mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Kuna wasanii hawamo Wikipedia sasa nashangaa sijui wamepungukiwa nini, mtu kama soggy doggy, D.knob siwaoni au ninyi ndugu mnawaona?
Ebu waambieni wafanye hivyo, Hivi madogo wa baada ya miaka 50 mbele watawatambuaje?
Ndio nasikia watu wanalalamika eti serikali haitunzi historia, kama ni hivyo basi mtumie Wikipedia iwatunzie.
Ebu waambieni wafanye hivyo, Hivi madogo wa baada ya miaka 50 mbele watawatambuaje?
Ndio nasikia watu wanalalamika eti serikali haitunzi historia, kama ni hivyo basi mtumie Wikipedia iwatunzie.