Nilikuwa nasubiria kwa hamu gazeti la leo litachapa nini kuhusu show ya lady jay dee na kaka yetu mwana fa,ni gazeti la IJUMAA WIKIENDA,ila nilichokisoma kwa kweli kimenishangaza,tena imeonyesha...
Binafsi napendezwa na UZALENDO wa ZZK katika TAIFA STARS amekuwa na morale ya aina yake katika Timu yetu!!Nakiri kupendezwa nalo,Amekuwa Mmoja wa WANAHARAKATI wa kutetea HAKIMILIKI za Wasanii...
Kwa kweli hawa jamaa wanaitaji pongezi sana kwa kufikia apa walipo,napenda programs zao,ni wabunifu sana,nilikuwa nasikilizaga apo awali(sio sasa),kuanzia power breakfast,hekaheka,xxl,na kile cha...
jamani tuiombee nchi yetu isipatwe na majanga kama haya!tudumishe amani yetu.hayo mabomu sis ni mambo tuliyokuwa tunayasikia na kuyaona kwenye sinema sasa ivi tunayashuhudia.WaNACELEBRITY...
Wakizungumza na mzee wajikoni blog wamedai kipindi walipotimuliwa na majani na kuhamia kwa jaya dee na gadner kupitia kampuni yao ya jag waliwanyonya sana kwani pamoja na album yao ya taswira...
Wadau kumekuwa na habari ambayo hadi sasa inasambazwa kwa kasi kuwa Saida Karoli alifariki jana katika ajali ya boti, lakini habari za kuaminika kutoka kwa jamaa zake pamoja na wasimamizi wa kazi...
PICHA YA KWANZA MBABES WA KIBONGO ALIYEKUFA ITALY KWA KUPASUKIWA NA UNGA ALIOUBEBA TUMBONI!!
dada yenu huyu ame dead kisa??? drugs
Ilikuwa ni kutoka UK kwenda Italy na mauti...
napenda kuzibitisha saida karoli ni mzima wa afya. nimeongea kwa simu na watu wa kwao.kwanza yuko dar si visiwa vya goziba uko kagera. nimeona kwenye blog ya mjengwa kuwa saida kafariki tena kwa...
Wakuu kweli nimeamini Nazi haiwezi shindana na jiwe. Lady umekimbiza mbaya kwenye show yako pamejaa hadi watu walikuwa wanazuiliwa kuingia.
1.Juma Nature as usually kukimbiza
2.Sugu ndo usiseme...
Huu wimbo ukiusikiliza haumgusi Ruge wala Kusaga wala Mwana Fa kuna mtu mwingine ambaye unamgisa yule mtu wa tatu ambaue jay d kasema alimsamehe
Kwa intelijensia yangu kila nikichekecha hivi...
Kuna taarifa zimezagaa hapa mjini ifakara kuwa mwanamziki Diamond ameachwa solemba kwenye hotel aliyofikia ya Mbega Motel iliyopo hapo kibaoni. Taarifa zinatonya walikuwa na makubaliano na ccm...
Wasanii classic,next level na wenye majina makubwa apa bongo,wema sepetu na jackline wolper wamemwagwa kwenye kinyang'anyiro cha muigizaji bora wa kike,waliokuwa wanawania tuzo za mwigizaji bora...
Haitaji kutambulishwa,kila mtu anamjua,ila kidogo tu alikuwa miss tanzania,baada ya apo akaanza kuigiza movie ambazo hata hivyo hajawahi kufanya vizuri kihivyo zaidi ya kibebwa na umbo lake na...
Siku ya Ijumaa Usiku ilikuwa ni siku ambayo MwanaFA alikuwa akifanya show yake ya 'The FINEST'.
Huenda ikawa ni moja ya siku chungu zaidi kwa mwanamuziki huyu maishani mwake kila atakapoikumbuka...
Wadau, nimefuatilia threads mbalimbali humu jamvini tangu show mbili zilizo andaliwa na moja ya wakongwe wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo kupita. Ukweli ni kwamba, nashangazwa sana jinsi...
eti the finest SHOW ILIHITAJI WATU 400 TU!! Acha uwongo kaka! SHOW YA MWANAFATUMA ILIKOSA WATU!! Ayo maneno yako kwenye blog yako yanadhihirisha jinsi ulivyo mtumwa wa fikra!! Tunajua ni RUGAY...
Jana ulikuwa ni usiku wa jide,kwani alikuwa anasherekea miaka kumi na tatu ndani ya game apa bongo,vile vile alikuwa anazindua albamu yake ya nothing but the truth,show ki ukweli ilikuwa kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.