chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Msanii wa RnB kutoka Amerika maarufu kwa jina la Ne-yo amewasili leo jijini dar kwa ajili ya kupiga sho
VYURA WA KENYA HAWANESI NESI MPAKA UJE KWA MAJIRANI ZAKO? teh tehNani neyo bora nikamcheki Snura na Chura wake mi nikajua ni Mzee wa HYFR yaani drake kumbe ni ne-yo hamna kitu hapoo
enzi zake zimepitaje mkuu? mbona ana shine dailyKESHAPITA ZAMA ZAKE
Unayo pesa ya kuingilia kwenye shoo, maneno tu unajifurahisha nafsi.Nani neyo bora nikamcheki Snura na Chura wake mi nikajua ni Mzee wa HYFR yaani drake kumbe ni ne-yo hamna kitu hapoo