Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

NI kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha?Kama ni kweli, basi ile jeuri ya fedha ya MissTanzania mwaka 2006 ambaye pia hufanya vyema kwenye gemu la sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu inadaiwa...
0 Reactions
28 Replies
10K Views
Msanii wa kimarekani, Akon; amelazimika kuhairisha tamasha lake lililokuwa lifanyike nchini Sri Lanka, baada ya serikali ya nchi hiyo kumnyima visa. Kisa hasa ni kutokana na wimbo wa "Sexy...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wasanii wetu wa muziki wa kizazi kipya huwa hawaishiwi mambo na majambo. Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia Q Chief akimtuhumu kwenye vyombo vya habari T.I.D kuwa ndiye anayeisiliba nyota yake...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
You might not believe me if you read gossip blogs and magazines, but most celebrities were once regular people. (In fact, many still are.) Although we might think our favorite superstars were born...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Now that's NOT posh: Diners gawp as Mel B arrives at Miami restaurant in a see-through kaftan 24th March 2010 Most might dress a little more conservatively when dining out at a posh...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Jamaa kadondosha new joint inaitwa Undecided ni ngoma moja matata sana " Jamaa huwa hakosei " Nawakaribisha " muweze kuiona video ya wimbo wake na mpate kuisikia " Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
64 Replies
7K Views
I wouldn't normally care but this is hilarious after he just got that big ass tattoo of her.She's vulnerable....now is my time to strike... :lol: Why do people do that shit...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Anafaa kupongezwa Amani Temba A.K.A Mheshimiwa Temba..... Nampa five anajua kuchagua kitu kimetulia si kitoto babake.
0 Reactions
21 Replies
21K Views
Kutokana na sababu nyeti habari hii sikuirusha mapema. Hata hivyo, Yule Bilionea Mkubwa wa Kimarekani Bill GAtes alikuwa nchini (nadhani bado yupo) akiwa mapumzikoni kule Pemba kwenye mojawapo ya...
0 Reactions
52 Replies
10K Views
The Songwriters Hall of Fame announced their 2019 inductees today: Dallas Austin, Missy Elliott, Tom T. Hall, John Prine, Jack Tempchin and Yusuf (Cat Stevens). Missy Elliott will be the first...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Wasalaam wana jamvi! Kheri ya mwaka mpya 2019! Ni ukweli ulio wazi kabisa Maromboso a.k.a Mboso ni mmoja ya wasanii bora na walio moto sana..... Ukimsikikiza vyema Mboso utagundua kuwa Kassim...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Kocha Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars' Mbrazil Marcio Maximo, ameonyesha kipaji chake zaidi ya soka kwa kuigiza katika filamu ya ‘September 11' itakayozinduliwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Napata taabu kupata tafsiri sahihi ya celebrity!!! Hawa vijana wanalazimisha jamii iwape heshima kwa kuwa kumbe wao wanadhani ni celebrities! Wakiwa sehemu ambazo kuna watu wengi sana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dazzling Whitney Houston makes a triumphant return to spotlight after seven years By Lizzie Smith Last updated at 3:24 PM on 15th July 2009 For much of the decade Whitney Houston has been...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
JOHANNESBURG, South Africa (CNN) -- Former South African president Nelson Mandela is celebrating his 91st birthday Saturday -- as his wife reveals he is struggling to deal with the indignities of...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimepata Habari kwamba mchungaji Lwakatare ameamua kurudisha Yatima 250 makwao kwa kisingizio kwamba hawezi kuwaangalia pale Tabata. Wanaorudishwa mikoani kwao wakiwemo wale wameathiriwa na HIV...
1 Reactions
112 Replies
15K Views
ove Jill but I really wouldnt be able tell if her gut was filled with a baby or the 8 meals she scarfs down daily I could not tell the difference from before. B4 after
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Claus W mwaka 2005 alipopandishwa kizimbani Saturday, June 06, 2009 6:29 AM Bahati nasibu ya euro 750,000...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
MTANGAZAJI mwenye maneno lukuki kutoka Radio Times FM , Khadija Shaibu ' Dida' amesema kuwa endapo mtalaka wake, Ezden Jumanne akitaka kuoa yeye atakuwa wa kwanza kutoa mchango wa harusi...
1 Reactions
214 Replies
31K Views
Hivi majuzi nilipokuwa Kenya, nilisoma gazetini (Taifa Leo) kwamba Hasheem Thabeet ambaye karibuni atajiunga na NBA, kwamba ana asili ya UKENYA.Ndugu zake ni watu wa Malindi heti Wakenya siyo...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom