Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna wakati mwingine kuna baadhi ya game zipo kwasababu ya kukupotezea muda wako Nyingine zipo ili kukomaza akili yako juu ya mambo mbalimbali Ila hii game ya megapolis ni elimu tosha juu ya...
0 Reactions
4 Replies
714 Views
RIWAYA: MAUAJI YA KASISI MTUNZI: richard MWAMBE Simu: +255 766 974865 UTANGULIZI MAUAJI YA KASISI © Richard Richard Mwambe Ni kizaazaa katika jiji la Nairobi, Kasisi wa kanisa katoliki anauawa...
6 Reactions
70 Replies
23K Views
Basi bhana kunasiku nilikuwa nimetoka shule. Nimwezi wa kumi na tumemaliza kidato cha nne na nilikuwa na raha sana. Basi bhana kufika Moshi Mjini nilikuwa na dada alikuja na taxi tukatuwa Moshi...
1 Reactions
10 Replies
754 Views
Habari wapendwa, Leo nimekuja upande huu kwa ndugu zangu wafuatiliaji wa Bollywood au tasnia ya sinema india. Nimekuja na list ya mastaa bora wa filamu kwa muda wote pale india kaskazini, ambapo...
8 Reactions
95 Replies
8K Views
Habari zenu... Nimejikuta nimedondokea ktk instagram trends na kukuta kuna huyu mmasai wa tanzania anaitwa Kili Paul na mdogo wake wa kike Neema... Wamekua maarufu sana ktk mitandao ya kijamii...
8 Reactions
19 Replies
3K Views
Hizi ndio kwaya bora kabisa kuwahi kutokea nchini. Vigezo vilivyotumika: 1. Kuimba nyimbo zenye msingi katika neno la Mungu. 2. Ujuzi katika upigaji vyombo vya muziki na sauti. 3. Nyimbo...
6 Reactions
43 Replies
7K Views
Harmonize anakwama wapi? Hivii mnadhan kwanini CHEED na KILLY wamejitoa Konde Gang?
0 Reactions
2 Replies
344 Views
SUMAYA FATE OF LOVE SEHEMU YA PILI Lakini alijitahidi asioneshe hilo kwa Mama yake lakini damu ni nzito kuliko maji Zuleya aliitambua vema hali aliyonayo Sumaya nae alificha hilo mpaka...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Fortico security walimtambua kama Patrick Hill kwenye kazi zilizohitaji usafirishaji wa fedha, aliajiriwa yeye kama mmoja wa wasindikizaji hao. Kanuni ndogo tu, unafanyiwa mazoezi ya matumizi ya...
13 Reactions
20 Replies
3K Views
Hapo kale paliondoka ndugu wawili, mmoja ana mke, mmoja hana, wakakaa. Yule asiye na mke, akamwambia mwenziwe, “Nimejua, hapana mke awezaye kusitiri neno. Kama hujui mjaribie mke, wako.”...
0 Reactions
3 Replies
611 Views
Ngoma inavyoaanza unamsikia Sugu akisema kuwa hii anaitoa kwa mwanafunzi aitwaye Michael Sukupia wa Iyunga aliyefia mikononi mwa polisi. Ila wengi hatujui stori zaidi na kiundani kuhusiana na kisa...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Enyi watu makini wa JF, Nimeamka nimekutana na ujumbe wa produza ambaye ni jamaa yangu ya kuniomba nimuunge mkono huyu bwana. Nimemsikiliza lakini bahati mbaya sina sikio zuri la kutambua kipaji...
0 Reactions
5 Replies
632 Views
Kama ww ni mfatiliaji wa series za Korea bas hutapinga kuhusu hili kua IRIS ndio sereis bora ya kipelelez nchini Korea. Hii series ndio ilikua series iliotumia budget kubwa mpka pale series kama...
6 Reactions
57 Replies
11K Views
Aliiimba Hamza Kalala sikumbuki kama alikuwa na Bantu Group au peke yake. Anasema eeeh eehe eehh kasimbagho, kabhuka. Mka mkamwana mkalole kasimbagho. Mwenye huu wimbo please aubandike hapa...
2 Reactions
1 Replies
539 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Recording Academy, Harvey Mason Jr. amesema kuwa Grammys walikuwa wanafikiria kuongeza kitengo cha tuzo kwa upnade wa Afrobeats. Akizungumza na waandishi wa habari nchini...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
Kiufupi Joti amesema nyimbo zilizotesa sana B.Fleva Tanzania ni Kwangaru, Hakunaga, Starehe, Sinderela etc, bila mpangilio maalumu. Ila kiukweli kabisa wimbo uliotamba Tanzania namba moja kabisa...
22 Reactions
85 Replies
6K Views
Hii season kali sana, actions mwanzo mwisho.
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Sehemu ya 1. Jakson Maiga.Koplo, kutoka kituo kikuu cha Polisi Arusha, alionekana na mawazo mengi kichwani kuhusu hatma ya maisha yake ya baadae, akiwa...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Ukizingumzia moja ya action kali kwa mwaka huu, basi hii ni moja wapo. Humo kuna wakali kama Brad pitt, Andrew Koji na mkongwe Hiroyuki Sanada [emoji91]. Kitu lipo chini ya Sony Picture...
4 Reactions
8 Replies
889 Views
Wakuu humu ndani hamna wapenzi wa BBN? Naona season hii kuna washiriki wazuri kweli na wameweka level mbili naona shindano la mwaka huu litanoga sana. Mpaka sasa housemates wanao make headlines...
5 Reactions
103 Replies
5K Views
Back
Top Bottom