SON OF THE LAND
JF-Expert Member
- Oct 7, 2015
- 204
- 210
Kwa muda mrefu nimekua nikijitahidi kukukwepa kujifanya sikusikii as if mziki wako sio mzuri lakini kwenye vikona nikisikia nabana kusikiliza kidogo then najipa moyo kwamba huu nao mbaya.
Yaani kama ule wa Hussein Machozi UTAIPENDA mshikaji kazuga lakini akiwa mwenyewe anasikiliza hahahah Da noma sana na kwenye utaipenda ile featuring ndipo nilipoanza kukuelewa but still nikawa mbishi kwamba bado unaotea.
Ukanitolea XO nikaipotezea, sijakaa vizuri ukaja na NUSUNUSU, nayo nikaipoteza ukaja na DONT BOTHER nikatega sikio kiaina bado nikakaza moyo ukanimaliza na NJE YA BOX sasa na hii ya COMBO aiiiiiiii brother nimenyoosha mikono we ni shida Hongera sana uko vizuri aiseee we ni shiiida
Yaani kama ule wa Hussein Machozi UTAIPENDA mshikaji kazuga lakini akiwa mwenyewe anasikiliza hahahah Da noma sana na kwenye utaipenda ile featuring ndipo nilipoanza kukuelewa but still nikawa mbishi kwamba bado unaotea.
Ukanitolea XO nikaipotezea, sijakaa vizuri ukaja na NUSUNUSU, nayo nikaipoteza ukaja na DONT BOTHER nikatega sikio kiaina bado nikakaza moyo ukanimaliza na NJE YA BOX sasa na hii ya COMBO aiiiiiiii brother nimenyoosha mikono we ni shida Hongera sana uko vizuri aiseee we ni shiiida