Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,571
- 16,358
Kiukweli mimi sikuwa mfuatiliji sana wa hizi tamthilia ila hii tamthilia imenifanya nisikose kutizama TV saa tatu usiku.
Na aliyeweka sauti ya mzee Aga ndio kafanya niipende zaidi maana anampatia sana (namsalimu popote alipo aliyeweka sauti kwa huyu mzee).
Nashauri kuwepo na lafudhi za kilocal kama yule msukuma wa kwenye tamthilia ya Victoria, hapo mnaweza kutupia lafudhi kama kichaga, hehe, makonde n.k.
Nawasilisha.
Na aliyeweka sauti ya mzee Aga ndio kafanya niipende zaidi maana anampatia sana (namsalimu popote alipo aliyeweka sauti kwa huyu mzee).
Nashauri kuwepo na lafudhi za kilocal kama yule msukuma wa kwenye tamthilia ya Victoria, hapo mnaweza kutupia lafudhi kama kichaga, hehe, makonde n.k.
Nawasilisha.