Pharoah Sanders, mpiga saxophone wa Jazz wa Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 81. Habari hizo zilithibitishwa na lebo ya Sanders, Luaka Bop, kwenye Twitter.
"Tumesikitika kushiriki...
RIWAYA: BARUA KUTOKA JELA.
MTUNZI: IBRAHIM GAMA
SEHEMU YA KWANZA
Ilikuwa ni Jumapili moja tulivu, majira ya asubuhi. Gereza la keko lilikuwa katika pilikapilika, kama ilivyo kawaida yake katika...
Msanii mzuri utamjua katika kuandika nyimbo zenye maadili na zinazokubalika tu.
Hawa sijui amelowa, mara imwagie ndani hawana lolote there are there only to make money infact sio wasanii wazuri...
Wakubwa heshima kwenu,wadogo asante[emoji120]
Leo nlikuwa natazama kipindi cha 'the story book' ambapo mada ya leo ilikuwa ina wahusu kabila fulani kule Africa magharibi,kabila hilo inasemekana...
Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, amesema anamshukuru Mungu kwa kumtendea muujiza, kwani mambo yake hivi sasa yanaenda vizuri.
“Nafurahi mno mwezi huu, kwa sababu baadhi ya vitu vyangu...
Ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na rafiki yangu kipenzi aitwaje Mayasa alifurahi kuniona nami pia tuliongea mengi sana pia ila akanisimulia hali yake ya ndoa "
Mayasa: MAYANGA nimefurahi...
Kizungumkuti!
Na Bishop Hiluka
“Hii ni trela tu, picha kamili keshokutwa! Hakyamungu keshokutwa hakai mtu hapa… mi naapa! Nitakunywa na nitatembea uchi ukumbi mzima kama mademu wakinimaindi poa...
Habari wana jamvi...
Kama kichwa kinavyosema hapo juu...
Nilikuwa naomba mwenye PDF ya Kitabu cha JORAM KIANGO LAZIMA UJE au kwa jina lingine lolote...
Kuna movie moja nakumbuka niliiona ya...
HEKALU LA WACHAWI sehemu ya 02.
Inaendelea...Kuanzia kipindi hicho nilibaki mkiwa mimi Pamoja na mdogo wangu mmoja wa pekee wa kiume aliyeitwa James. Baadae kidogo baada ya matanga ya baba yetu...
HEKALU LA WACHAWI sehemu ya 01.
Mwandishi,, @NijoSenso
Katika dunia Kuna mambo mengi sana yaliyojificha kuliko yanayoonekana. Mwenyezi MUNGU mwenye uwezo aliumba viumbe wengi sana wanaoonekana...
Mwimbaji Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amefunguka mengi kuhusu baba yake mzazi anayefahamika kwa jina la Mzee Omary Nyembo baada ya baadhi ya mashabiki zake kumbebesha lawama kuwa hamjali mzee wake...
Anak, viumbe kutoka nibiru waliokuja duniani na kukutana na dunia iliyokuwa imejaa sokwe weupe na weusi, na jitihada zao katika kuunganishi genie zao na za viumbe ilivyovikuta duniani ili...
Nyimbo za kisukuma zimekuwa zikipigwa sana maeneo mbalimbali na kona zote za nchi, na kwenye maharusi, kumbi za starehe na kwenye ndoa za watu wote nchini.
Huu uzi utakuletea majina ya wasanii...
Mara nyingi nimekuwa nikimsikia akishirikishwa na baadhi ya wasanii, swali kubwa nikawa najiuliza huyu msanii ana kipi hasa spesho?
Katika pitapita zangu mitandaoni nikakuta wadada wanajirekodi...
Huu ni Kwa Mujibu wa Watu wa Industry Ya Music
- Impacts, album ya Prof Jay na Afande Sele ukiachana kuwa na mawe mazito pia zilileta ushawishi mkubwa kwenye Bongo Flava.
Kwa miaka hiyo Dansi...
MKUFU WA SHANI (2)
IMETUNGWA NA BEKA MFAUME
[The Greatest]
ILIPOISHIA
Kabla hajateremka kutoka kwenye gari ambalo tayari lilishaegeshwa kwenye maegesho ya nyumbani na mume wake aliyekuwa...
Yaani ziwe katika mfumo wa Tamthilia ama Filamu.
Weka hapo chini_ Kisha sisi (KS Entertainment kwa kushirikiana na muandaaji wa hiyo simulizi tutafanya Jambo kwaajili yenu).
Ni swali ambalo mara nyingi naulizwa sana na watu wanaogiza au wenye matamanio ya kuigiza. Jibu langu huwa ni ndefu na linaloshirikisha sekta nyingi sana za filamu. Secta zenyewe ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.