Celebrity au supastar kwako ni mtu wa aina gani? Maana halisi ya neno celebrity ukiangalia kwa wenzetu walioendelea ni mtu maarufu, mwenye pesa za kutosha ambae ana ushawishi katika jamii e.g...
Paris apparently mourned her break-up with Doug Reinhardt for about 2 hours yesterday, then filled the deep dark void with Cristiano Ronaldo.
Paris Hilton: Ronaldo's Easiest Score Ever | TMZ.com
Katika hali ambayo si ya kushangaza, Rais JK amemcheza ngoma bintiye (yaani kufundwa jinsi ya kuishi na mume). Ngoma hiyo ambayo ilihitimishwa mjini Bagamoyo (viwanja vya nyumbani kwao) siku ya...
MC Pilipili , MC Pilipili, MC Pilipili nimekuita mara tatu kuonesha msisitizo ,huyu mwanamke achana naye hakufai asilani habadani.
Kama kuna ndugu zake humu mumfikishie taarifa huyu mwanamke...
“Nilifikia kilele cha mafanikio katika biashara duniani. Katika macho ya watu wengine, maisha yangu ni kielelezo cha mafanikio. Hata hivyo, mbali na kufanya kazi, nina furaha ndogo. Kwa jumla...
Jamani msione vinaelea vimeumbwa! Huyu respected journalist wa CNN Richard Quest anayefanya vipindi vya Business na interview za maana kumbe nimtumiaji mzuri wa madawa ya kulevya na sasa yuko...
I love Beyonce lakini naona hakumfikia Toni braxton bado..to be honest there is no one song of hers that i hate...
hebu check this one...this is one of the greatest dong..."please"
MISS Tanzania 2006 aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu Madam amevunja ukimya kwa kuweka wazi kuwa, mkorogo umemtia adabu na anajuta kuutumia mwilini mwake.
Wema Sepetu...
Mimi nina wasiwasi na kiongozi huyu kwamba nini hasa lengo lake, labda la kuwa raisi wa Afrika au mlezi kwani kufikia hatua ya kuwa kila siku anaangalia ramani ya Afika ni jambo la kushangaza...
Heshima mbele wakubwa.
Nimesoma kwa masikitiko taarifa ya mapokezi aliyoandaliwa EL kule kwenye jimbo lake kama shujaa,sasa sijui ni shujaa wa kabila lake au shujaa wa ufisadi...
Mambo ya Mahaba nipeleke West Africa nikateketee kwa Ebola yule Mpenzi wa Shilole Nuhu Mziwanda ameamua kuchora tatoo mkononi yenye sura ya Shilole kuonesha mapenzi yake kwa bidada.
Hii imekuja...
FILAMU ya Bohemian Rhapsody inayohusu maisha ya muimbaji kinara wa bendi ya Queen ya Uingereza, Freddie Mercury, ambaye ni mzaliwa wa visiwani Zanzibar imenyakua tuzo mbili kubwa za tamasha la...
Shilole ameingia katika akaunti yake ya Instagram na kusema kuwa makalio yake ni original. Alijaribu kuwadiss mahasimu wake ambao anawadhania kutumia chupi bandia kuonekana na makalio makubwa...
Msanii wa zamani wa kundi la Wakilisha, Witness Mwaijaga, amesema pamoja na kufanya hip hop kwa sasa ni mfanyabiashara na mtaalam wa tiba asili zinazotumia vyakula vyenye virutubisho...
Ostaz Juma ameendelea kuongezea petroli kwenye moto aliouwasha jana. Na sasa amewaamkia wasanii na watangazaji wote wa redio nchini akisema njaa inawasumbua na ndio maana wamekuwa...
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
Makubwa! Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya ameanika nyota za baadhi ya mastaa wa Bongo katika kipengele cha mapenzi au ngono, Risasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.