Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Moja ya sababu pia watu wanapenda Kdrama ni zile sound track zinazoimbwa vizur na wasanii wakali.Haiwez kua drama kali kama haina sound track kali. Kama ulivyo ushindani wa rates za drama pia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwanza binadam Tukumbuke kua Mungu Hapend unafk goli walilo Kataa marefa wa Tff na kusababisha Tutoke sare kwenye mchezo wetu ndio ilo ilo Goli lililo Fungwa na kaizer cheaf na kuwafanya simba...
1 Reactions
2 Replies
658 Views
Name: Park Seo-Joon Hangul: 박서준 Born: December 16, 1988 Birthplace: South Korea Height: 185cm Blood Type: Instagram: @bn_sj2013 Movies Concrete Utopia Dream The Divine Fury Parasite Be with...
2 Reactions
0 Replies
601 Views
Tumezoea kuona drma zinazoeneshwa kweny public TV kama vile KBS,EBA,MBC,KBS2 na EBS2 zinakua na watazamaji wengi kwasababu channel hizi hua hazilipiwi. Ila kuna drama Zinazoruka kweny Channel za...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Mambo ya mapenzi ni mazito sana. Huu wimbo sikuwahi jua kuwa ni kisa cha kweli. ========= Wakenya katika mitandao ya kijamii wamechangamkia sana wimbo wa Stella Wangu wa mwanamziki mashuhuri wa...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Tofauti na series ya designated survivor...ni series gani nzuri yenye maudhui yanayoendana na hiyo?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kusikia coming to America 2 inatoka nilikuw na mzuka sana wa kuiona hasa ukizingatia namba moja edddie alifanya kazi nzuri hasa kucheza roles tofauti tofauti Jana baada ya kuachiwa io...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiukweli nyimbo za dansi zimepotea sana yanaimbwa makelele tupu leo nimepata kusikiliza nyimbo za Marehemu Banza Stone hakika zilikuwa nyimbo haswaaaaa za dansi wasanii wa dansi shida nini jamani...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuanzia tarehe 1 Mei 2021 BASATA wanaanza kutumia rasmi kanuni ya kuzipitia/kuchuja nyimbo mpya za Wasanii wote Tanzania kabla ya kupelekwa kwenye vituo vya Radio/TV “hii sio sheria mpya...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna jamaa anajiita @mc_mboneke huko Instagram.Huyu dogo ameanza kutamba wiki hii kwa aina yake ya uchekeshaji. Anajirekodi video huku anakimbia na kuongea na maneno ya kuchekesha. Kuna clip zake...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Are you a Mwana FA fan what is your favorite song? Mine is 'lakini alikufa kwa ngoma'
0 Reactions
42 Replies
10K Views
Naomba kuuliza kati ya mpira wa miguu na muziki, ni kipi chenye mashabiki wengi, ni vizur ukiweka na sababu ya kusema hivyo. Sent from my iPhone using JamiiForums
1 Reactions
50 Replies
12K Views
Habari wanaJF Mimi ni actor chipukizi wa bongo action movie na kutokana na sanaa kushuka nimeona tuje kivingine tena kutokana pia na movie kukosa ubunifu na kila siku movie za mapenzi na uchawi...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Enter the fat dragon (donnie yen) Mortal kombat 2021 rate 7/10 The little thing (David Washingtong) 8/10 The marksman (liam nelson huyu mzee kiboko alohoo ) rate 9/10. Black widow rare 7/10 Out...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Ushawahi kuangalia series ya kikorea alafu ndani yake ukaona brands mbalimbali kama Subway, Samsung, KIA au hata Lipstick? Usichanganye, sio kwamba ni bahati mbaya La hasha! ile ni makusudi na ni...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesikiliza hip hop zooote Tanzania,hakuna rap kali kama hii ngoma ya Fr Nelly. Huwa naiskiza mara moja kwa wiki kuitoa kasoro bado sijafanikiwa huu mwaka wa 3.
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Huyu na yule Huyu faida yule bure Huyu na yule Ee hee ee hee ee hee ee hee Huyu na yule Huyu faida yule bure Huyu na yule Ee hee ee hee ee hee ee hee Mmoja anaingia mmoja anatoka Huyu kazi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wimbo wa Binadamu Ndanda Kosovo. anaimba sasa wanaanza kulia ooh nuhu,,ooh nuhu tufungulie safina Wimbo wa marafiki - nadhani ameimba mao santiago - anasema marafiki wote wamenikimbia mimi upendo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
VERSE 1: Mangwea Mami nakuona umekula pozi, Mbona unaonesha kama umejawa na majonzi, Nieleze kipi hasa kinachokuumiza kichwa, Mtoto mwenye uzuri kama hazina iliyofichwa, Mwenye raha zote fedha...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
DEMETRIUS PONERA NI MOJA KATI YA VICHWA NAVOVIELEWA SANA KTK GAME HI YA HIPHOP...NA HUEZ AMIN NIMEMFAHAM KUPITIA TRACK 1 YA #matrix mkono wa duke nadhan... UNAEZA PITIA KAZI ZAKE UKAKUBALIANA NA MIMI
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Back
Top Bottom