Moja ya sababu pia watu wanapenda Kdrama ni zile sound track zinazoimbwa vizur na wasanii wakali.Haiwez kua drama kali kama haina sound track kali.
Kama ulivyo ushindani wa rates za drama pia...
Kwanza binadam Tukumbuke kua Mungu Hapend unafk goli walilo Kataa marefa wa Tff na kusababisha Tutoke sare kwenye mchezo wetu ndio ilo ilo Goli lililo Fungwa na kaizer cheaf na kuwafanya simba...
Name: Park Seo-Joon
Hangul: 박서준
Born: December 16, 1988
Birthplace: South Korea
Height: 185cm
Blood Type:
Instagram: @bn_sj2013
Movies
Concrete Utopia
Dream
The Divine Fury
Parasite
Be with...
Tumezoea kuona drma zinazoeneshwa kweny public TV kama vile KBS,EBA,MBC,KBS2 na EBS2 zinakua na watazamaji wengi kwasababu channel hizi hua hazilipiwi.
Ila kuna drama Zinazoruka kweny Channel za...
Mambo ya mapenzi ni mazito sana. Huu wimbo sikuwahi jua kuwa ni kisa cha kweli.
=========
Wakenya katika mitandao ya kijamii wamechangamkia sana wimbo wa Stella Wangu wa mwanamziki mashuhuri wa...
Baada ya kusikia coming to America 2 inatoka nilikuw na mzuka sana wa kuiona hasa ukizingatia namba moja edddie alifanya kazi nzuri hasa kucheza roles tofauti tofauti
Jana baada ya kuachiwa io...
Kiukweli nyimbo za dansi zimepotea sana yanaimbwa makelele tupu leo nimepata kusikiliza nyimbo za Marehemu Banza Stone hakika zilikuwa nyimbo haswaaaaa za dansi
wasanii wa dansi shida nini jamani...
Kuanzia tarehe 1 Mei 2021 BASATA wanaanza kutumia rasmi kanuni ya kuzipitia/kuchuja nyimbo mpya za Wasanii wote Tanzania kabla ya kupelekwa kwenye vituo vya Radio/TV
“hii sio sheria mpya...
Kuna jamaa anajiita @mc_mboneke huko Instagram.Huyu dogo ameanza kutamba wiki hii kwa aina yake ya uchekeshaji.
Anajirekodi video huku anakimbia na kuongea na maneno ya kuchekesha.
Kuna clip zake...
Naomba kuuliza kati ya mpira wa miguu na muziki, ni kipi chenye mashabiki wengi, ni vizur ukiweka na sababu ya kusema hivyo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari wanaJF
Mimi ni actor chipukizi wa bongo action movie na kutokana na sanaa kushuka nimeona tuje kivingine tena kutokana pia na movie kukosa ubunifu na kila siku movie za mapenzi na uchawi...
Enter the fat dragon (donnie yen)
Mortal kombat 2021 rate 7/10
The little thing (David Washingtong) 8/10
The marksman (liam nelson huyu mzee kiboko alohoo ) rate 9/10.
Black widow rare 7/10
Out...
Ushawahi kuangalia series ya kikorea alafu ndani yake ukaona brands mbalimbali kama Subway, Samsung, KIA au hata Lipstick?
Usichanganye, sio kwamba ni bahati mbaya La hasha! ile ni makusudi na ni...
Nimesikiliza hip hop zooote Tanzania,hakuna rap kali kama hii ngoma ya Fr Nelly. Huwa naiskiza mara moja kwa wiki kuitoa kasoro bado sijafanikiwa huu mwaka wa 3.
Huyu na yule
Huyu faida yule bure
Huyu na yule
Ee hee ee hee ee hee ee hee
Huyu na yule
Huyu faida yule bure
Huyu na yule
Ee hee ee hee ee hee ee hee
Mmoja anaingia mmoja anatoka
Huyu kazi...
Wimbo wa Binadamu Ndanda Kosovo. anaimba sasa wanaanza kulia ooh nuhu,,ooh nuhu tufungulie safina
Wimbo wa marafiki - nadhani ameimba mao santiago - anasema marafiki wote wamenikimbia mimi upendo...
VERSE 1: Mangwea
Mami nakuona umekula pozi,
Mbona unaonesha kama umejawa na majonzi,
Nieleze kipi hasa kinachokuumiza kichwa, Mtoto mwenye uzuri kama hazina iliyofichwa,
Mwenye raha zote fedha...
DEMETRIUS PONERA NI MOJA KATI YA VICHWA NAVOVIELEWA SANA KTK GAME HI YA HIPHOP...NA HUEZ AMIN NIMEMFAHAM KUPITIA TRACK 1 YA #matrix mkono wa duke nadhan...
UNAEZA PITIA KAZI ZAKE UKAKUBALIANA NA MIMI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.