Gnako/niki 2 waharibu cv zao

jun255

JF-Expert Member
Nov 14, 2015
391
280
Wimbo mpya wa Gnako na Niki wa 2 umewafanya waharibu image zao kwenye jamii

Wimbo mara ya kwanza walimfata Nisher kutengeneza video baada ya kumaliza kushoot kabla hawajamlipa wakasema haiko poa sana hivyo iboreshwe kwanza

Wakati Nisher anasubir waje kyiboresha wakajikata na kwenda kuishoot kwa Hanscana tena wakitumia idea ile ile ya Nisher bila kumshirikisha

Nisher alipojua akaona isiwe kesi wao wamlipe chake kwa sababu alishafanya nao kazi na pili idea yake ndo imetumika ila washkaji wakagoma kulipia


Hahaha nisher kawafata kwa aman kama charting inavyoonesha ila wamegoma

Sasa wamerelease video yao na Nisher karelease yake

Hivyo wimbo wao mmoja una video mbili! Hahaha!!

Cha ajabu Video ya Nisher ndo imekuwa nzuri na imekaa kihipphop zaidi ila waliyotoa kwa Ha scna imekuwa kama ya bongofleava hivi then ukiiangalia vIzuri iko kama tangazo la diamond la tomato sauce hahahaha

Gnako unajiita OG kuwa Og halisi basi mlipe jamaa chake acheni uhuni
1463776615713.jpg
 
Sasa msanii si mteja jamani? Kama hakuridhika na kazi na kakwambia uirudie umegoma atapelekaje sokoni bidhaa asiyoridhika nayo.. Mara ngapi tunasikia Diamond anarudisha video kwa Godfather arekebishe? Awa directors wa kibongo wajifunze kuwa professional.
 
Sasa huyo Nisher amerelease huo wimbo kama nani!! akishtakiwa atasema ameonewa, kama hawakuridhika na hiyo video, yeye anawalazimisha ili iweje? Mbona mambo mengine yapo simple tu.
 
Mimi nimependa tu hapo ulipofananisha video mbaya na tangazo bovu la tomato sauce la Mondi
Matangazo yanayonifanya nibadilishe Chanel ni hilo na lile la Tigo lile la Natasha anamuuliza nani namba moja wako
 
Matangazo yanayonifanya nibadilishe Chanel ni hilo na lile la Tigo lile la Natasha anamuuliza nani namba moja wako
Mhhhhhhh Mimi lile kwangu liko poa mkuu.
Ukitaka nisonye na kuhama channel kwa kasi ya ajabu nione tangazo la ongea daily,tomato sauce,chips snacks,prof. Chapati sijui ni LAPF wale?Sina hakika hapo. N.k
 
Mhhhhhhh Mimi lile kwangu liko poa mkuu.
Ukitaka nisonye na kuhama channel kwa kasi ya ajabu nione tangazo la ongea daily,tomato sauce,chips snacks,prof. Chapati sijui ni LAPF wale?Sina hakika hapo. N.k
Haha ahajahaa
 
Mhhhhhhh Mimi lile kwangu liko poa mkuu.
Ukitaka nisonye na kuhama channel kwa kasi ya ajabu nione tangazo la ongea daily,tomato sauce,chips snacks,prof. Chapati sijui ni LAPF wale?Sina hakika hapo. N.k

hilo la chips snack , na profesa chapati uwiii siyapendi ila napenda la Bomoa kabisaaaaa lete burudozaaaa
 
Mhhhhhhh Mimi lile kwangu liko poa mkuu.
Ukitaka nisonye na kuhama channel kwa kasi ya ajabu nione tangazo la ongea daily,tomato sauce,chips snacks,prof. Chapati sijui ni LAPF wale?Sina hakika hapo. N.k

hata siyapendi hayo matangazo , nalipenda hasa la Vunja kabisaaaaaaa ita burudozaaa
 
Ila video Arosto mbona ilishatoka kitambo? mimi ninayo muda mrefu sana, mimi ninawashangaa wasanii wa Tanzania akienda afrika kusini kushoot video wanalipa cash huku wanalipa ooh mara advance sijui nini na nini...mziki wa kitanzania ni wa kipumbavu sana...
 
Back
Top Bottom