Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Sauti yake ni nzuri inafit vilivyo ndie mshiriki na mshindi wa BSS ninaemuelewa vilivyo kwa uwezo wake wa kuimba!. Sio kwamba wengine hawajui no,wanajua lakini huyu kwangu ndo best till now. BSS...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Leo ni fainali ya Bongo star search. Washiriki sita watachuana ili kupatikana mshindi. Washiriki hao ni: 1. Yusuph 2. Magaritha 3. Elisha 4. Petro 5. Neema 6. Zanael Je, unahisi nani atakuwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wandugu. Naomba msaada wa mtu kuniorodheshea zile nyimbo kalii zinazo Bamba clubs/sehemu zinazo amsha amsha ziwe za kibongo,afrika,au nchi yeyote ile.... Ahsanten, Karibuni Wana jf
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanabodi Nimefuatilia kipindi cha tuelekee Yeriko cha Upendo tv cha alhamisi 21:30hrs hadi 22:30hrs, mgeni kwenye kipindi hicho ni Rose [emoji257] Mhando. Ameeleza maisha yake, alivyofanyika...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Hallo! Mimi sio mtu wa kusafiri sana na mabasi. Lakini kwa muda mrefu sasa, imekuwa kila nikisafiri japo kwa mabasi tofauti tofauti, ni lazima nikutane na filamu zake. Huyu mwamba yupo kwenye...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
WANAWAKE NI WAUAJI Mtunzi/mwandishi HUSSEIN BAKARI MTOTO WA BECKER mtotowabecker@gmail.com 0713 46 26 29 _________________ EPS 01 ======== ******** “Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mungu kwa...
5 Reactions
190 Replies
42K Views
Ya kwanza niliitafuta sana aliimba fally ipupa na j martin Sasa hii ya pili inafanana na hiyo ila jina silijui ina kama sauti yake inasema "kibai bai baiii" jina tafadhali. Nyingine inaimba...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Washikaji wanapelekwa jela kwasababu ya harakati zaonza kutetea watu weusi huyo mwamba mmoja anafikiria namna ya kutoroka katika gereza hilo lililo South Africa gereza la watu weupe mwamba...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Maisha kwasasa yamekuwa so boring and stressful. Nadhani ndio maana industry ya comedy inaonekana kukua sana siku za hivi karibuni. Je, kwako ni Comedian gani bora unayependa kumsikiliza au...
5 Reactions
73 Replies
7K Views
Habar wakuu nilikuwa nashida sana ya huu wimbo mwenye nao naomba anisaidie asee
1 Reactions
60 Replies
14K Views
Leo nimeusikia wimbo wake "Nitakushukuru" wa kitambo kidogo ukaniflashback enzi hizo Ni Wimbo touchable sana uliotendewa haki sana sio kwa kuimba ni hadi video, mama anaimba, mama ana sauti, mama...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Katika pitapita zangu huko Youtube nimekutana na huu wimbo wa Roma Zimbambwe na hii Comment ya Jamaa imenifungua mengi sana, maana toka wimbo utoke sikuwahi kuelewa. Je, kuna ukweli wowote...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapenzi wa movie wanaelewa nini nimeuliza hapo juu. Naomba nisipoteze muda sanaaa kwenye hili Kama umewahi kuona series ya blacklist naam utakuwa unamjua fika Raymond Reddington mzee alietumia...
3 Reactions
37 Replies
5K Views
Nafikili sehemu hii itakuwa muhimu kwetu kujuzana movie mpya na link za kutazama au ku download cha msingi kama unamovie umeisikia ujawai kuiona tuambie na sisi tutakupa link utaweza ku download...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
binti jinxiu familia yake inauliwa yote na wajapan anapona peke ake anakwenda mjini huko anakutana n a na dada yake lakini dada hamtaki naye anataka kulipa kisasi kwa vile baba ake na binti...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Evening wakuu Katika kumalizia weekend nimekaa nacheki hii series ya next daaah huu mzigo ni balaa kwa wale wapenda movie za sci-fi hii si ya kukosa Nilichoona humu ni kwamba watu tunashangilia...
0 Reactions
1 Replies
536 Views
Tupia wimbo wowote ulioimbwa miaka hiyo unaoukubali. Ukiwa na maelezo ya wimbo husika (mfano Kwa nini uliimbwa,msanii au wasanii na mwaka uliombwa) itakuwa njema Sana. Lakini pia unakukumbusha...
5 Reactions
37 Replies
4K Views
THE PALE DOOR Jake na Duncan ni watoto wawili wa kiume waliotiwa uyatima na majambazi walioua familia yao na kuteketeza kabisa makazi yao kwa moto. Bahati nzuri waliokoka. Miaka kadhaa mbele...
3 Reactions
3 Replies
982 Views
Huwa siangalii kabisa filamu za Bongo Movie, lakini hii ya Danga naomba niseme kwamba nimekaa madakika mengi naitazama. Ilikuja tu kama recommendation ya You-Tube nikasema niicheki na kukuta...
18 Reactions
36 Replies
7K Views
Nilikua naomba kuuliza jambo ... Kuna hii huduma ya VOD inayomilikiwa na multchoice Africa inaitwa SHOWMAX nilikua nataka kufahamu je kuna muundo mwingine wa malipo wa hiyo huduma mfano mpesa ...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom