Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari member wa JamiiForums ningependa kuwaleteeni Riwaya ya ndugu mwandishi Kelvin kagambo ili tuelimike na kubuludika pamoja. ======== RIWAYA: MWANAMKE KAMA MAMA YANGU MTUNZI: KELVIN DONATUS...
5 Reactions
50 Replies
12K Views
Idon't wanna wait in vain for your love I don't wanna wait in vain for your love From the very first time I placed my eyes on you, girl My heart says follow through But I know, now, that I'm way...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Poleni na majukumu wakuu, Niende kwenye mada. Kwa wale ambao washaangalia filamu flani za Kimarekani zinaitwa THE PURGE nadhani wanaelewa nini kilikuwa kinafanyika mule, kwa wale ambao hawajawahi...
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Umewahi kusoma hiki kitabu? Kimeandikwa na: George Orwell, 1945. Kimetafsiriwa na: Pictuss Email: Pictuspublishers@gmail.com. ©Pictuss2021 Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu yoyote ya...
5 Reactions
43 Replies
13K Views
Waziri Mkuu wa Uganda ametengua Uamuzi wa Bunge la Uganda kusitisha Tamasha la Nyege Nyege Uganda, Jinja. Waziri Mkuu Rabina Nabbaya ameruhusu Tamasha hilo lifanyike -Sababu moja kuu ni kuwa...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Unazikumbuka izi movie za Kinigeria? 1. KARISHIKA 2. SAKOB (snake girl) 3. A CRY FOR HELP 4. EMEMBER 5. BLOOD SISTER 6. MY LOVE 7. IGODO 8. END OF WICKED 9. THE PRICE 10.BILLIONARES CLUB Na...
0 Reactions
321 Replies
69K Views
TITLE:ONLY ONE KING MTUNZI:JOTO LA MOTO SEHEMU YA KWANZA NJE.IKULU YA MFALME MKUU-MCHANA Jengo kubwa jeupe, ndani ya uzio wa ukuta na nyaya za senyenge nzito juu. Kwenye eneo la kilomita za...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
UTAMU WA MJAMZITO. Sehemu ya kwanza WhatsApp 0629980412. Dokta hamza hakuamini macho yake, aliyafikicha kwa mikono yake na kutazama tena. Alichokiona mwanzo ndicho alichokiona tena. “...
1 Reactions
6 Replies
50K Views
EDIT2: KWA UFUPI: Pale mjini palikuwa na binti maarufu kwa ununda. Waoaji wote walikuwa wakimkwepa, wakitaka kumposa mdogo-mtu aliyesifika kwa tabia njema. Hadithi hii ni simulizi la 'baharia'...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu samahani kidogo na poleni na majukumu, Hivi hii ngoma ya Wakali kwanza, inaitwa NATAMANI, ndani kuna Makamua, Qj na Joselin. Ni nyimbo ambayo ilitoka mwaka gani? Na kuna tuzo ilichukua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Yaani nikiwa naitazama ifike hatua mpaka nitoe machozi ni movie gani inaweza nitoa machozi.
4 Reactions
107 Replies
10K Views
STORY: JINI ZUNAIDA MTUNZI: HAFIDHU MWINYIMKUU CONTACT: 0719013038 WHATSAPP: 0719013038 MAHALI: DARES SALAAM SEHEMU YA KWANZA Story yetu inaanza katika falme ya majini iliyofahamika kwa jina la...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Habari wakuu Nimebahatika kuangalia series za kikorea zifuatazo; Athena, Iris, City hunter, Jumong, The land of wind, Emperor of the sea, The Chaser, The painter. Kama kuna mtu anafahamu series...
0 Reactions
71 Replies
39K Views
Rais huyo Mstaafu amefanikiwa kunyakua tuzo hiyo kupitia filamu ya 'Our Great National Parks', Makala inayohusu hifadhi za Taifa iliyotolewa na Emmy, filamu hiyo inaoneshwa na Netflix. Obama...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Rapa Kanye West amefichua jinsi uraibu wake wa ponografia ulivyoharibu familia yake. Bilionea huyo amethibitsha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram Chapisho hilo linasemekana kumrejelea mama...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Beyoncé, ambaye alizaliwa mnamo Septemba 4, 1981, alipata umaarufu akiwa member wa Destiny's Child (hapo awali kilijulikana kama Girl's Tyme), moja ya bendi kubwa zaidi za wasichana katika...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna video hii nimekutana nao sehemu kuhusu ya Wenge Musica Tout Terrain 4 x 4. Vijana wenye watanashati na Mitindo ya kisasa (Bon Chic Bon Genre). Video hii inaongea mengi sana. Jinsi gani watu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Poleni kwa majukumu wakuu wangu, ninahitaji msaada wa kuunganishwa na wasanii wa aina zote. Lengo kuu ni kujaribu kuona kama tunaweza kufanya kazi pamoja. Mimi ni kijana ninayepambana na maisha...
4 Reactions
13 Replies
807 Views
Wakuu ninaomba mtu yeyote anayeujua huu wimbo wa reggae au jina la mwanamuziki aliyeuimba tafadhali,
1 Reactions
8 Replies
865 Views
Back
Top Bottom