Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 83
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,
- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.
- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.
- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.
Ahsante Sana Wakuu.
William. - Community Organizer (CO)
Ni mara ngapi hapa NN anavunja habari? Nadra sana...so that should tell you something
....maskini Yo Yo... daah!!
FMES alikuwa mtoa dataz huko, anajua watu waliokuwa wametundikwa utamu wao na dada zao. Kazi ipo.
Hatujawa tishio bado, not to that extent ama sivyo Invisible angekiona cha mtema kuni.
Ha ha haaa! Bandwidth ni capacity Mkuu, huwa haiishi, ila labda ulitaka kumaanisha kuwa "mnatumalizia memory zetu". Bandwidth ni kama upana wa barabara, yaani uwezo wa barabara kupitisha magari kadhaa katika lane zake kwa sekunde. Kumbuka upana wa barabara hauwezi kupungua eti kwa sababu magari yamepita mengi kwa wakati mmoja (sekunde) katika specific point ya barabara. Ila magari hayo yanaweza kwenda kumaliza parking (memory) kama yanaenda kupark sehemu moja (server). Kitakachotokea ni kwamba magari yatalazimika kupunguza mwendo (network speed) ili yaweze kuwa accomodated yote (Burn, Opaque, NN, Shy, Invisible na user/guest wengine wote) Nadhani umeona tofauti, ila sema imejitokeza kwenye thread ya Utamu, ilibidi iwe kule kwenye Teknolojia, lakini tatizo wengi huwa hampiti kule, kuna mambo mazuri akina Shy wanayaweka!Hivi jamani mboni hivyo?huwa mnasoma kweli hii post leo imekwisha tumwa zaidi ya mara mbili na wewe unaendelea tu ku post.Acheni hizo mnatumalizia bandwith zetu LOL
SteveD unatania kuhusu YOYO au unasema kweli? Kwamba huyo njemba hapo juu ndiye huyo huyo YOYO aliyewahi kuwa mwanachama hapa.
Nataka niulize ile Grobalpublishers nayo vp haiwachafui watu? au hii kwa vile ipo home tu hapa hapa? au wale wanarekebisha tabia za watu? Au mpaka aandikwe waziri mkuu basi watu mtafunguka macho kuwa wana wananga watu?
Kwenye hili la zeutamu, nawahakikishieni Tanzania haiwezi kufanya lolote kwa sababu mbili kuu,
1. Tanzania hatuna any Cyber Legistlation. Yaani hatuna sheria ihusuyo mambo ya
mtandao, hata akikamtwa atashitakiwa kwa sheria gani?.
2. Kama kosa limetendeka nje ya mipaka ya Tanzania, mahakama za Tanzania hazina any jurisdiction za kusikiliza shauri lililofanyika nje ya Tanzania. Uthibitisho wa hili mtaushudia hivi karibuni kwenye kesi ya Prof. Mahalu jinsi ule ushahidi wa mtandao utakavyo pigwa chini kwa sababu sheria yetu ya ushahidi "Evidence Law"haiutambui ushahidi wa aina hii.
Kitu ambacho serikali inaweza kufanya ni kumshitaki huko huko aliko, kosa la kweli ni kama angeweka picha za watoto under "child pornography" lakini hizi za mtu mzima, sijui.
Kisa hiki cha zeutamu sasa ndio kitatufungua macho tuko nyuma kiasi gani, Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976 haiwezi lolote hapa ni kapa kapa kapa tupu.
- Heshima kwa wakuu wote JF,in another few hours nitatoa tamko langu binafsi na rasmi on this ishu. For the last Four days nimekua na majadiliano mazito sana between forces close to this ishu, na hasa founder wa JF Mkulu Max, ninaamini leo ni wakati muafaka nikasema something, nitarudi soon.
Ahsanteni.
William - Community Organizer (CO)
to me, hapa kuna hidden information:- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,
- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.
- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.
- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.
Ahsante Sana Wakuu.
William. - Community Organizer (CO)
Kwa unasema leo nikiamua kuanzisha website inayomkashifu rais, na nchi kwa ujumla, haitakuwa kosa? Na je under private law - civil liability - defamation, Kikwete na wengine wote hawana kesi hapo? Sidhani kama sheria itashindwa kumkamata, labda wanasheria wa serikali wachoke tu. Na pili, serikali inaweza kupitisha sheria in the meantime bungeni.