maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,424
- 957
Ni baada ya Mr Makonda kusema mwisho wa kupiga mziki kwenye kumbi za wazi ni saa sita usiku badala ya saa tisa kama ilivozoeleka
hili ni balaa kwa wanamuziki wa Dansi na Taarab, Hapa Kazi Tu
Ombi langu pia kwa mheshimiwa Makonda asisahau na alichoombwa na wabongo movie kuzuia movie za nje zisitazamwe dar es salaam ili kuongeza uzalendo wa filamu zetu za nyumbani
Hapa kazi tu
hili ni balaa kwa wanamuziki wa Dansi na Taarab, Hapa Kazi Tu
Ombi langu pia kwa mheshimiwa Makonda asisahau na alichoombwa na wabongo movie kuzuia movie za nje zisitazamwe dar es salaam ili kuongeza uzalendo wa filamu zetu za nyumbani
Hapa kazi tu