Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hivi mkuu wa nchi kutembea na simu ya mkononi hata kwenye official events huku anajibu au kupiga simu au anapokea ujumbe ni sawa?
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Celebrity au supastar kwako ni mtu wa aina gani? Maana halisi ya neno celebrity ukiangalia kwa wenzetu walioendelea ni mtu maarufu, mwenye pesa za kutosha ambae ana ushawishi katika jamii e.g...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Paris apparently mourned her break-up with Doug Reinhardt for about 2 hours yesterday, then filled the deep dark void with Cristiano Ronaldo. Paris Hilton: Ronaldo's Easiest Score Ever | TMZ.com
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Katika hali ambayo si ya kushangaza, Rais JK amemcheza ngoma bintiye (yaani kufundwa jinsi ya kuishi na mume). Ngoma hiyo ambayo ilihitimishwa mjini Bagamoyo (viwanja vya nyumbani kwao) siku ya...
3 Reactions
62 Replies
14K Views
MC Pilipili , MC Pilipili, MC Pilipili nimekuita mara tatu kuonesha msisitizo ,huyu mwanamke achana naye hakufai asilani habadani. Kama kuna ndugu zake humu mumfikishie taarifa huyu mwanamke...
1 Reactions
47 Replies
52K Views
“Nilifikia kilele cha mafanikio katika biashara duniani. Katika macho ya watu wengine, maisha yangu ni kielelezo cha mafanikio. Hata hivyo, mbali na kufanya kazi, nina furaha ndogo. Kwa jumla...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani msione vinaelea vimeumbwa! Huyu respected journalist wa CNN Richard Quest anayefanya vipindi vya Business na interview za maana kumbe nimtumiaji mzuri wa madawa ya kulevya na sasa yuko...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
13 years after he was shot and "killed" in Las Vegas ... a man appearing to be 2pac was spotted in a bar on Bourbon Street last weekend.-TMZ
0 Reactions
12 Replies
3K Views
I love Beyonce lakini naona hakumfikia Toni braxton bado..to be honest there is no one song of hers that i hate... hebu check this one...this is one of the greatest dong..."please"
0 Reactions
33 Replies
5K Views
MISS Tanzania 2006 aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amevunja ukimya kwa kuweka wazi kuwa, mkorogo umemtia adabu na anajuta kuutumia mwilini mwake. Wema Sepetu...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Mimi nina wasiwasi na kiongozi huyu kwamba nini hasa lengo lake, labda la kuwa raisi wa Afrika au mlezi kwani kufikia hatua ya kuwa kila siku anaangalia ramani ya Afika ni jambo la kushangaza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Heshima mbele wakubwa. Nimesoma kwa masikitiko taarifa ya mapokezi aliyoandaliwa EL kule kwenye jimbo lake kama shujaa,sasa sijui ni shujaa wa kabila lake au shujaa wa ufisadi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mambo ya Mahaba nipeleke West Africa nikateketee kwa Ebola yule Mpenzi wa Shilole Nuhu Mziwanda ameamua kuchora tatoo mkononi yenye sura ya Shilole kuonesha mapenzi yake kwa bidada. Hii imekuja...
5 Reactions
102 Replies
15K Views
FILAMU ya Bohemian Rhapsody inayohusu maisha ya muimbaji kinara wa bendi ya Queen ya Uingereza, Freddie Mercury, ambaye ni mzaliwa wa visiwani Zanzibar imenyakua tuzo mbili kubwa za tamasha la...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Sikiliza na wewe hapo DOGO S.KIDE DIAMOND KABLA HAJATOKA - YouTube
0 Reactions
37 Replies
9K Views
Shilole ameingia katika akaunti yake ya Instagram na kusema kuwa makalio yake ni original. Alijaribu kuwadiss mahasimu wake ambao anawadhania kutumia chupi bandia kuonekana na makalio makubwa...
0 Reactions
53 Replies
11K Views
Msanii wa zamani wa kundi la Wakilisha, Witness Mwaijaga, amesema pamoja na kufanya hip hop kwa sasa ni mfanyabiashara na mtaalam wa tiba asili zinazotumia vyakula vyenye virutubisho...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ostaz Juma ameendelea kuongezea petroli kwenye moto aliouwasha jana. Na sasa amewaamkia wasanii na watangazaji wote wa redio nchini akisema njaa inawasumbua na ndio maana wamekuwa...
0 Reactions
60 Replies
10K Views
Dada yetu Masogange akiwa analirusha mara kulia mara kushoto bila wasiwasi wa landlord
9 Reactions
179 Replies
31K Views
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Makubwa! Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya ameanika nyota za baadhi ya mastaa wa Bongo katika kipengele cha mapenzi au ngono, Risasi...
0 Reactions
30 Replies
22K Views
Back
Top Bottom