Msanii mkongwe wa mziki nchini Sam Wa Ukwe aliyetamba na nyimbo kadhaa Amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo. baada ya Kuugua kwa Muda mrefu.
Bwana alitoa na Bwana ametoa Jina lake lihimidiwe...
Woi
DOGO LULU umetisher
Unaolewa mara hii juzi juzi umetoka Jela?!
Hongera sana DOGO, tunasubiri Picha my
Sasa nani atamuoa Hamisa?!
Kiru!
Yajayo yanafurahisha mpo tayari?!
HAPPY MOTHER’S DAY|ZAWADI BORA KWA MAMA ZETU, DADA ZETU WENYE WATOTO NA WANAOTARAJIA KUPATA WATOTO.
ILE MOVIE KALI KABSA KUTOKA KWA DADA YETU,AUNTY EZEKIEL SASA IPO KIGANJANI MWAKO.NI KUPITIA...
Kiba anapata promo aonekane yupo juu ili kumshusha mond, ni kama Kwa Kanumba na Ray tuliaminishwa ni washindan lakni Ray alikuw anatembelea huu ushindan kuonekana yupo juu lakin hamna kitu, ni...
Leo mawingu tv kumnadi msanii kuanzia vipindi vya asubui mpaka vya usiku na mapicha picha kwenye mitandao imekaaje? kisa tyu anaachia ngoma au ndio yale anayosema roma NGOMA INATOKA SEPTEMBER...
What is you're name?
My name is Alikiba...
What brings u to our home?
I've come to take the girl..
Hahahahahahahah......
Yan we hauna mpinzani Mr classical...
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
kwa namna ya pekee kabisa nawapa pole UVCCM na Green Guard kwa kufiwa na mwenzenu Agnes Masogange.
Awali niliwapa pole wasanii tu nikawasahau ninyi nduguze muhimu...
Msanii wa Bongo Fleva, Jebby aliyewahi kutamba na wimbo "Swahiba", amefariki dunia leo mjini Dodoma, Msanii Afande Sele amethibitisha
Rest in eternal peace jebby
Source: #MwananchiUpdates
Msanii za muziki wa Bongo Fleva, Dogo Janja akiwa msibani hapo.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa na nyuso za huzuni msibani hapo.
Baadhi ya ndugu, jamaaa na marafiki wakiwa katika huzuni msibani...
Aslay ameamua kuachia ngoma nyingine akimshirikisha msanii Bahati kutoka kenya wimbo ukiwa unaitwa BORA NIFE huku WCB wakiwa wameachia video ya wimbo wao unaotrend KWANGARU Karata yako inakwenda...
Tumelalamikia Kwa Mrefu Mno, Juu Ya Suala La Makampuni Ya Visimbuzi Kutuchaji Gharama Za Katazama Zile 5 Local Channel, Ambazo Tokea Awali Tuliambiwa Ni Za Bure,But Sasa Mwaka Na Nusu Tunalipishwa...
wanajamii wenzangu leo mida ya saa mbili nilikuwa naangalia habar channel ilikua tv 1 ndipo taarifa hiyo ikatangazwa kwamba watu wa tcra wamemweka chini ya ulinzi jamaa ....hawakutoa...
Haya ndio alioandika Msanii Mkongwe afande Sele baada ya hukumu ya LULU
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Nakumbuka vizuri saana mwaka 2006 yaani miaka miwili tu baada ya mimi...
Taarifa zilizotufikia usiku wa kuamkia leo zinaeleza kuwa Mtangazaji aitwaye Denis Rupia maarufu kama Chogo amefariki dunia.
Taarifa hizi zimetolewa na Meneja Mkuu wa EFM, Denis Ssebo jukwaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.