Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nilikuwa nasubiria kwa hamu gazeti la leo litachapa nini kuhusu show ya lady jay dee na kaka yetu mwana fa,ni gazeti la IJUMAA WIKIENDA,ila nilichokisoma kwa kweli kimenishangaza,tena imeonyesha...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Binafsi napendezwa na UZALENDO wa ZZK katika TAIFA STARS amekuwa na morale ya aina yake katika Timu yetu!!Nakiri kupendezwa nalo,Amekuwa Mmoja wa WANAHARAKATI wa kutetea HAKIMILIKI za Wasanii...
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Kwa kweli hawa jamaa wanaitaji pongezi sana kwa kufikia apa walipo,napenda programs zao,ni wabunifu sana,nilikuwa nasikilizaga apo awali(sio sasa),kuanzia power breakfast,hekaheka,xxl,na kile cha...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
jamani tuiombee nchi yetu isipatwe na majanga kama haya!tudumishe amani yetu.hayo mabomu sis ni mambo tuliyokuwa tunayasikia na kuyaona kwenye sinema sasa ivi tunayashuhudia.WaNACELEBRITY...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakizungumza na mzee wajikoni blog wamedai kipindi walipotimuliwa na majani na kuhamia kwa jaya dee na gadner kupitia kampuni yao ya jag waliwanyonya sana kwani pamoja na album yao ya taswira...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Wadau kumekuwa na habari ambayo hadi sasa inasambazwa kwa kasi kuwa Saida Karoli alifariki jana katika ajali ya boti, lakini habari za kuaminika kutoka kwa jamaa zake pamoja na wasimamizi wa kazi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
PICHA YA KWANZA MBABES WA KIBONGO ALIYEKUFA ITALY KWA KUPASUKIWA NA UNGA ALIOUBEBA TUMBONI!! dada yenu huyu ame dead kisa??? drugs Ilikuwa ni kutoka UK kwenda Italy na mauti...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
napenda kuzibitisha saida karoli ni mzima wa afya. nimeongea kwa simu na watu wa kwao.kwanza yuko dar si visiwa vya goziba uko kagera. nimeona kwenye blog ya mjengwa kuwa saida kafariki tena kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kweli nimeamini Nazi haiwezi shindana na jiwe. Lady umekimbiza mbaya kwenye show yako pamejaa hadi watu walikuwa wanazuiliwa kuingia. 1.Juma Nature as usually kukimbiza 2.Sugu ndo usiseme...
3 Reactions
79 Replies
9K Views
  • Closed
Huu wimbo ukiusikiliza haumgusi Ruge wala Kusaga wala Mwana Fa kuna mtu mwingine ambaye unamgisa yule mtu wa tatu ambaue jay d kasema alimsamehe Kwa intelijensia yangu kila nikichekecha hivi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
AY Tanzanian Finest Interview at BBC World News 2013 06 14 18 52 40 - YouTube
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna taarifa zimezagaa hapa mjini ifakara kuwa mwanamziki Diamond ameachwa solemba kwenye hotel aliyofikia ya Mbega Motel iliyopo hapo kibaoni. Taarifa zinatonya walikuwa na makubaliano na ccm...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wasanii classic,next level na wenye majina makubwa apa bongo,wema sepetu na jackline wolper wamemwagwa kwenye kinyang'anyiro cha muigizaji bora wa kike,waliokuwa wanawania tuzo za mwigizaji bora...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Haitaji kutambulishwa,kila mtu anamjua,ila kidogo tu alikuwa miss tanzania,baada ya apo akaanza kuigiza movie ambazo hata hivyo hajawahi kufanya vizuri kihivyo zaidi ya kibebwa na umbo lake na...
0 Reactions
54 Replies
9K Views
Siku ya Ijumaa Usiku ilikuwa ni siku ambayo MwanaFA alikuwa akifanya show yake ya 'The FINEST'. Huenda ikawa ni moja ya siku chungu zaidi kwa mwanamuziki huyu maishani mwake kila atakapoikumbuka...
1 Reactions
60 Replies
6K Views
Wadau, nimefuatilia threads mbalimbali humu jamvini tangu show mbili zilizo andaliwa na moja ya wakongwe wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo kupita. Ukweli ni kwamba, nashangazwa sana jinsi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
eti the finest SHOW ILIHITAJI WATU 400 TU!! Acha uwongo kaka! SHOW YA MWANAFATUMA ILIKOSA WATU!! Ayo maneno yako kwenye blog yako yanadhihirisha jinsi ulivyo mtumwa wa fikra!! Tunajua ni RUGAY...
1 Reactions
57 Replies
13K Views
PICHA ZA MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO - MPEKUZI HURU
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Jana ulikuwa ni usiku wa jide,kwani alikuwa anasherekea miaka kumi na tatu ndani ya game apa bongo,vile vile alikuwa anazindua albamu yake ya nothing but the truth,show ki ukweli ilikuwa kubwa...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Back
Top Bottom