Ali Kiba: Hata bila video ngoma zake kali

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,188
3,367
Ukiuzungumzia mziki natural basi ni ule mziki ambao ni mzuri masikioni. Siku hizi ni wachache sana wanaoweza kutoa nyimbo bila video na bado zikapendwa. Miongoni mwa hawa wachache basi Ali Kiba hakosi.

Kuna msemo ule "Mwanamziki akizima ndio kwaheri" Ali kiba aliupindua baada ya kukaa kimya muda mrefu kwa hiari yake na kurudi kwa spidi isiyo na kifani wa ngoma kama za Mwana na Chekecha.

Ngoma nyingi bila video hazibambi mfano ni majuzi nilidownload audio ya shetta "Namjua", kiukweli sikuvutiwa nayo ila baada ya kuiona video yake ndio walau nilianza kuipenda. Pongezi ziende kwa director wa video.

Ila cha kushangaza majuzi juzi tu ngoma ya Ali Kiba nilidownload audio bila kuiona video yaani aisee ngoma ni tamu mno. Jamaa kuanzia ngoma zake cinderella, hadithi, far away, usiniseme, run dunia , mac mugga, nakshi nakshi, dushelelem, nichum, mwana, chekecha, nagharamia khaaa tutakesha hapa nyimbo zake zinaeleweka bila hata video.

Nisiwe mnafki kiukweli mimi ni mshabiki dam dam wa Diamond ila Diamond nachomkubaliaga sana ni mjanja sana yupo sharp hata akiwa stejini anachangamsha, ni msanii mwenye nyota ya kupendwa na kupata pesa na umaarufu tofauti na Ali Kiba ambae mziki wake umebase sana kwenye kuimba tu.
 
Ukizuungumzia mziki natural basi ni ule mziki ambao ni mzuri masikioni, sikuhizi ni wachache sana wanaoweza kutoa nyimbo bila video na bado zikapendwa, miongoni mwa hawa wachache basi Ali Kibba hakosi, Kuna msemo ule "Mwanamziki akizima ndio kwa heri" Ali kiba aliupindua baada ya kukaa kimya muda mrefu kwa hiari yake na kurudi kwa spidi isiyo na kifani wa ngoma kama za mwana na cheecha.

Ngoma nyingi bila video hazibambi mfano ni majuzi nilidownload audio ya shetta namjua kiukweli sikuvutiwa nayo ila baada ya kuiona video yake ndio walau nilianza kuipenda pongezi ziende kwa director wa video, ila cha kushangaza majuzi juzi tu ngoma ya ali kiba nlidownload audio bila kuiona video yaani aisee ngoma ni tamu mno. Jamaa kuanzia ngoma zake cinderella, hadithi, far away, usiniseme, run dunia , mac mugga, nakshi nakshi, dushelelem, nichum, mwana, chekecha, nagharamia khaaa tutakesha hapa nyimbo zake zinaelweka hata video

Nisiwe mnafki kiukweli mimi ni mshabiki dam dam wa diamond ila diamond nachomkubaliaga sana ni mjanja sana yupo sharp hata akiwa stejini anachangamsha, ni msanii mwenye nyota ya kupendwa na kupata pesa na umaarufu tofauti na ali kiba ambae mziki wake umebase sana kwenye kuimba tu

Ngoma yake mpya:: http://qfs.mobi/downloadCached.ashx?k=05015e12089f4746b69e8e55e4c6dfe0&f=3242473
Ali iba ndo msanii wa wap ningependa kumfahamu huyo msanii machachari anaekuja kwa kasi aitwae Ali iba
 
Sometime muuza miogo anakuwa na wateja wengi tu kwa sababu kachumbali yake tamu, japokuwa wenzake nao wanauza miogo hiyo hiyo. Najua ndugu yangu unaona ni kitu kidogo lkn itamcost tena sana.
 
Heading imekosewa ni Ali Kiba ..mods wekeni option ya kuedit heading

Ukizuungumzia mziki natural basi ni ule mziki ambao ni mzuri masikioni, sikuhizi ni wachache sana wanaoweza kutoa nyimbo bila video na bado zikapendwa, miongoni mwa hawa wachache basi Ali Kibba hakosi, Kuna msemo ule "Mwanamziki akizima ndio kwa heri" Ali kiba aliupindua baada ya kukaa kimya muda mrefu kwa hiari yake na kurudi kwa spidi isiyo na kifani wa ngoma kama za mwana na cheecha.

Ngoma nyingi bila video hazibambi mfano ni majuzi nilidownload audio ya shetta namjua kiukweli sikuvutiwa nayo ila baada ya kuiona video yake ndio walau nilianza kuipenda pongezi ziende kwa director wa video, ila cha kushangaza majuzi juzi tu ngoma ya ali kiba nlidownload audio bila kuiona video yaani aisee ngoma ni tamu mno. Jamaa kuanzia ngoma zake cinderella, hadithi, far away, usiniseme, run dunia , mac mugga, nakshi nakshi, dushelelem, nichum, mwana, chekecha, nagharamia khaaa tutakesha hapa nyimbo zake zinaelweka hata video

Nisiwe mnafki kiukweli mimi ni mshabiki dam dam wa diamond ila diamond nachomkubaliaga sana ni mjanja sana yupo sharp hata akiwa stejini anachangamsha, ni msanii mwenye nyota ya kupendwa na kupata pesa na umaarufu tofauti na ali kiba ambae mziki wake umebase sana kwenye kuimba tu
Ha Ha Ha Sitaki kuamini yaani King amekosa fuba la kufanya shooting ya Video? Si amkabili tu ndugu yake hapo Sinza ampeleke location za kiutu uzima south au amwitie Godfather hapa hapa, msanii mkubwa huyo kwanini aishie kwenye Audio.
 
Video imetoka ila inachezwa vituo vya TV ,, kwa sasa anateka watu kwa audio then alhamis anatupia kioo Kule youtube
 
Yani video inatoka week nzima bila kuwekwa youtu.be ilo ni tatizo kubwa sana. Huko MTV wanaoangalia ni kina nani na ni wangapi? Kitendo cha kuweka vipande week yote ni kama kimepunguza viewers na mzuka wa wimbo. Sielewi target yake haswa ni nini.
 
Nahisi alikiba ni msanii ambae anaipenda sanaa ya muziki. Dimond ni msaka pesa ambae anaingiza pesa kupitia fani ya muziki so lazima wawe tofauti hata kimafanikio. Alikiba anajua kuimba ana sauti nzuri kwa aina ya muziki wake anafanya vizuri. Chibu dimond anajua kutafuta pesa na ana zipata kupitia fani ya muziki , ni entertainer mkubwa sana dimond kwa tz.
 
Nahisi alikiba ni msanii ambae anaipenda sanaa ya muziki. Dimond ni msaka pesa ambae anaingiza pesa kupitia fani ya muziki so lazima wawe tofauti hata kimafanikio. Alikiba anajua kuimba ana sauti nzuri kwa aina ya muziki wake anafanya vizuri. Chibu dimond anajua kutafuta pesa na ana zipata kupitia fani ya muziki , ni entertainer mkubwa sana dimond kwa tz.
Ishia hapo urudi nyumbani, kunywa kistaarabu
 
Ukiuzungumzia mziki natural basi ni ule mziki ambao ni mzuri masikioni. Siku hizi ni wachache sana wanaoweza kutoa nyimbo bila video na bado zikapendwa. Miongoni mwa hawa wachache basi Ali Kiba hakosi.

Kuna msemo ule "Mwanamziki akizima ndio kwaheri" Ali kiba aliupindua baada ya kukaa kimya muda mrefu kwa hiari yake na kurudi kwa spidi isiyo na kifani wa ngoma kama za Mwana na Chekecha.

Ngoma nyingi bila video hazibambi mfano ni majuzi nilidownload audio ya shetta "Namjua", kiukweli sikuvutiwa nayo ila baada ya kuiona video yake ndio walau nilianza kuipenda. Pongezi ziende kwa director wa video.

Ila cha kushangaza majuzi juzi tu ngoma ya Ali Kiba nilidownload audio bila kuiona video yaani aisee ngoma ni tamu mno. Jamaa kuanzia ngoma zake cinderella, hadithi, far away, usiniseme, run dunia , mac mugga, nakshi nakshi, dushelelem, nichum, mwana, chekecha, nagharamia khaaa tutakesha hapa nyimbo zake zinaeleweka bila hata video.

Nisiwe mnafki kiukweli mimi ni mshabiki dam dam wa Diamond ila Diamond nachomkubaliaga sana ni mjanja sana yupo sharp hata akiwa stejini anachangamsha, ni msanii mwenye nyota ya kupendwa na kupata pesa na umaarufu tofauti na Ali Kiba ambae mziki wake umebase sana kwenye kuimba tu.

Hata wanyama anaowaimba pia wakali kama simba chui tembo nk...
 
Back
Top Bottom