Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
67 Reactions
23K Replies
2M Views
  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
49 Reactions
22K Replies
2M Views
  • Sticky
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona, tunazotaka kuziona. Karibuni. Tuanze na Hangover 2. Kwa mujibu wa Rotten Tomatoes naona...
16 Reactions
2K Replies
235K Views
  • Sticky
- Seven Pounds Official Movie Trailer HD
25 Reactions
5K Replies
501K Views
  • Sticky
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu.... Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki...
41 Reactions
2K Replies
668K Views
  • Sticky
YouTube - Kool & The Gang - Let's Go Dancing (Ooh, La, La, La) YouTube - Kool & The Gang - Get Down On It YouTube - Kool & The Gang - Celebration
45 Reactions
682 Replies
169K Views
  • Sticky
Album bora ya hiphop ya muda wote ni ipi? Msanii bora wa hiphop wa muda wote ni nani? Wimbo bora wa hiphop wa muda wote? History ya hiphop Records za hiphop Tafsri ya hiphop na utamaduni wa...
7 Reactions
261 Replies
83K Views
Episode 1: Introduction. Hii episode ya mwanzo itakua zaidi ni utangulizi (introduction) ya kujua watu na maana ya maneno yalivyotumika. Tutajitahidi ziwe ni posts fupi fupi ili isiwe tabu kwa...
11 Reactions
169 Replies
41K Views
Riwaya hii ni ya kubuni, hivyo mfanano wa matukio wa ndani ya Riwaya na maisha halisi unayoyaishi ni shabaha tu ya fikra za Mtunzi. karibuni nyote kwa wingi MABADUNI WA SERIKALI...
10 Reactions
134 Replies
17K Views
Bila kupoteza wakati. Nachelea kuwaletea cluh bangers kali ambazo mtu yeyote mwenye akili timamu akizisikia lazima aruke. 1. Notch_Nuttin no go so 2.sean Paul _ everblazing 3.t.o.k_ gal u a lead...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi naanza na zangu hapa 1. All night long ya lionel Richie 2. La isla Bonita ya Madonna 3. Nightshift ya the commodores 4. Joe le taxi ya vanessa paradis 5. Save the best for last ya vanessa...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Kuna wakati unaweza kusoma kitu ukabaki unajiuliza mambo mengi sana juu ya mwandishi wa kitu hicho. Aliwaza nini,alipata wapi hii stori,ana akili yenye uwezo gani hadi kuandika kitu hiki. Basi...
45 Reactions
413 Replies
46K Views
Frank Sinatra, John William Coltrane, Miles Dewey Davis au Dean Martin, wengine wanaweza kusema kuwa kuna mwamba Nat King Cole, au wakati mwingine Bing Crosby ila binafsi acha nimtaje Mzee wa kazi...
2 Reactions
1 Replies
76 Views
1. Darassa - Muziki 2. Dully sykes - Bongo fleva 3. Chid benz - Dar es salaam stand up
1 Reactions
49 Replies
452 Views
IBILISI RUDISHA FAHAMU ZETU(MIMI NA MKE WANGU). BY ISSAI SINGANO . (Singano jr). DIBAJI Saa saba mchana Frida alionekana akiingiza gari ndani ya hospitali na taasisi ya kitafiti ya Neuroscience...
2 Reactions
25 Replies
7K Views
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA MTUNZI:SINGANOJR . AGE:18+ NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346 PROLOGUE../DIBAJI...
31 Reactions
4K Replies
1M Views
Mimi naikubali hii Pig Black ft Ay - Mtoto wa mjini
5 Reactions
391 Replies
40K Views
Niaje wana hivi ni nyimbo gani nzuri ya zamani kuanzia miaka ya 2000hadi 2009. Ambayo ukiisikiliza unaona utofauti mkubwa ukilinganisha nailivyo sasa. Mi naanza na hizi: TID -zeze Profesa Jay ft...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
76 Reactions
12K Replies
3M Views
Habarin ndugu zangu ...mwenye riwaya ya mkimbizi soft copy naomba anisaidie
0 Reactions
1 Replies
77 Views
SURA YA 1 KWA mara nne mfululizo katika wiki ile, Luteni Maige alijiwa na ndoto ile ile usingizini. Aliamka kwa mshtuko, jasho likimtoka huku akihema kwa kasi. Safari hii, hata alipofumbua macho...
1 Reactions
14 Replies
568 Views
Maisha ni safari ndefu yenye kila aina ya changamoto, na hakuna mwanadamu yeyote azaliwaye kwenye sura ya dunia hii bila kuzipitia. Changamoto huja kwa nyuso tofauti-tofauti kwa kila mmoja, na...
4 Reactions
12 Replies
491 Views
1. Sitaki Demu - Juma Nature Nature alitoa kibao hiki mara baada ya kugombana na mpenzi wake Sinta 2. Inaniuma Sana - Juma Nature Chanzo cha wimbo huu ni kama ilivyokuwa hapo juu, Nature...
11 Reactions
36 Replies
4K Views
   Kuna wimbo flani hivi wa wanawake, Jokate kachukua wenzie wakaenda usafini wakapewa Mboso wakachora verse studio wakashusha kichupa, nilivyoona chakuwasifia wanawake, nikajua huko Tiktok...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
....01 Waswahili wanasema simulia sana ila omba yasikukute. Mwenzenu yamenikuta. Yaliyonikuta honeymoon sitakuja kuyasahau. Nilichofanywa milele kitabaki moyoni mwangu.Sitasahau kamwe. Naomba...
8 Reactions
70 Replies
13K Views
Miaka ya 1990 mpaka mwanzoni mwa mwaka 2000 tulipata kusikia nyimbo tamu sana kutoka Ughaibuni, nyimbo kama "Hold On" ya mwamba Wilson Phillips, au "It Must Have Been Love" kutoka kwa bendi ya...
3 Reactions
12 Replies
296 Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!. Kwanza kabisa nipende kuwashukuru wote ambao mmeendelea kuwa na mimi bega kwa bega tangia mwanzo wakati naanza kusimulia visa vya maisha yangu ambayo...
122 Reactions
7K Replies
1M Views
Back
Top Bottom