Habari member wa JamiiForums ningependa kuwaleteeni Riwaya ya ndugu mwandishi Kelvin kagambo ili tuelimike na kubuludika pamoja.
========
RIWAYA: MWANAMKE KAMA MAMA YANGU
MTUNZI: KELVIN DONATUS...
Idon't wanna wait in vain for your love
I don't wanna wait in vain for your love
From the very first time I placed my eyes on you, girl
My heart says follow through
But I know, now, that I'm way...
Poleni na majukumu wakuu,
Niende kwenye mada. Kwa wale ambao washaangalia filamu flani za Kimarekani zinaitwa THE PURGE nadhani wanaelewa nini kilikuwa kinafanyika mule, kwa wale ambao hawajawahi...
Waziri Mkuu wa Uganda ametengua Uamuzi wa Bunge la Uganda kusitisha Tamasha la Nyege Nyege Uganda, Jinja.
Waziri Mkuu Rabina Nabbaya ameruhusu Tamasha hilo lifanyike -Sababu moja kuu ni kuwa...
Unazikumbuka izi movie za Kinigeria?
1. KARISHIKA
2. SAKOB (snake girl)
3. A CRY FOR HELP
4. EMEMBER
5. BLOOD SISTER
6. MY LOVE
7. IGODO
8. END OF WICKED
9. THE PRICE
10.BILLIONARES CLUB
Na...
TITLE:ONLY ONE KING
MTUNZI:JOTO LA MOTO
SEHEMU YA KWANZA
NJE.IKULU YA MFALME MKUU-MCHANA
Jengo kubwa jeupe, ndani ya uzio wa ukuta na nyaya za senyenge nzito juu.
Kwenye eneo la kilomita za...
UTAMU WA MJAMZITO.
Sehemu ya kwanza
WhatsApp 0629980412.
Dokta hamza hakuamini macho yake, aliyafikicha kwa mikono yake na kutazama tena. Alichokiona mwanzo ndicho alichokiona tena. “...
EDIT2:
KWA UFUPI: Pale mjini palikuwa na binti maarufu kwa ununda. Waoaji wote walikuwa wakimkwepa, wakitaka kumposa mdogo-mtu aliyesifika kwa tabia njema. Hadithi hii ni simulizi la 'baharia'...
Wakuu samahani kidogo na poleni na majukumu,
Hivi hii ngoma ya Wakali kwanza, inaitwa NATAMANI, ndani kuna Makamua, Qj na Joselin.
Ni nyimbo ambayo ilitoka mwaka gani? Na kuna tuzo ilichukua...
STORY: JINI ZUNAIDA
MTUNZI: HAFIDHU MWINYIMKUU
CONTACT: 0719013038
WHATSAPP: 0719013038
MAHALI: DARES SALAAM
SEHEMU YA KWANZA
Story yetu inaanza katika falme ya majini iliyofahamika kwa jina la...
Habari wakuu
Nimebahatika kuangalia series za kikorea zifuatazo; Athena, Iris, City hunter, Jumong, The land of wind, Emperor of the sea, The Chaser, The painter. Kama kuna mtu anafahamu series...
Rais huyo Mstaafu amefanikiwa kunyakua tuzo hiyo kupitia filamu ya 'Our Great National Parks', Makala inayohusu hifadhi za Taifa iliyotolewa na Emmy, filamu hiyo inaoneshwa na Netflix.
Obama...
Rapa Kanye West amefichua jinsi uraibu wake wa ponografia ulivyoharibu familia yake. Bilionea huyo amethibitsha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram
Chapisho hilo linasemekana kumrejelea mama...
Beyoncé, ambaye alizaliwa mnamo Septemba 4, 1981, alipata umaarufu akiwa member wa Destiny's Child (hapo awali kilijulikana kama Girl's Tyme), moja ya bendi kubwa zaidi za wasichana katika...
Kuna video hii nimekutana nao sehemu kuhusu ya Wenge Musica Tout Terrain 4 x 4. Vijana wenye watanashati na Mitindo ya kisasa (Bon Chic Bon Genre). Video hii inaongea mengi sana. Jinsi gani watu...
Poleni kwa majukumu wakuu wangu, ninahitaji msaada wa kuunganishwa na wasanii wa aina zote.
Lengo kuu ni kujaribu kuona kama tunaweza kufanya kazi pamoja. Mimi ni kijana ninayepambana na maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.