
Mfalme muda wowote kuanzia sasa anaenda kuachia pin Mpya inayokwenda kwa jina LA so hot.
Ni ngoma matata usipime
===============
Ni ngoma matata usipime
===============
Naskia kafanya kolabo na harmonizemfalme muda wowote kuanzia sasa anaenda kuachia pin Mpya inayokwenda kwa jina LA so hot...ni ngoma matata usipime
Kila mtu huchagua anachokipenda mkuu..Kuwa shabiki wa Kiba unaitaji kuwa na moyo mgumu sanaaaa na wala huji kupata blood pressure maishan kwako maana Kiba ni pressure tosha au Spartacus the mnyama mkali unasemaje kuhusu hii ngoma