Tupac Amaru Shakur, better known by his stage name 2Pac and later by his alias Makaveli, was an American rapper and actor. Considered one of the most influential rappers of all time, Shakur is...
Watu wanajua Lusaka hela kinoma!
Nimeisubiria kitambo sana hii muvi hatimae James Cameron kashafanya yake muvi iko tayari. Wameanza kuishoot toka Nov 27 2017
zote 2&3 kwa pamoja.
Avatar 2 itatoka...
Katika ujumbe wa video, alisema "alijawa na shukrani kwa ajili ya safari" lakini kwamba kulikuwa na "sehemu nyingine ya maisha yangu ambayo ninataka kuendelea kuifatilia".
Mchekeshaji huyo mwenye...
Habari zenu wana jamvi,nimekuja kwenu kwa wale wapenzi wa series za kikorea na zile za English nahitaji movie ONLY SERIES nina external ya ukubwa wa 1TB = 931GB nahitaji ijazwe Series,najua tabu...
Wadau kutokana na ugumu wa maisha tunahitaji Sana sehemu ya kupunguza msongo wa mawazo(stress)kupitia majukwaa mbalimbali, lakini hapa JamiiForums moja ya jukwaa nalolitegemea kupata taarifa...
Kwa wale wapenzi wa Movie, kuna huu mzigo wa Netflix, The Gray Man..., Yes, kuna possibilty watu wengi wamekwisha itazama.., Sadly imepata reviews mbovu sana from Rotten Tomatoes na Critics...
Waungwana nimeuona huu mjadala huko kwa kina Chioma, nimeufuatilia kwa karibu lakini bado sijajua ni yupi yupo juu ya mwenzake.
Kati ya Ronaldo na Beyonce ni nani maarufu na mwenye ushawishi...
HADITHI YA NJIA YA KUKAMATA MWIZI
ZAMANI za kale alikuwako mtu mmoja aliyekuwa na rasilmali yake, rupia elfu akazitia ndani ya mfuko akazifungia ndani ya sanduku lake. Hapana mtu aliyejua habari...
Salam wakuu,
Straight to the point. Nimekaa sehemu flani hapa wanapaita Bambalaga, Dj amegonga magoma ya amapiano hapa watu wote wamewehuka kwa vishindo vya magoma. S.A kiukweli wameweza...
Yote ni aina ya muziki wa kiafrika kutoka mitaani wanakoishi Waafrika wa hali ya kawaida.
Amapiano nasikia inatokea mitaa kama Soweto, Katlehong, Vosloorus ama Mamelodi huko Afrika Kusini.
Tena...
Ninaitwa Ellisha James kutoka Arusha tuliwahi kuunda kundi moja na Motra the future,Raff Emcee na Sight Moe lililoitwa KINGS- Kijenge,Ngalimi na Sekei
Hii hapa ni ngoma yangu mpya, inaitwa...
Ila nikikumbuka hizi nyimbo nafurahi Ila Kuna mda napata huzuni Kuna watu tulikua tunaimba nao sasa hivi ni marehemu time flies
Wachuja nafaka yaleo Kali
Hardman-tamala
Adili ft Domo kaya pekee...
Mwandishi wa kitabu: Peter Charlz
Mchoraji: Peter Charlz
Instagram / Twitter / Facebook: petercharlz255
Email: petercharlz255@gmail.com
Shukrani za dhati kwa kila alieshiriki kuandaa kitabu hiki...
Mtunzi Nyemo Chilongani sehemu ya 01
SEHEMU YA 01
Mvua kubwa ilikuwa ikinyesha, mitaro midogo ikaanza kujaa maji huku baridi likianza kupiga kwa nguvu ndani ya jiji la Dar es Salaam...
Verse 01:
Kipyenga kimelia Mambo Magumu/
Mithili ya Sumu/
Uchungu na maumivu ambayo huwezi kuvumilia/
Kaa tulia/
Futa machozi msela inatusumbua hela/
Hatuna hata kitu kidogo Cha kupeleka...
Habari wana JF..
katika kipindi cha hivi karibuni kama miaka 5 au 6 nyuma kwa wale wafatiliaji wa entertainment hizi mbili muhimu kwa nchi ya marekani nazungumzia muziki na movie wamenotice kua...
Hizi nyimbo wanatoa wakina HARMONIZE (HIGH SCHOOL), IBRA (THE KING OF NEW SCHOOL) .kwa upande wangu ni mkusanyiko wa nyimbo kali tu. na sio album.
yale maneno ya ROMA MKATOLIKI kwenye nyimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.