Shabdullah
Member
- Feb 17, 2020
- 65
- 52
Habari wana JF,
Nimekua nikishangazwa kwa nchi yetu ya Tanzania kuangalia maudhui ya saana ya Kitanzania kwa lengo la kulinda maadili ya taifa hata heshima ya ndani na nje ya Tanzania.
Lakini kinachoshangaza tamthilia kama ya Money Heist inauzwa Tanzania na ni halali kuangalia. Huo ni mfano mmoja tu wa tamthilia lakini kuna movie na nyimbo nyingi na ughaibuni ambazo zinaonyesha hadharani matendo yasiofaa kama matusi, ngono za jinsia moja n.k
Swali ambalo ninajiuliza ni je maadili ya tanzania hayawezi kuharibiwa na sanaa za nje.
Je, wahusika wa haya hawapo?
Je, wahusika hawayaoni?
Je, serikali ya Tanzania haiwezi kudhibiti hizi filamu za nje ambazo ziko nje ya maadili ya sanaa ya Kitanzania?
Nimekua nikishangazwa kwa nchi yetu ya Tanzania kuangalia maudhui ya saana ya Kitanzania kwa lengo la kulinda maadili ya taifa hata heshima ya ndani na nje ya Tanzania.
Lakini kinachoshangaza tamthilia kama ya Money Heist inauzwa Tanzania na ni halali kuangalia. Huo ni mfano mmoja tu wa tamthilia lakini kuna movie na nyimbo nyingi na ughaibuni ambazo zinaonyesha hadharani matendo yasiofaa kama matusi, ngono za jinsia moja n.k
Swali ambalo ninajiuliza ni je maadili ya tanzania hayawezi kuharibiwa na sanaa za nje.
Je, wahusika wa haya hawapo?
Je, wahusika hawayaoni?
Je, serikali ya Tanzania haiwezi kudhibiti hizi filamu za nje ambazo ziko nje ya maadili ya sanaa ya Kitanzania?