Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
Makubwa! Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya ameanika nyota za baadhi ya mastaa wa Bongo katika kipengele cha mapenzi au ngono, Risasi...
Licha ya kubadili dini na kuwa muislam kisha kupewa jina la Rahma, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amesema sasa anatamani kurejea ulokoleni na kumrudia Yesu kwa kuokoka...
Haya tena kile kikosi cha CSI cha JF tunaomba mtupe listi kamili ya orodha za safari alizozifanya JK mwaka huu
Kisha tuangalie zipi zilikuwa na ULAZIMA na zipi zilikuwa hazina ulazima kisha...
Kwa mitandao kumingia kero, kila mmoja anatamani hata kwa upeo kujipatia umaarufu zaidi. Kwa akina dada umaarufu wao wa mitandaoni wanatumia miili yao kuonyesha dunia nzima...jambo ambalo kwa...
Status update ya Ridhiwani Kikwete FB....
"Baada ya kusoma taarifa toka kwenye Ukuta wa dada Diagi Janguo juu ya msiba wa Bi.dada Zay B pichani nimejikuta mwenye masikitiko mengi sana.
Kwanza...
RAPA Birdman na aliyekuwa mchumba wake, Ton Braxton, mahusiano yao yamefikia tamati mwishoni mwa mwaka 2018 na mwanzoni mwa 2019.
Siku ya mwaka mpya tarehe moja, rapa huyo aliweka video...
Mtangazaji wa kipindi cha shilawadu kinachorushwa na clouds tv Soudy brown ameonekana kutafuta bifu na WCB hasahasa diamond platnumz.... maana kila ambacho wanakifanya lazima akikosoe kwa mafumbo...
Napenda kusema kuwa nampenda sana Diamond platnumz na nyota wote wa kundi la WASAFI.
Pia nawapenda nyota wote wa muziki wa Tanzania wakiwamo Navy Kenzo na Ali Kiba.
Nimekuwa nikisikiliza na...
Wakati kitendo cha msanii Diamond Platnumz kushikwa makalio kikiushangaza umma. Kitendo kingine kilichoishangaza jamii kwenye wasafi festivals ni kitendo cha msanii Lavalava kuchezewa sehemu za...
Kumbe mama yuke mkubwa amber lutty na mwanamke mwenzie mwingine ndie waliehusika moja kwa moja kumtolea dhamana amber lutty na sio yule mchungaji wala mtu mwingine yeyote
Jionee hapa
Sent...
Diamond Platnumz, ameshikwa makalio na mashabiki akiwa jukwaani, baada ya kuwageukia na kuanza kukata mauno kihasarahasara, jambo lililozua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii. Video
Habari members!!
Katika sakata la harmonize kuachana na Meneja wake Mr.Puaz ndo limeshika habari hapa Tanzania uku Harmonize tunayemjadili yupo Nigeria leo katika jiji la Lagos katika harakati...
Kwanza pongezi kwa hatua muliofikia WASAFI - Mumeweza kutuweka live watu toka sehemu mbalimbali zikiwemo Norway, USA, CHINA, Austraria n,k.
Haya ndio mambo ambayo umezingua mdogo wangu yafanyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.