Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection Madee amefunguka na kueleza ni kwanini wasanii wengi wa muziki wa Hip Hop nchini wanashindwa kufanya vizuri licha ya nyimbo zao kupendwa mitaani...
Leo na ni muda huu yupo Clouds Fm kwenye XXL anafanya mahojiano,nimeshangaa kumsikia jamaa anasema "Ujue mimi nina watoto watatu wa mama tofauti".
Kumbe wenye watoto wengi na kila mtoto na mama...
Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu amefunguka na kusema kama wasanii wa filamu nchini wana wakati mgumu kutokana na changamoto mbalimbali zinazoikabili tasnia hiyo ya...
Habari za uhakika zilizotufikia ni kwamba mwanamuziki wa bongo flava hapa nchini Baraka De Prince amemtambulisha rasmi mke wake mtarajiwa Najma kwa wazazi wake huko jiji Mwanza.
Hongera Baraka...
Binti machozi alitoa siku saba kwa aliyekuwa mwandani wake kumuomba radhi hadharani vinginevyo sheria itachukua mkondo.
Mdau aliyepata kilichojili baada ya siku saba kupita hebu tujuze nini...
Yule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua
Amedai...
Wakazi wa kanda ya ziwa mko tayari!, Vodacom inakuletea tamasha la aina yake tarehe 21 May 2016 - Jembeka Festival litakalofanyikauwanja wa CCM-Kirumba.
Wasanii wa filamu wanaounda kampuni ya RJ Company, Brandina Chagula ‘Johari’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ wanajiapanga kuingia kwenye biashara ya kuandaa tamthilia ambazo zitakuwa zinaonyeshwa katika...
Ni karibu wiki moja sasa toka Ali Kiba atoe wimbo mpya Aje. Lakini cha kushangaza wimbo umezinduliwa nje ya nchi na unachezwa huko karibu wiki nzima huku washabiki wake wa bongo wakiendelea...
Msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja aitwae Sasha, Faiza Ally amedai hajawahi kufanya kutoka kimahaba na mtanzania yeyote toka aachane na aliyekuwa mume wake Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kwa madai...
Msanii wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni ametimkia nchini Rwanda baada ya kualikwa nchini humo kwa ajili ya kuandaa filamu maalum ambayo itashirikisha wasanii wa Tanzania na Rwanda...
Ukiuzungumzia mziki natural basi ni ule mziki ambao ni mzuri masikioni. Siku hizi ni wachache sana wanaoweza kutoa nyimbo bila video na bado zikapendwa. Miongoni mwa hawa wachache basi Ali Kiba...
Baada ya Jay Z kumsaliti Beyonce mashabiki wameandaa kampeni ya kumuombea msamaha.
Ni baada ya albamu ya Beyonce ‘ Lemonade’ kuweka wazi kuwa Jay Z aliwahi kumsaliti na mwanamke aliyemtaja kwa...
Keyshia Cole amempata baba yake wa kumzaa.
Muimbaji huyo wa R&B aliyeasiliwa na marafiki wa familia yao, Leon na Yvonne Cole akiwa na umri wa miaka miwili tu, amekutana na baba yake huyo baada ya...
MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo wa Clouds FM, Gardner G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa...
Napenda kutumia jukwaa hili kumshauri msanii diamond, na hii tabia yake ya kudhani kuwa yeye nyumbani kwake kwenye upande wa media ni kituo cha clouds tu, siwezi jua moyoni mwake anasukumwa na...
Kuna uzi ulianzishwa jukwaa hili ukimfagilia kwa umbo la kiafrika mdada/ mshangazi Babe Kabae ambaye ni mtangazaji wa Clouds Tv. Sijawahi kumuona akiwa amesimama, ila hata akiwa amekaa unaona kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.