Wakuu habari za mida!
Nilinunua simu mkoa wa kigoma nikizani nmenunua samsung galaxy s10 plus... kumbe nmenunua docomo s10 plus sasa kinachonikera ni kuona ikiwaka inaonesha logo ya docomo bafala ya samsung inaonesha
Wakuu kama title inavyojieleza nina kitochi hapa huwa kinanisevu sana ku hotspot PC na simu yangu muda mwingine, sasa kinaboot kinaishia kwenye logo.
Nahitaji msaada namna ya kukiflash, hii ni mara ya pili kinarudia hili, mara ya kwanza kilitokea nikakipeleka kwenye Tigo shop yao Dodoma...
Ukicheki club nyingine kama Simba, Wydad, Mamelodi, Mazembe, Al Ahlyna nyinginez majina yao yameandikwa huku pembeni yake kuna logo isipokuwa Yanga na vitimu vingine vidogo
Najiuliza ni kuwa hawaifahamu logo ya Yanga au ni dharau?
Maana Yanga imecheza fainali ya Shirikisho na kuvaa medali...
Nyie mlidhani kwakuwa ni Mlevi na mvuta Bangi za Kwao Kinondoni Biafra, Kawe Kijiwe chake maarufu cha Unga Unga na Tandale Gereji wa Dula basi hajui Haki zake na Sheria hivyo mtamburuza tu mtakavyo?
Haya sasa kawapeni hadi mwisho wa Mwezi huu wa Oktoba, 2023 mumlipe Fedha zake anazodai na...
Hii logo kusema na ukweli imekaa kizamani sana.kuna muda nikiangalia huwa najiuliza hivi yanga inamiliki mabondia wa ngumi na vilabu vya netball? Jibu ni hapana yanga inamiliki timu ya mpira ya wanaume na wanawake tu sasa hao wengine wanafanya nini hapo..pia huo mkanda hapo chini kama vile...
Ni marufuku kuvaa nguo ya jeshi kama wewe sio mwanajeshi, lakini kwa heshima yako wewe mwana Kigoma, kwa heshima ya mashabiki wa Mashujaa Football Club, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Jenerali Jacob John Mkunda kakupa uhuru sasa utavaa Logo ya JWTZ kifuani kwako.
Hii ni heshima kubwa...
Salamu wakuu,
Najikongoja kuamka baada ya kupata anguko na ajali pia,nimeregister jina la baishara BRELA (wazawa general supplies limited).
Naomba msaada kwa mdau yoyote kunisaidia kutengeneza logo wakuu. WhatsApp number 0742666736 kwa mawasialiano zaidi.
Shukrani sana, Mungu awabariki!
Habari wanajf,
Kwa wanaohitaji huduma ya Logo/nembo kwa ajili ya Taasisi na Biashara Karibu nikuhudumie.
Vile vile nadesign Social media Posters Kwa ajili Ya kupost kwenye page ya biashara/taasisi kwenye mitandao ya Facebook, Instagram, Linkedin etc.
Bei za Logo ni 50, 000 TZSH
Bei za...
Biashara yangu ina Jina lakini haina Logo nimekua nikiwaza kuhusu hili muda mrefu lakini sikua nalipa kipaumbele sana ila sasa naona linaelekea kuni cost huko mbeleni.
Sina pesa wakuu naommba yeyote ataechukua MUDA wake kunipa design nzuri ya LOGO zile za motion kama maandishi ya ITV...
Habari? Nafanya Ubunifu wa Logo katika ubora unaoridhisha.. na pia unapata na offer ya letterhed Design na Business card au Tangazo la kupost mtandaoni.
BEI ZA LOGO
80K= Logo+B Card+Letter head (Softy Copy)
70K= Logo+B Card, Letter head au Tangazo (Softy Copy) kimojawapo
60K= Logo pekee
BEI ZA...
Wakati wa Majira ya Kiangazi mwaka 1991 huko nchini Marekani, Kampuni kongwe ya filamu ya Columbia Pictures iliyopo chini ya kampuni mama ya SONY ilikuwa imepata wazo la kubadilisha logo yake ya mwaka 1923 na kuweka mpya ili kujiongezea mvuto wa kibiashara.
Basi akatafutwa mbunifu wa masuala ya...
Kampuni ya Nokia imefanya mabadiliko ya mwonekano wa logo yake. Design ya logo ambayo imekuwa ikitumika tangu mwaka 1966, japo ilikuwa inabadilika kodogo (mwaka 1992, 2006 na 2011); kampuni ya Logo imeamua kuweka logo mpya kabisa ambayo ni tofauti na logo yake ya kawaida.
Nokia ipo katika...
Leo nitakuelekeza jinsi ya kutengeneza logo ya kampuni yako haya ya mtu bila kutumia ujuzi wowote!
fuatilia: Unahitaji kuwa na internet connection na smartphone au laptop.
1. Tutamia tool inaitwa chat gpt katika kutengeneza prompts. Kama huna account create hapa...
LOGO DESIGN
Bei:
50,000/=
2 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo.
70,000/=
3 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo.
BRAND IDENTITY
Bei:
Tsh 100 000/=
Logo, pamoja na patterns, matumizi ya rangi, na elements muhimu zinazobeba brand...
Ninaipongeza klabu ya Yanga kwa kuendelea kufanya vizuri kwenye ku design jezi. Jana zimezinduliwa jezi za kiwango haswa mpaka mashabiki wa Simba wakizitamani. Lakini moja ya jambo ambalo kwangu ni tata ni ishu ya logo ya main sponsor wa mashindano ya Caf inter club ambaye ni total energies...
From mnyilinga editing team Hellow guys pengine unahitaji logo kari na matangazo tuko kwa kazi hiyo
Kazi zetu utazipenda na gharama ni ndogo sana kwa ku design logo tuna vunja vunja bei ni sawa na bureee !!
Karibu sana ujipatie huduma zote za logo designing na matangazo na editing nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.