Amkeni is an album by Burundian singer-songwriter Bukuru Celestin and the jazz fusion group Snarky Puppy that was released in 2013. It is the first of two cooperative albums by Snarky Puppy and other performers that were recorded at the Jefferson Center in Roanoke, Virginia in 2013, with the second being Family Dinner – Volume 1.
Kama kuna aibu inayoinyemelea Halmashauri ya Mji Kibaha ni ubovu wa miundombinu ya barabara zake, na hasa zilizopo katikati ya Mji (Kata ya Maili Moja). Hii ni kero ya muda mrefu sana, kwa Halmashauri ya Mji Kibaha kushindwa kuweka vipaumbele vya ujenzi wa barabara za pembezoni na hasa katika...
Position: Saccos Manager
NATURE AND SCOPE
The successful candidate will be the Chief Executive Officer of the AMKENI SACCOS LTD and will report to the Board of Directors. He/she will be responsible for providing dynamic leadership, vision and direction of the SACCOS while ensuring an...
Tanganyika ilimilikiwa rasmi na Ujerumani tangu mwaka 1885 baada ya mkutano wa kugawana Afrika uliofanyika mjini Berlin nchini Ujerumani. Baada ya hapo Watanganyika walianza kutawaliwa rasmi na Mjerumu. Katika utawala wa Mjerumani, Mtanganyika aliondolewa kabisa majukumu ya uongozi na kazi hiyo...
Habari wanajukwaa!
Kuna Msemo Maarufu sana kwenye Lugha Yangu Adhimu ya KISUKUMA unasema "KASEKASEKA KA LILALILA" Ukiwa na Maana ya kwamba Utanitani Kama unachekacheka hivi Mwishoe utalia tu.
Wanasimba Chukueni huo msemo kaeni nao halaf angalien ZAMALEK Leo hii Kila Mtu anajipigia tu saiv wa 9...
Hii logo kusema na ukweli imekaa kizamani sana.kuna muda nikiangalia huwa najiuliza hivi yanga inamiliki mabondia wa ngumi na vilabu vya netball? Jibu ni hapana yanga inamiliki timu ya mpira ya wanaume na wanawake tu sasa hao wengine wanafanya nini hapo..pia huo mkanda hapo chini kama vile...
Sina Mengi zaidi ya kusema sote tumesoma Habari za Mchungaji wa huko mbeya kuhukimiwa miaka 3 kisa tu.
Ni usajili wa kanisa( ilikuwa Bado/au alinyimwa)Hivi kweli Tumefika Hapa Tz.
Japo kuwa Mwakipesile alikuwa anajiongelea mambo mengi yasiyo Kuwa na faida Angepuuzwa tu maana sio threat kwa...
Msanii Nay wa Mitego anahojiwa na jeshi la polisi Dar es Salaam kutokana na wimbo wake “AMKENI”
Bado najiuliza ni nani anamshauri Rais kutumia hii style kukabiliana na wote ambao hawamsifii?
Rais ni kweli umechangua njia hii? Kweli njia nii utaiweza? Utakamata na kuhoji wa ngapi?
Rais mbona...
Wakuu Azam tv hivi karibuni imeanza uhuni ambao lazima ukemewe!
Azam walijinasibu kuonyesha ligi ya ufaransa (Ligue 1) ligi ya ujerumani (bundesliga) ligi kuu ya Tanzania (NBC) na hivi karibuni wakasema na Ligue ya waarabu kwa kina Ronaldo ..
Ajabu Leo hii nimeona tena kesho wanaonyesha ligi...
Msanii huyu huenda akatekwa ama akafanyiwa figisu kubwa, ukweli daima amekua sauti ya walalahoi kwa muda mrefu, hata enzi za Magufuli hakufunga mdomo, alipaza sauti.
Ney wa Mitego, amerudi tena na ukweli mchungu, mtegee sikio kwa dakika 5 ameongea mengi ambayo hakuna kiongozi atafurahia maana...
Wimbo mpya wa Nay wa Mitego unaoitwa amkeni unaozungumzia sakata la Bandari, Ripoti ya CAG na ugumu wa maisha umefikisha watazamaji 71,000 na comments zaidi ya 2,000 ndani ya masaa 7 tu tangu uachiwe hewani
Jamani ifike wakati kuwe na mapaparazi wa maeneo nyeti yenye matukio na mazingira hatarishi. Stend ya daladala ilengwe itajwe kama eneo sensitive.
Kuna msongamano mkubwa sana wa binadam. Na vyakula mbogana vitoweo vikiuzwa eneo hili ni hatari sana na magonjwa ni rahisi sana kusambazwa jiji zima...
Dereva siku hizi anazima data akifika mbele anajifanya haoni kitu kwa System so anataka mkadiriane bei. Mwingine zile discount za mteja mpya wanakataa wakidai Bolt ofisi zimefungwa hapa nchini.
Kuna wakati kama mtumiaji hajielewi au haijui sehemu , dereva anachukua simu ya mteja kama...
Tanzanian tukiendelea na kulala huku tukisikiliza ngonjera za CCM.
Tutatengeneza familia maskini kupindukia huku familia za wanasiasa mambo yao yakiwa mazuri.
MTU akikunyima hela kakunyima Uhuru utabaki mtumwa na ombaomba kila siku.
Yale yanayoendelea Nchini na Majibu yanayotolewa na CCM ni...
Habari za asubuhi
Siku zinakwenda, mambo mengi yanabadilika, watanzania wanabadilika lakini hatari ni kwamba mifumo na miongozo ya vyama vingi vya siasa inabaki ileile ya kufanya mambo kwa mazoea.
Hivi, viongozi wa vyama vya siasa pinzani mlishawahi kujiuliza ni nini kipya mnaweza ambia...
New update . . . . 25.12.2022
Merry Christmas and Happy New Year 2023.
Umewahi kusikia kuhusu CMC Marketplace?
.
.
CMC Marketplace ni mfumo wa Soko la kutegemeana kwa wale wanaoamini kufanikiwa kwa kushikana mikono na kuinuana kiuchumi.
.
.
Watu wamejiunga kwenye mfumo huu, ili kufanya...
Video hapo juu ni mapokezi (maandamo) ya Zitto huko Tunduru na Polisi kabla ya hapo wali-fake kumzuia Zitto na baada ya simu moja ya maelekezo kusanyiko lile liliendelea na habari zake kama mnavyoona.
Hoja hapa ni kwanini jambo fanani na hilo likifanywa na Chadema huzuiliwa tena kwa nguvu ya...
Leo nimekuja Mwanza kikazi, baada ya kufika nikachukua chumba lodge x, nikaenda gereji kufanya service maana keshokutwa narudi Morogoro. Nikiwa pale gereji nikajaribu kudodosa kujua ntapataje company, fundi mmoja akanipa connection ya Telegram.😂
Nikawasiliana nayo ikanipa gharama zake na chumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.