Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hivi wakuu tamthiliya ya Kichina Magic Box inayorushwa Channel Ten, hivi inarushwa siku gani na saa ngapi?
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Azam Sinema zetu mmeleta ubunifu mzuri wa kuwapromoti wasanii wa filamu na wengi wanacheza filamu nzuri, tatizo linakuja kwa Wahariri kukata baadhi ya tamthilia na kuweka matangazo ambayo mengine...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hili liko wazi kabisa, wala halihitaji ubishi. Kijana huyu ana cheche na moto haswaa wa kuweza kukamata siti iliyoachwa wazi na Harmonize. Najua matarajio ya wengi ni kwamba Rayvany ndio ataziba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
HABARI NJEMA KWENU MASHABIKI WETU DUNIANI KOTE Mlisema Mnaitaji Back To Back Kwa Fujo Na International Collaboration Kutoka #KingsMusic Sasa Mwaka Huu Mtakula Bata Sana Na Kutembea Vifua Mbele...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hitimisho la muziki kwa miaka ya nyuma lilikuwa ni kutoka huko Marekani na ULAYA maana tuliona wasanii wengi wakipishana kuja Afrika kufanya shoo na kuondoka na vitita vya fedha tofauti na miaka...
0 Reactions
5 Replies
705 Views
Mchezaji wa Kijapan mwenye umri mkubwa Kazuyoshi Miura (54) anarudi tena uwanjani baada ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja na club yake ya Yokohama. Kazuyoshi Miura atatimiza umri wa miaka 54...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Sitasahau siku Mushi alipokuja kufanya vurugu nyumbani kwangu akijiaminisha kuwa cheo chake cha upolisi ndio kinga yake. Mungu si Athumani. Leo hii Mushi sio Polisi tena. Ama kweli Dunia duara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tujadiliane kuhusu Bongo Flava industry ; Is still growing or declining industry? Ni nini Maoni yako kweny Tanzania music industry.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
WARAKA MAALUM KWA WATANGAZAJI WA RADIO NA TELEVISHENI-TANZANIA. Dated 13,Desemba 2020. Masikitiko yangu makubwa ni Watangazaji wa Radio na TV hasa vituo vikubwa Kama EATV, ITV, CLOUDS TV...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Ee bhana hv dodoma sehemu gani nzuri kwenda club nataka nikachangamshe mwili...na kutoa jashoooo kuna baridi baridi leooo
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nikiwa nafanya programming au nimekosa usingizi huwa napenda kusikiliza aina izi za mziki, japo ni nyimbo za makelele nasikiliza na ata zile zenye noise kabisa kama VAPORWAVE / GLITCH / 8 BIT...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
I love this channel, hasa mapishi na real estate including interior design ya nyumba. Toka mwaka uanze Azam wameiondoa. Wameleta "Real Time" ambayo kusema ukweli lo! Kulikoni Azam TV?
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Miaka inaenda sana jamani. Huu wimbo unarudisha kumbukumbu nyuma. Ni burnout ya Sipho 'Hotstix' Mabuse South Africa. Ulitawala sana miaka ya themanini. Watu walikuwa na furaha sana ulipochezwa...
6 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu haya makundi mawili yalipata kutamba sana kwa muziki wao mtamu!hapa nazungumzia Wenge ya JB Mpiana na Extra ya Rogaroga!Je,wewe mdau unalikubali kundi gani zaidi?Mimi binafsi bana Extra...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Huyu jamaa makampuni yanavyogongana kutaka awatangazie biashara zao huwa hawakosei. Nilikuwa sijawahi kulisikia hili tangazo la pepsi, huu wimbo nakiri kabisa kuwa ni hit song kwa upande wa...
4 Reactions
35 Replies
8K Views
Nimeangalia kipindi cha Salama na, kinachorushwa kupita EATV, Rais mtaafu Jakaya Kikwete anaonekana mtu wa furaha. Ninahisi hayo maisha ya furaha ndio yanamfanya kimuonekano hazeeki yuko fiti...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeuliza hivyo baada ya kugundua kuwa nyimbo za taifa au ukanda fulani ni lazima utazielewa tu haijalishi ni za kurapu, dini, kwaya, sherehe au zozote zile. Au inafanywa hivyo makusudi hii ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu. Wale wapenzi wa music wa dansi naombeni mnitajie nyimbo za huyu mwamba nizipakue mtandaoni tayari kwa kuzisikiliza. Shukurani kwa wote mtakaoonesha ushirikiano.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu...! Naombeni mnisaidie wimbo wa Kikosi cha Mizinga unaitwa Kinondoni au Kino uliimbwa na Kikosi pamoja na wasanii kadhaa wa Kino akiwemo TID kwenye Chorus Saigon, Stiba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
RIWAYA; MTUHUMIWA MTUNZI; HUSSEIN TUWA SEHEMU YA KWANZA. Daily News, Julai 12 (Imetafsiriwa): Jambazi hatari linalojishughulisha na biashara ya madawa ya kulevya huko Marekani ya Kusini...
3 Reactions
29 Replies
9K Views
Back
Top Bottom