Harmonoze ana public simpathy sicker syndrome

Harmonoze ana public simpathy sicker syndrome

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,106
Reaction score
1,948
Hypochondria Syndrome ..huu ni ugonjwa kwa kua na hofu ya kua mgonjwa !..
Huumwi lakini muda wote unakaa unaamini unadalili za kuumwa ,,ni kama vile uambiwe ni msimu wa tetekuanga na hujawahi kuumwa tetekuanga .
Ukipata miwasho kidogo tuu akili inawaza "mmh ndio nimesha pata nini" unaanza kufosi dalili ,yani hata kama huna homa utaanza kujiona wamoto ...

Watu hua wana mix kati ya Hypochondia syndrome na Munchausen syndrome

Munchausen syndrome ni hali ya kupenda kuumwa!
Yani mtu anapenda kuumwa kutokana na sababu kadhaa ..kama vile kupenda watu wanavyo muonea huruma anapo kua anaumwa ..ama anapenda attention tuu kwa watu kua anaumwa waje kumuona na ku care

Hapa kwenye Munchausen syndrome ndio lina zaliwa kundi la Public Sympathy sicker,
Hawa jamaa ni wale watu wanao penda kuonewa huruma na jamii ,,ni watu wanao penda ku shinda kwa kujifanya wao ni malaika kwa jamii .

Hawa hutumia kosa hata kama dogo kwa mpinzani wake ku mdidimiza ili ashinde au aonekane bora kwa kuonewa huruma na jamii

Mfano
Mashindano ya mbio ya washindani wawili mmoja anapoona kua anaelekea kushindwa atajifanya kavunjwa mguu na mshindani anae elekea kushinda ili aonewe huruma, apewe ushindi kwa ku onewa huruma huku akimpaka matompe mpinzani wake...!

Waka 2018 jarida la AUB AAR linalo simamiwa na Al jazeera walitoa takwimu kua kuna zaidi ya asilimia 30 ya watu wenye tabia hii Duniani.

Ukifatilia vizuri sakata la Rayvanny,Paula na Harmo uta gundua kua mmoja wao ana huu ugonjwa!
 
Jumba limemgeukia Diamond, TRA wanataarifa kodi zake anazolipa hazikungani na mapato yake. Rayvan bado yuko ndani na kesi aliyonayo ni ya ubakaji.

Ile alivotangaza ana pesa, analipwa milioni 200 kwa mwezi labda itakua imechangia halafu sijui diamond utoto au ushamba maneno yale nilibaki namshangaa tu maana kama pesa sio za kutaja kiasi kile tatizo wanatafuta sifa ili kuaminisha washindani wao sii kitu.
 
Kinachoendelea, kumbe Rayvann hakutaka kurusha zile picha ila ilikua amri ya boss wake ili tu kumshusha Harmonise kwani ali trend sana.
Bas moto umewaka hii kesi nyuma yake kuna upepo wa kisulisuli. Yajayo yanafurahisha.
 
Hypochondria Syndrome ..huu ni ugonjwa kwa kua na hofu ya kua mgonjwa !..
Huumwi lakini muda wote unakaa unaamini unadalili za kuumwa ,,ni kama vile uambiwe ni msimu wa tetekuanga na hujawahi kuumwa tetekuanga .
Ukipata miwasho kidogo tuu akili inawaza "mmh ndio nimesha pata nini" unaanza kufosi dalili ,yani hata kama huna homa utaanza kujiona wamoto ...

Watu hua wana mix kati ya Hypochondia syndrome na Munchausen syndrome

Munchausen syndrome ni hali ya kupenda kuumwa!
Yani mtu anapenda kuumwa kutokana na sababu kadhaa ..kama vile kupenda watu wanavyo muonea huruma anapo kua anaumwa ..ama anapenda attention tuu kwa watu kua anaumwa waje kumuona na ku care

Hapa kwenye Munchausen syndrome ndio lina zaliwa kundi la Public Sympathy sicker,
Hawa jamaa ni wale watu wanao penda kuonewa huruma na jamii ,,ni watu wanao penda ku shinda kwa kujifanya wao ni malaika kwa jamii .

Hawa hutumia kosa hata kama dogo kwa mpinzani wake ku mdidimiza ili ashinde au aonekane bora kwa kuonewa huruma na jamii

Mfano
Mashindano ya mbio ya washindani wawili mmoja anapoona kua anaelekea kushindwa atajifanya kavunjwa mguu na mshindani anae elekea kushinda ili aonewe huruma, apewe ushindi kwa ku onewa huruma huku akimpaka matompe mpinzani wake...!

Waka 2018 jarida la AUB AAR linalo simamiwa na Al jazeera walitoa takwimu kua kuna zaidi ya asilimia 30 ya watu wenye tabia hii Duniani.

Ukifatilia vizuri sakata la Rayvanny,Paula na Harmo uta gundua kua mmoja wao ana huu ugonjwa!
Acheni umalaya, msitafute mtu wa kumtupia jumba bovu kwa umalaya wenu. Ni ngono ngono ngono mpaka mnachosha.

Kwanza mmeifanya Bongo fleva haisikiliziki kabisa. Kila msanii anaimba ngono tu. Wengine Nyegezi, Wengine mplekee mito, wengine Danga,Mara Pwaaah

Ngoja mfungwe labda bongo fleva itarudi.

WE MISS GOOD MUSIC.





 
He is a gentleman, much respect for him. He does not do group thinking, he thinks independently and fairly.

He is such a great leader. God Bless Harmonize.
 
Ni wakati wa jamii kusimama na kushikana pamoja kuwasemea mabinti wanaodhalilishwa mitandaoni na wanaume wasio na maadili na wadhalilishaji mitamdaoni. Hii sio mara ya kwanza, ila na iwe mara ya mwisho na Rayvanny awe mfano.
Ulaya kupost picha zile bila ridhaa ya mhusika, una uhakika wa mvua kadhaa.
 
Jumba limemgeukia Diamond, TRA wanataarifa kodi zake anazolipa hazikungani na mapato yake. Rayvan bado yuko ndani na kesi aliyonayo ni ya ubakaji.
Eee majanga ile interview ya mwisho alijitapa kuingiza mpunga mrefu wacha wazee wa mapato wadili naye ili ajifunze kuwa Kuna mambo hupaswi ongea
 
Back
Top Bottom