Wimbo mpya wa Gnako na Niki wa 2 umewafanya waharibu image zao kwenye jamii
Wimbo mara ya kwanza walimfata Nisher kutengeneza video baada ya kumaliza kushoot kabla hawajamlipa wakasema haiko poa...
Post zangu unafuta na sijandika matusi hata moja leo mara ya pili majuz nlipost kuhusu mbowe na elim yake ikafutwa leo nimepost kuhusu diamond na clouds siion jaman au kunatatizo
Back in the day, The "New York king" Notorious Big, said some disrespekful about Bay-area's Emperor, E-40. Apparently, Big had an interview with this magazine, where he was asked to rate...
Tickets za VIP zimekwisha
Unaweza kuendelea kununua tickets za 20,000/= kupitia vituo vifuatavyo
OMGift Shop Dar Free Market
Shear Illusion Mlimani City
American Nails Salon Kinondoni
Na...
kwako wewe lemutuz akili ndogoz ambaye uzalendo ni pale kunapikuwa na mazuri ya ndomo tu..shame on you wote mnaoponda msichoelewa
Alikiba Becomes the Second African Artist to Sign a Global Music...
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Clouds FM, Fina Mango, amevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia jana, akiwa nyumbani kwake na familia yake.majambazi hayo yapataya 8, yalivamia na kuchukua pesa taslim...
Hatimaye mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha...
Mungu ibariki Tanzania.
Siasa ni nini!? Nini wajibu wa raia katika kudumisha uzalendo, je ni sawa kuwakosoa viongozi? Pia je ni sahihi kuwatukana viongozi wa nchi, nini mipaka ya demokrasia yetu...
Kiuno kama Ray c,pozi kama JD
Ndo mana wahenga wakasema kosea vyote ila usikosee kuoa au kuolewa matokeo yake ndo tunayaona kwa jide ni dhairi kabisa kwamba Gardener alikuwa...
Kwa sisi tunaojua muziki tunaelewa ila kwa wale die hard fans hii kitu hawawezi kuielewa,kwanza hiyo habari ya alli kiba kusainiwa sony mi sioni kama ni ngeni maana kumbuka kipindi wamefanya ngoma...
Kumekuwa na video inasambaa kwenye whatsapp groups inaonesha wimbo ndi ndi ndi ukiimbwa na dada mmoja hivi simjui jina. Je ni kweli JD ameiga huu wimbo kwa huyu dada au huyu dada ndio kaiga huu...
Watu wapekuzi sana...kumbe wimbo wa lady jay Dee ndindi ni wimbo wa watu....https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1200573386629315&id=100000299950223
==========UKWELI=========
Msanii wa bongo fleva Nasib Abdul maarufu kama Diamond ameendelea kujizolea tuzo kila pembe ya dunia kwa kazi anayoifanya ya music kupenda na wengi apewa tuzo ya kutambua kazi yake ya mziki leo...
hivi inawezekanaje mtu mmoja kila mahala yupo. Tena uwepo wake ni kutukana na kuharibia wenzake kuanzia anaowajua mpaka asiowajua.
Anatukana hadi marafiki zake wa siku nyingi, waliowahi mpa...
SONY SIGNED ARTIST ROSE MUHANDO RELEASES A VEVO CERTIFIED VIDEO
Taking gospel music to new heights, after being signed by Sony and being a day away from her album launch (scheduled for 15th of...
Kutokana na fununu zilizozagaa kuwa kwa sasa Gigy Money anatoka kimapenzi na msanii Matonya ambaye ana mke Gigy amefunguka kuwa kwa sasa anatoka na Matonya pia na sio big deal, japo ana mke...
MSANII wa filamu Bongo, Lucy Komba ambaye amehamishia makazi yake nchini Denmark kwa mumewe , imebainika kuwa kilichomfanya aolewe na mzungu huyo ni kutokana na kufuata masilahi na siyo mapenzi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.