Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari ndiyo hiyo, stori iliyoanzia humu ya bwana LwandaMagere rasmi imeanza kusikika leo Radio Free Africa, RFA na ameianzia mwanzo kabisa toka wako Tarime ambapo housegirl Ashura alifanya...
3 Reactions
23 Replies
9K Views
Kama kichwa kinavyojieleza natamani kujua ujumbe wa hiyo ngoma mimi ili niweze kuelewa alichokiimba Zuchu. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Habari za muda huu!! Natumaini tunaendelea kuchukua taadhari na kujifukiza ili kupambana na corona,kwenye ile mitano tena ndo kwanzaaaa tunaanza na tayari kuna dalili ikawa 20 tena😂😂😂...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
TAIFA LA MOYO WA SHETANI. NA..............HEMED MAYUGU. NO................(01). WHATSAPP.......0755577488. SHARE NYINGI NDIYO FURSA YA KUIFURAHIA KILA SIKU. NAOMBA KU-SHARE KWA WINGI. Ilikuwa...
2 Reactions
24 Replies
9K Views
Sitakuomba radhi na nitangaze rasmi kuhusu kile ambacho naenda kunena kuhusu wewe. Nikikosea na ndio kawaida ya binadamu mimi ni mwanadamu lazima nikosee na mimi siyo wa kwanza watangulizi wetu...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Ilikuwa ni wiki tuu mimi na familia yetu tukiwa tumeamia katika makazi mapya kwakua sikua na rafiki wa kuongea nae basi nilipenda kwenda kukaa mbele ya nyumba yetu kwani kulikua na mti wenye...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
ANGALIZO kwa Msanii MARIO. MARIO: acha kutafsiri nyimbo zangu DON NALIMISON kwa Kiswahili, bunii vya kwako. Tikisa ume copy na ku paste wimbo wangu wa Congratulation ulioko You Tube tangu julai...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Hii ni series ya kizungu inayohusiana na baadhi ya polisi kupata hela za magendo tofauti na mshahara wanaolipwa kihalali na Serikali wanachokifanya wanaficha hela hizo magendo kwenye magodown na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndiyo nimemuona jana, nimecheka sana. Hii clip imenichekesha kichizi.
7 Reactions
40 Replies
11K Views
Ninamfahamu Lista kama mwanamuziki mkongwe wa Tanzania lakini hivi sasa anaishi Japan, anajihusisha pia katika shughuli za uandishi wa vitabu mbalimbali vya muziki. Ameeandika vitabu vinavyo husu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwanza naanza kwa kucheka zamani kuna gazeti lilikuwa linaitwa Sani lilikuwa kuna watu wanachorwa mle kama hadithi kupelekea mazingira kuona kama ni binadam kweli. Hivi kuna mtu ashawahi kuwaza...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu. Kuna huu wimbo nilikuwa nikiusikia sana mwanzoni mwa miaka ya tisini. Chorus ya wimbo ilisema " Naona bora niende Zambia nikamtafute Monica, alinitoroka...
1 Reactions
25 Replies
19K Views
Mfano Sweete reggae --Busy signal-come over Hip hop--coolio-i see you when u get tgere Singeli---msaga sumu-mwanaume mashine Country-kenny rogers-gamble Rnb-chris brown-with you Morden...
2 Reactions
16 Replies
9K Views
Tamthilia za kituruki tam bana na lazima ni kiri nme kua mtazamaji mzuri sana wa hizi tamthilia za kituruki tangu Azam waanzishe huu mradi wao. Kunazia kwenye Magnificent century(SULTAN) hadi...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Ukiachana donnie yen huyu max zhang namuelewa vibaya may be cause napenda ngumi mno ila ni moja wa actor wanafanya vizuri mchizi anaspidi anavyopigana anatulia anambwembwe tony jaa na mwezake wu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
A PLACE WITH NO NAME. (Sehemu isiyo na Jina) SEHEMU YA (1) Mtunzi........hemed mayugu UTANGULIZI. Ni Hadithi nzuri iliyoandikwa na Jumanne katika kitabu chake alichokitoa mwishoni mwa mwaka wa...
1 Reactions
31 Replies
9K Views
Wale wapenzi wa rock na sio geni kwenu maana kuna nyimbo zinaeleza kuabudu shetani,mpaka kujiua au kufanya lolote, tokea rock kuwa na wapenzi sana. Kwa nini rock imekuwa kama jicho la tatu au...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili yanaeleweka, lakini mengine ni mfanano na mengine ni kama kilugha, ni lugha ya wapi hii hapa bongo?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom