Kwa ushindani uliopo sasa hivi kwenye Bongo fleva inakuwaje kwa wasanii wachanga ?

samsun

JF-Expert Member
Feb 9, 2014
7,386
5,954
Ndani ya siku kadhaa zimeshatoka nyimbo kibao na bado zinakuja wasanii kwasasa inabidi wajipange kabla hawajaachia nyimbo zao. Ujipange kuanzia promo redioni na kwenye Tv pamoja na mitandao ya kijamii. Lakini kitu ambacho nachojiuliza inakuwaje kwa wasanii wachanga au alipotea halafu anataka kurudi au yupo siku nyingi ila huwa ni wa kawaida si inawawia vigumu sana kwao ..................... zifuatazo ndio nazijua zimetoka hivi karibuni au bado zinasikika masikioni kwa watu.

Nay Wamitego - Saka hela.

Shishi beibi - Say ma name.

Shettah - Namjua.

Madee - Migulu pande.

Nedy ft Dimpoz - ( jina limenitoka)

Ambazo hazina muda mrefu;

V.Money - niroge.

Jide - Ze ndi ndi ndi.

Snura - chura (japo yupo lupango)

Na pia kuna jamaa yetu kila akichungulia nje anaona toba !!!!!!! anaishia kutuuliza "AJE" ???
 
Nilijua tu ila yote maisha
Sasa hivi fitna ndo nyingi kwa wasanii ushindani mkubwa upo toka long mkuu
 
Mziki wa bongo upoupo tu unategemea ngekewa zaidi ila sio ubunifu,we trust kwenye nyota zaidi sio maandalizi mazuri ya msanii na management yetu kwa ujumla,soccer na muziki wa bongo bado uko katika level ya ridhaa kwasababu mpaka sasa hakuna record label za maana,hatuna wafanyabiashara wa mziki waliopo ni wababaishaji sana,bado hata government haijatambua kama buradani na sanaa ni ajira rasmi ndomana mpaka leo maslahi ya kazi za sanaa haya eleweki
 
Ndani ya siku kadhaa zimeshatoka nyimbo kibao na bado zinakuja wasanii kwasasa inabidi wajipange kabla hawajaachia nyimbo zao. Ujipange kuanzia promo redioni na kwenye Tv pamoja na mitandao ya kijamii. Lakini kitu ambacho nachojiuliza inakuwaje kwa wasanii wachanga au alipotea halafu anataka kurudi au yupo siku nyingi ila huwa ni wa kawaida si inawawia vigumu sana kwao ..................... zifuatazo ndio nazijua zimetoka hivi karibuni au bado zinasikika masikioni kwa watu.

Nay Wamitego - Saka hela.

Shishi beibi - Say ma name.

Shettah - Namjua.

Madee - Migulu pande.

Nedy ft Dimpoz - ( jina limenitoka)

Ambazo hazina muda mrefu;

V.Money - niroge.

Jide - Ze ndi ndi ndi.

Snura - chura (japo yupo lupango)

Na pia kuna jamaa yetu kila akichungulia nje anaona toba !!!!!!! anaishia kutuuliza "AJE" ???

Cover inajieleza karibuni sana!!!
 

Attachments

  • 1462890158528.jpg
    1462890158528.jpg
    22.1 KB · Views: 42
Mziki wa bongo upoupo tu unategemea ngekewa zaidi ila sio ubunifu,we trust kwenye nyota zaidi sio maandalizi mazuri ya msanii na management yetu kwa ujumla,soccer na muziki wa bongo bado uko katika level ya ridhaa kwasababu mpaka sasa hakuna record label za maana,hatuna wafanyabiashara wa mziki waliopo ni wababaishaji sana,bado hata government haijatambua kama buradani na sanaa ni ajira rasmi ndomana mpaka leo maslahi ya kazi za sanaa haya eleweki
Kwahiyo unataka kusema hakuna kanuni NI KAMA ZARI LA MENTALI TU KUFANIKIWA ???
 
mziki umekuwa mgumu sana cku izi sio km zamani kila mwaka tulikuwa tuna pata nafac ya kuwasikia wanamziki chipukizi walio hustle n ku struggle wenywe kufika hapo cku izi msanii chipukizi bila kushikwa mkono hautoki utapiga sana jarambee au sijui vipaji vimeisha
 
ndio maanake,unaweza kunambia ni wasanii wangapi wabongo fleva ambao ni wanamuziki??!!
Namjua DIAMOND tu kuwa ndio mwanamuziki, vipi kiba naye tumuingize kwenye kundi la wanamuziki ????
 
Back
Top Bottom