Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ngoma inaitwa BABA na imeimbwa na STAMINA, Profesa J na ONE SIX. Hakika iko kiwango na video yake ni nzuri ikimshirikisha mama Kanumba ambaye kaonyesha kipaji cha hali ya juu kabisa. Hizi ndio...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Huyu mwamba Mkongwe Mr. Paul yuko wapi siku hizi na anafanya nini? Aliimba huu wimbo kwenye video yuko na demu wa kihindi nakuzimia na Zuwena remix.
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Watanzania tumekuwa tukiubeza mziki wa singeli lakini kuna wakati utafika kuna nchi itaupora na kuuongezea ubunifu. Wataupa jina lingine na sisi tutaanza kulalamika kama kawaida yetu. Singeli is...
1 Reactions
6 Replies
959 Views
ONGEA NA MWANAO-MAALIM NASH .Hii vitasa Moto [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Video Bora ya Kwanza ya hip hop mwaka huu
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu, hii ngoma ya stamina ft prof jay ni ngoma ya kufikilisha sana yani, nakumbuka miaka 1990s mpk 2000s.
1 Reactions
2 Replies
942 Views
RIWAYA: LOVE SPEAR 01 MTUNZI; AUTHOR XAV NAMBA; 0672493994 Email: xavemmanuel12@gmail.com ---------------------------- UTANGULIZI; MAPENZI ni moja kati ya njia ambayo kila binadamu anapaswa...
2 Reactions
15 Replies
16K Views
SCRIPT ZA IMA KUTOKA:KWA MSANII JOTO LA MOTO. SEHEMU YA KWANZA. NYUMBANI KWA MR BEN-SEBULENI-USIKU. Mama Esta, Mama,30, na Mr Beni, bwana, 35, wameketi sofani wakipata chakula huku wakipeana...
3 Reactions
94 Replies
29K Views
Hamjambo wakuu, Moja kwa moja, ukiwa Zanzibar km wew ni mnywaji usikose kwenda CCM, Nyuki na Mkoa, huku utakutana na pombe na wine aina zote, bila kusahau watoto wazuri kwa wasuza rungu...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wale wazee wa kuruka tukutane hapa, Toa jina la ngoma na artist wake ukiweza kwa ngoma ambayo ukiisikia club huwezi kaa chini lazima uruke(ucheze) Ili tuwaweke sawa ma Dj wetu hapa Bongo. Crazy...
2 Reactions
51 Replies
6K Views
Kwanza unaweza kufikilia inakuwaje asichukuliwe mwanamuziki wa Marekani au mataifa mengine yaliyoendelea, pili ni kiasi gani cha pesa analipwa mwanamuziki huyo kutoka Afrika ya kaskazini...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
Wazoefu wa game za football kati ya FIFA 2021 Na PES 2021 ipi game nzuri kucheza kwenye PC ya kawaida, Na vipi utofaut wa game izo uzuri Na ubaya, wa izo games? Nawasilisha
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa wale walioiona hii movie vipi ni nzuri? Na inahusu nini?
2 Reactions
21 Replies
5K Views
IP MAN 4 KUNG FU JUNGLE JOHN WICK 3 OLD GUARD EXTRACTION TERMINATOR ZOTE NOW YOU SEE ME HARD WAY ya michael jai white THE INFORMER LOST BULLET THE EQUALIZER INVISIBLE DRAGON thank me late after...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ali Kiba katoa wimbo mpya Infidèle, kwa walio sikiliza na kutazama kichupa chake mna maoni gani? Kama bado hujaitazama link hii hapa chini
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rappers wa marekani kati ya East Coast na West Coast Nani wako vizuri?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa mnaofuatilia mziki wa majuu hasa pale Marekani, hivi kati ya Future na Young Thung nani zaidi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
hizi penseli zinaitwa perican coloured pensil ni nzuri kwenye kufanyia nakshi unapokua unachora picha zako kwa karikoo naweza zipata wapi
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau, Leo nimeandaa huu uzi makusudi ili watu tupeane nyimbo nzur za soft rocks au atrong feeling songs. Kwanza mjue soft rocks ni tofaut na pop music mfano watu wanahoji celine dion...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Simulizi;Chumvini Mtunzi; Abrana tz Whatsapp;0685946317 Age.........18+ Sehemu ya tatu.03 Ilipoishia.... Kama ujuavyo mtoto yoyote awe wa kike au wakiume akishafika kidato cha nne akizungumzia...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Back
Top Bottom