Ex wa Sugu: Toka niachane na Sugu sitamani kuwa na mahusiano na mtanzania

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,416
Sugu-na-Faiza.jpg.pagespeed.ce.u-A-aM14Wh.jpg


Msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja aitwae Sasha, Faiza Ally amedai hajawahi kufanya kutoka kimahaba na mtanzania yeyote toka aachane na aliyekuwa mume wake Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kwa madai kuwa anaogopa kudhalilishwa.

Muigizaji huyo amesema hali hiyo imekuja kutokana na matukio ya udhalilishaji wa wanawake ambayo yanaripotiwa kutokea katika sehemu mbalimbali hapa nchini.

Faiza ameandika:

Wanaume acheni kudhalilisha wanawake, video imenisikitisha na mwanamke yoyote atakaye ipost ni mjinga, maana ana chofanya naye ni udhalilishaji. Kusema kweli toka niachane na Baba Sasha sija date na mtanzania Kwa sababu naogopa unaweza ukahisi unatongozwa kwa heri Kumbe mtu kakupania kukudhalilisha! Nimesikitishwa lkn kwa hatua zilizo chukukuliwa na serekali na juhudi za muandishi nimeshukuru sana sana!

Na Niko tayari hata kuandamana kupinga wanaume wazalilishaji# na nukuu maneno kutoka bungeni #wanawake ni mama zenu#dada zenu#mabinti zenu#shangazi zenu #ACHENI KUTUDHALILISHA

Chanzo: Bongo5
 
Hata yeye ni mdhalilishaji kwa wanaume kwa kuwapanga foleni kisa mkwanja
 
Kwa niaba ya wanaume wote wa Tanzania napenda kutoa shukrani kwa huyu mama. Tangu ameanza sigara kubwa zake haya ndio maneno ya busara pekee aliyoongea. Tunaomba wenzetu wa Burundi mje mumchukue muende nae wala msimrudishe. Asante!
 
Back
Top Bottom