Najua wengi mtakuwa mnaijua series hii hivi ni vitu 10 usivyovijua kuhusu series hii :
1. Kulingana na IMDB series hiyo ilitengenezwa kwa budget ya taktibani Won Bil 30 ambazo ni takribani Bil 60...
Nawasalimu kwa jina LA JMT, moja kwa moja kwenye mada Tangu kuondoka kwa Kanumba ni kama aliondoka na Bongo Movie pamoja na hayo hata kipindi cha Kanumba uongo ulikithiri mno kwenye filamu, ikawa...
Habari wakuu,
Katika tasnia ya filamu binafsi ni mpenzi wa movie za kivita kimombo wanaita WAR MOVIES na hizi ni baadhi ya movie zangu TANO kali za kivita.
1- Lone survivor
2- Windtalkers by...
Huyu msanii wa nyimbo za injili sikuwahi kumfahamu.....lakini kutokana na mazoea nowdays kutune Praise Power FM kila asubuhi mwendesha kipindi kwa siku za karibuni amekuwa akipiga nyimbo moja kali...
Simulizi : NOTI BANDIA
Mwandishi : BEN R. MTOBWA
Imeletwa kwenu na : BURE SERIES
SEHEMU YA 1
JIJI la Dar es Salaam linatingishika, wezi sugu wanaingiza noti bandia, watu wanaibiwa. Baadhi...
Hello there....👋👋
Hua napenda nikikutana na series au muvi nzuri nishee nanyi “wakulungwa” wapenda motion pictures maana sharing is caring, I scare because I care.
Hua napenda series na muvi...
Habari zenu wakuu.
Kabla ya kufanya research kama kuna kitu kilikuwa kinanichanganya wakati naangalia series za Korea ni hizi kingdoms.
Unakuta series hii wameigiza kipindi cha GORYEO , nyingine...
Kimeandikwa na: H.G.Wells, 1904
Kimetafsiriwa na: Pictuss
Email: Pictuspublishers@gmail.com.
Pictuss2021.
Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu yoyote ya tafsiri hii inayoweza kunakiliwa...
Anaandika hivu kwenye kitabu chake The prince.
Mtafsiri: Pictuss.
Email: pictuspublishers@gmail.com.
SURA YA 17
Kuhusu ukatili, rehema na iwapo ni bora kupendwa kuliko kuogopwa
Kwa kuangalia...
Kazi iendelee. Inashangaza kusikia mtu kama B12 kuacha kazi Clouds FM, kweli binafsi nilishangaa sana maana ulisikia B12 Clouds inaclick kichwani, Diva Clouds, kuna kina Lilian Mwasha nasikia na...
It has been a night....
A whole night.....
A bundle night.....
All night long....!
Thanks for the ride, Dar ride...
Baby walking on fleek 😜
Night Fellas and Amigos 👋
Yes! ukimuuliza mtu yeyote kuhusu Korea atakwambia kuhusu series kama IRIS, BRIDAL MASK, HOTEL DE LUNA AU CITY HUNTER.
Lakini vipi kuhusu movkes za kikorea mbona hatuzioni mtaani? Hata kama zipo...
01
Naikumbuka vema ile siku. Alinipigia simu, nami nikaipokea kwa bashasha na furaha tele. Huyu alikuwa mpenzi wangu, mwanamke aliyenipa raha mara nyingi. Hellen.
'Mambo vipi mpenzi? Uliona...
Dj Khaled kwa sasa anafanya vizuri sana na Album yake mpya ya Khaled Khaled baada ya ile Father of Asad kufanya vizuri pia..
Machache tu Nliyoyaona kwenye ile Album..
Ni Mimi tu nilieona Jay...
Habari zenu wakuu, kwa wale wapenzi wa korean dranas hii ni ya kwenu.
Channel ya TVN kutokea Korea Yaingia Rasmi Africa.
Wakorea ambao kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukiangalia series zao na wao...
Habar wadau wa JamiForums
Nimekaa na kuangalia upepo wa Mashabiki wa simba na matokeo ambayo wameyabeba kwenda nayo uwanjani huenda ikaleta tabu
Kwanini nasema muda sio Mzuri ni sababu Daresalam...
Hii series ya falcon and winter soldier baada ya mud mrefu wakampata C.A mpya lakin awe serious kidogo otherwise ataharibu series
Ila winter soldier kaeleweka sana
Naipa rate 6/10 nini maoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.