James alikuwa ndio kwanza amemaliza elimu yake ya kidato cha sita, akiwa anangojea matokeo akaamua kutoka kwao kijijini na kutembelea mjini ili angalau aone dunia invyokwenda, pia aliamini mjini...
Kuna kipindi nilikua bado sijakuwa mkubwa nilikuwa nikitazama TV asubuhi hasa ITV ndo nilikuwa naipenda sana home unakuta nyimbo flani zinarudiwa kila siku.
Mtaji wa Maskini ya Banza Stone, Elimu...
Habari zenu wakubwa, kuna nyimbo ya kitambo kidogo nimeitafuta bila mafanikio mwenye nayo hebu share nami.
************************************************
Ngoma imepatikana hiyo wazee
Jina la...
Salamu!
Kama Kichwa Cha Habari Kinavyouliza, Je Ni Movie Au Filamu Gani Ulishawahi Kuitazama Ambayo Star Wake Alikufa Ikiwa Ni Sehemu Ya Story Ya Filamu Hiyo?
Kwa ukweli mimi kama mdau wa movies nikiri kuwa kuna waigizaji au waongoza movies ni magenious, ni talented haswa na hii hufanya nifuatilie sana kazi zao kwa sababu wanajua nn wanafanya. Kati ya...
Habari wana jamvi,leo jioni itakua siku nyingine chungu kwa mashabiki wa Simba SC,Kaizer anaenda kutoa kipigo kingine kama sio kinachofanana na kilichopita (4G) basi chini kidogo ya kipigo...
Hapa Tanzania/Bongo kuna watu wanakuwa maarufu kwa kipindi fulani(trend) kutokana na harakati zao za maisha kama vile muziki,fulani,sasa, vichekesho na kadhalika. Mitano michache ni marehemu Dr...
Habarini JF.
Kwa kitendo hivhi kinachoondelea kiukweli hakuna pale msanii yaani WIMBO mbovu saana Tena saana.
Tatizo anamuiga sana ZUCHU na manajiment Yake kiujumla bado inawawaza sana WCB...
Leo Nandy ana jambo lake, atakuwa Clouds FM akisindikizwa na baadhi ya wasanii.
Jukwaa limetengenezwa eneo la kuegesha magari, pamependeza sana.
Jambo lenyewe linatarajiwa kuanza mishale ya saa...
Baada ya Dar, yaua Dom, Moro matanga
na Vumilia Kondo, Morogoro
KUNDI la muziki wa kizazi kipya la Wanaume Halisi, limefanikiwa kuwafunika tena wapinzani wao, Wanaume Family katika...
Habarini Wana JF,
Kusema ukweli Diamond platinumz Ni genius wa Muziki wa kizazi kipya na kwa Maandalizi haya anaenda kuishangaza dunia kwa ALBUM ya Karne tangu Tanzania ipate Uhuru.
Kuna baadhi...
Tuachane na comics, ni kitabu gani ulisoma ukacheka sana. Mi nilisoma kitabu kinaitwa Haifai. Hiki kinazungumzia jinsi ya kujiendesha kwa adabu katika mazingira mbalimbali. Muandishi anaitwa Abdu...
Nisijifanye namfahamu sana Bae Suzy. Of course nimeangalia movie yake moja inaitwa ASHFALL amefanya na Lee Byung Hun { bonge la chemistry}
Kwenye upande wa series nilimuona kwenye GU FAMILY BOOK...
Bila kupoteza muda naomba niwataje mastaa watano kutokea korea ambao hawana account rasmi kwenye mitandao ya kijamii.
Ukiingia instagram kwa mfano unakuta mashabiki wameanzisha Fan pages tu na...
Tukianza na mm km mimi wimbo wangu pendwa kutoka kwa mfalme huyu wa bongo fleva ni "MBIO".
Kwanini mbio?ni wimbo ambao uandishi wake naupa 100%...melodies99.9%...beat..99.8%...mm co mtaalam sana...
Juzi juzi hapa nilikuwa naangalia series ya MOUSE starring LEE SEUNGGI moja ya vitu vilivyonishangaza kwenye series ile ni jambazi kuu Doctor Han Seo Joon kukamatwa na kuwekwa ndani kwenye episode...
Katika Hali isiyotarajiwa na wengi, C.E.O wa Next Level Music Rayvanny aka vannyboy mtu mbaya amezid kumvuruta mmiliki wa label ya Konde gang Harmonize Mzee wa picha za utupu
Rekodi mbali mbali...
Kevin alikua akifanya mapenzi na Aisha wakitumia kondomu. Waliendelea tendo kwa muda wa dakika tano. Ghafla Aisha akamwambia kevin avue mpira ili waendelee kufanya mapenzi bila mpira wa kondomu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.