Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Leo ni miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha mmoja wa Wanamuziki bora zaidi kuwahi kutokea katika Bongo Fleva, Albert Mangwea.
Mengi yamezungumzwa kuhusu kifo chake, na hakika ameacha pengo kubwa katika muziki huu .
Pumzika kwa amani, Albert Mangwea.
Mengi yamezungumzwa kuhusu kifo chake, na hakika ameacha pengo kubwa katika muziki huu .
Pumzika kwa amani, Albert Mangwea.