Nataman nimuone YASMIN...

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,320
11,327
Habar za sikukuu?? Natumain mmesherekea vema ...Mimi nmekua mpenz wa kusikiliza nyimbo za FALLY IPUPA na zaid namkubali jamaa sana. ...sasa mda mwingi nyimbo zake anantaja YASMIN NA KATI YA TANZANIA ....navomjua jamaa ni wa totoz itakua ile show aliyokuja dar kipindi flani huyu mdada nseme anaeitwa YASMIN alimchanganya vilivo!!
Nataman anaemjua atupie hata picha ....!!!
 
Jasmin kaolewa na Tajiri mkubwa wa kicongo aliyeko london ,ndio maana wanamuheshimu hao wanamuziki,ni shemeji,ni dame mbongo
 
Jasmine ndie yule dada mnene kiasi aliemleta fally pupa kipindi kile

Ukiangalia zile live Videos zake utamuona kwa nyuma ya stage
 
Back
Top Bottom