Ze Utamu blogger under arrest?

Ze Utamu blogger under arrest?

Status
Not open for further replies.
Hili nalo neno!

Global Publishers walikuwa wanachota picha, maneno na uzushi huko Ze Utamu na kuchapa kwenye Ijumaa, Kiu n.k..Wao sijui nao itakuwa vipi.

Nashangaa watu wanawaona kama hawa jamaa wapo right kuchafua raia wema angalia kwa mfano leo wametoa Jide na Gadner wameng'ang'aniana midomo sijui wazazi na watoto wanao angalia picha kama zile wanapata fundisho gani hapo na watu humu humu wapo kimyaaaaaaaa wanasubili aonyeshwe Pinda au Sitta basi wataanza kusema jamaa wa GPL hawaja tenda haki sijui haki ni kwa mkubwa tu?
 
Nashangaa watu wanawaona kama hawa jamaa wapo right kuchafua raia wema angalia kwa mfano leo wametoa Jide na Gadner wameng'ang'aniana midomo sijui wazazi na watoto wanao angalia picha kama zile wanapata fundisho gani hapo na watu humu humu wapo kimyaaaaaaaa wanasubili aonyeshwe Pinda au Sitta basi wataanza kusema jamaa wa GPL hawaja tenda haki sijui haki ni kwa mkubwa tu?

Fidel, while i agree na issue nyingi against magazeti ya GP, but i think you're going overboard with your example. Jide na Gadner kung'ang'aniana kulishuhudiwa hata na wazazi wao na wanafamilia wote wakati wa kusimika fungato walimo.

They're married, aren't they?!
 
Fidel, while i agree na issue nyingi against magazeti ya GP, but i think you're going overboard with your example. Jide na Gadner kung'ang'aniana kulishuhudiwa hata na wazazi wao na wanafamilia wote wakati wa kusimika fungato walimo.

They're married, aren't they?!

hehehe haya Steve...
Lakini wameolewa kwa nini hawa jamaa sasa wawaweke hadharani kama mtu anajilia kuku wake kama mnavyo sema kuku wako mwenyewe manati ya nini?
 
hehehe haya Steve...
Lakini wameolewa kwa nini hawa jamaa sasa wawaweke hadharani kama mtu anajilia kuku wake kama mnavyo sema kuku wako mwenyewe manati ya nini?

Nakupata Fidel...

Kwenye madhehebu yetu na hata kwenye ndoa za usajiri, pale mfungisha harusi anaposema "you may now kiss the bride" mbele ya kadamnasi nadhani hayo yote yanakuwa halal baada ya hapo. Iwapo utamaduni wetu unapingana na hili, basi waondoe kipengele kama hicho kwa wafungisha ndoa.
Baadae mkuu.
 
Tatizo ni kwamba, tuna assume kwamba Tanzania inafuata sheria.Hasha.

Tanzania, hata kama kuna sheria ya kukufunga, nyota zako zikikaa sawa (familia, hela, influence etc) hufungwi ng'o, na ukifungwa yatapigwa makeke hata msamaha wa rais utatolewa. Na hata kama hakuna sheria ya kukufunga, wakikutaka watakupata tu, kwa chochote, utapigwa na trumped up charges ambazo zitazifanya za kodi za Pacino kuonekana child play.

Huyu bwana ana advantages za familia na uraia, lakini anakosemwa kugusa ni kubaya sana (Kikwete) kiasi kwamba hata familia nayo inabidi iende pole pole, ama sivyo itaonekana kama ilimtuma. Salvation yake nyingine ni uraia, lakini uraia huu wa kuchukua ukubwani waingereza wenyewe wanaweza kusema huyo mwanenu tumekurudishieni hatutaki beef na serikali yenu, especially zama hizi za ushirikiano mzuri wa law enforcement, kesho keshokutwa na sie tukiwataka kina Ghailani wetu msituwekee ntimanyongo, a fvaor for a favor.Kwa hiyo issue ya uraia kama hana base ya ku rally behind him (I am talking British citizens) watakaoandikia MPs wao na ku spin mambo ya human rights / freedom of speech violation, inaweza kuwa haina nguvu.Mara ngapi British subjects wanaoza Thailand kwa sababu ya ma drug deals? Tatizo linakuja kama kweli crime ilifanyika it can be debated kwamba haikufanyika Tanzania kwa maana ya kwamba servers zilikuwa Britain, lakini Watanzania kwa sababu hatuna precedent wanaweza kujinafasi na kusema the internet is bordeless na as long as broadcast/ publications zako zimefika Tanzania then you are liable to be tried in Tanzania under Tanzanian law.

At the end of the day I am convinced the guy will suffer but hardly do I imagine him doing time. Ila ndiyo kashatia doa kishenzi tu.

Sidhani kama kuwa mwananchi wa nchi nyingine ni taabu. Otherwise kungekuwa na loophole kubwa sana kwenye system ya sheria dunia nzima. Ishu ya crime imefanyikia wapi ndo inaweza kuwa debated. Na inaweza ku-work in favour ya Tanzania, kama wakiweza ku-argue kitendo hicho kilifanyikia Tanzania. Hapo itabidi waangalia sheria za cyberspace, zinatambua hiyo criminal act imefanyikia wapi? I would imagine ingekuwa sehemu mtu huyo alipo-upload na kufanya iwe accessible to others. Which in this case itakuwa Uingereza. Kwa hiyo ni jurisdiction ya Uingereza. na je sheria ya cybernet Uingereza inaruhusu kudhalilishwa kwa watu? Kama sivyo, si afunguliwe mashtaka huko? Tena ndo kutakuwa na chance nzuri ya a cleaner trial. Waje wachukue statements za wahudhurika bongo, kesi isomwe Uingereza. Mwisho wa siku, sheria will have done its job and we will all live in a happier place, happily ever-after, end of story...
 
Hivi vichekesho kweli!
Yaani mnaamini mwingereza anaweza akawa deported kienyeji enyeji hivo?
Kuna yule alihack computer za PENTAGON! Wamarekani wanataka awe deported ashitakiwe marekani, mpaka leo wanabishana mahakamani.

Ndio iwe hii ya kuweka picha za mtu online?? Eti kwa vile TZ tumewaomba? Tena ukifanya google news search hakuna habari yoyote from credible source inayomzungumzia huyu jamaa, yaani mwingereza awe deported bila mtu yoyote kuripoti? Habari ya Global Voices inatutumia sisi kama source!! lol!
 
Something doesn't add up....



to me, hapa kuna hidden information:

1. Kwa nini ajiweke kando kutoka mitandaoni?
2. Kasema mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje? Kwani sasa ivi ikoje?
3. Four days amekuwa na majadiliano, huku habari imekuja humu ndani juzi...so he must have had knowledge on this pre-released here on JF.
4. Presha toka kwa Pilato ina maana gani? Pilato sio hakimu?
5. I should stay out of this mess - kama ni uongo na habari za kutunga, how is it a mess? Au unamaana kuna kitu kimeshaharibika na kuchafua hali?
6. Kumalizia statement kwa kusema lisemwalo lipo, kama halipo basi linakuja, unaongelea kuhusu jamaa wa utamu kukamatwa au kuhusu Peter kuhusishwa?

just my take on this...Pole kwa wote walioumizwa na zeutamu, na pole kwa familia pia.

Thanks Mtoto;

Kuna swali niliuliza kuhusu jamaa wawili/mmoja memba wa JF atakuwaje hili soo likisettle... I meant it and good that answers are slowly coming up. KARMA RULES,,,,

Any kind of abuse unacceptable!! I hope this (whether its Lusinde or not being responsible for UTAMU) will change out mindset when it comes to cyberbullying etc
 
Hivi vichekesho kweli!
Yaani mnaamini mwingereza anaweza akawa deported kienyeji enyeji hivo?
Kuna yule alihack computer za PENTAGON! Wamarekani wanataka awe deported ashitakiwe marekani, mpaka leo wanabishana mahakamani.

Ndio iwe hii ya kuweka picha za mtu online?? Eti kwa vile TZ tumewaomba? Tena ukifanya google news search hakuna habari yoyote from credible source inayomzungumzia huyu jamaa, yaani mwingereza awe deported bila mtu yoyote kuripoti? Habari ya Global Voices inatutumia sisi kama source!! lol!

Unajua hata terrorist Abu Hamza mpaka leo bado yupo UK ingawa US kila siku wanamtaka eende kwao akajibu tuhumu.Kumchukua mtu UK- raia huko..bana kazi kubwa si kihivyo kama watu wanavyodhania.
yetu macho na masikio
 
Nyani Ngabu vp mbona sikioni umeingia mitini Komredi?
Serikali imeshindwa kurudisha pesa za rada huko visiwa vya U.K eti inaomba kumkamata ze utamu kha! jamani hivi wameshindwa hata kuwashughulikia walio kula pesa za EPA kupitia KAGODA wanahangaika na ze utamu.... huyo mwacheni mbona bushi amechafuliwa sana kwa mtandao sijawahi sikia USA inahangaika kuwatafuta wamiliki....jamani tujadili maendeleo ze utamu mwacheni atajifia mwenyewe.
Tuanze na pesa za rada watuambie wamewaomba interpool kusaidia sehemu waliyo ficha? watu eleze wamesha waomba interpool kujua vile vijisenti vimeishia wapi vya kule kwenye kisiwa?Jamani msiwe na uchungu na mzee Utamu mpaka achafuliwe rais ndo mnajidai kufuatilia kwa makini? Dadaangu ametundikwa pale hamkuomba hata serikali imtafute haya jama mkae mkijua mnawapa watu ulaji kwenye hili dili la kumtafuta ze utamu mtakapo kuja kuambiwa zimetumika bilioni 35 kumsaka ze utamu duniani popote pale msibaki vinywa wazi. Tushukuru tu mtandao umesha fungwa basi watu wapo na amani sasa.
Nataka niulize ile Grobalpublishers nayo vp haiwachafui watu? au hii kwa vile ipo home tu hapa hapa? au wale wanarekebisha tabia za watu? Au mpaka aandikwe waziri mkuu basi watu mtafunguka macho kuwa wana wananga watu?
Kwa herini narudi kujiexpress Komredi tutaonana nyumbani.

Nipo nipo Komredi. Naona kampeni za damage control zishaanza. Who didn't see that coming.
 
...Naona kampeni za damage control zishaanza. Who didn't see that coming.

Thanks kwa kuanika ukweli, they are now seating at the backstage... planning a "comeback - comeclean" move!!!
 
Kwa unasema leo nikiamua kuanzisha website inayomkashifu rais, na nchi kwa ujumla, haitakuwa kosa? Na je under private law - civil liability - defamation, Kikwete na wengine wote hawana kesi hapo? Sidhani kama sheria itashindwa kumkamata, labda wanasheria wa serikali wachoke tu. Na pili, serikali inaweza kupitisha sheria in the meantime bungeni.

Larry Flint wa Hustler akianzisha ZeUtamu yake na kuendeleza libeneke hao Usalama wa taifa uchwara watakuja kumkamata na kumpeleka bongo kumfungulia mashitaka?

I swear hakuna kesi dhidi ya huyu mtuhumiwa. Ikiwepo watakuwa wanalazimisha kitu ambacho hakitanishangaza.
 
Larry Flint wa Hustler akianzisha ZeUtamu yake na kuendeleza libeneke hao Usalama wa taifa uchwara watakuja kumkamata na kumpeleka bongo kumfungulia mashitaka?

I swear hakuna kesi dhidi ya huyu mtuhumiwa. Ikiwepo watakuwa wanalazimisha kitu ambacho hakitanishangaza.

Kuna tofauti za kuweka picha za uchi za watu walio-consent, na kuweka picha za uchi za raia mwema, na zaidi kuweka photoshopped pictures za mtu. I think defamation is an option hapa! Tena wampeleke huko Uingereza maana defamation yao ipo well developed! Criminal law ya Tz sijui sana, na Uingereza itabidi waangalia katika hiyo cybernet act, nk. But you simply cant say he has no case to answer! Posting nude pictures of innocent civilians katika mtandao usiwe na kesi?! Hii ni tofauti sana na Hustler na Playboy. Two different games hapa.
Na mkisema freedom of speech...it comes with limitations my friend. What speech were you trying to make with such images? Ulitaka kusema Kikwete is gay? Ulitaka kusema hao wengine ni makahaba? hahaha...atalia mwenyewe! But kusema hana kesi...nadhani ni ku-strech hii sasa.
 
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,

- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.

- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.

- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.

Ahsante Sana Wakuu.

William. - Community Organizer (CO)

Billy,

Asante sana kwa kutupa ukweli katika hili, kwani kila pembe ya dunia watanzania walikuwa wana amini kabisa kwamba nduguyo ndiye muhusika na ameshakamatwa na vyombo vya dola.

Kauli yako inachukuliwa kwa uzito wote tokana na ukweli kwamba wewe ni mtoto wa kwanza wa kiume katika familia ya mzee malecela, hivyo ni msemaji wa familia.
 
Kuna tofauti za kuweka picha za uchi za watu walio-consent, na kuweka picha za uchi za raia mwema, na zaidi kuweka photoshopped pictures za mtu.

No, hukunielewa. Nilikuwa na maana kuwa vipi Larry Llint akianzisha blog yake kama hiyo ya Utamu halafu wabongo wakawa wanapeleka picha kama walizokuwa wanapeleka huko Utamu original. Bush, Mama Clinton, Blair, Queen Elizabeth, etc. wote wameshakuwa photoshoped na kama unabisha sema nikuwekee ma link hapa uone jinsi watu walivyokuwa diabolic

I think defamation is an option hapa! Tena wampeleke huko Uingereza maana defamation yao ipo well developed! Criminal law ya Tz sijui sana, na Uingereza itabidi waangalia katika hiyo cybernet act, nk.

Kwa hiyo wakimpeleka huko Uingereza kesi itakuwa ya nani dhidi ya nani?

But you simply cant say he has no case to answer! Posting nude pictures of innocent civilians katika mtandao usiwe na kesi?! Hii ni tofauti sana na Hustler na Playboy. Two different games hapa..

Hahahaha...kuna mambo mengi hapa. Kwanza inategemea hizo nude pictures zimepatikanaje (mambo ya Privacy laws na private vs public place). Kama hizo picha zilipigwa kutoka kwenye public place hakuna kesi hapo. Kama privacy ya mtu ilikuwa intruded, then that's something else. Bottom line, the case against him is weak.
 
Nafuu alivyokamatwa sasa tutapumzika

James,
Pole sana kwa kutokupumzika muda mrefu. Ila nakuomba kaza buti maana JINI litarudi na vichwa vingi sasa. Na likija tena, litakuwa baya kuzidi la mwanzo. Vijana wa Tanzania, nje na ndani watakuwa wamepata kitu cha kujionyesha JINSI WALIVYO GURU wa IT. Kama huamini, wee subiri kidogo na utakubali maneno yangu siku moja.

Hebu angalia jinsi George Michael anavyotesa kwenye hii Clip na PM wa Uk, malikia na George Bush :-
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=ji3XgKTziUQ"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]
 
No, hukunielewa. Nilikuwa na maana kuwa vipi Larry Llint akianzisha blog yake kama hiyo ya Utamu halafu wabongo wakawa wanapeleka picha kama walizokuwa wanapeleka huko Utamu original. Bush, Mama Clinton, Blair, Queen Elizabeth, etc. wote wameshakuwa photoshoped na kama unabisha sema nikuwekee ma link hapa uone jinsi watu walivyokuwa diabolic



Kwa hiyo wakimpeleka huko Uingereza kesi itakuwa ya nani dhidi ya nani?



Hahahaha...kuna mambo mengi hapa. Kwanza inategemea hizo nude pictures zimepatikanaje (mambo ya Privacy laws na private vs public place). Kama hizo picha zilipigwa kutoka kwenye public place hakuna kesi hapo. Kama privacy ya mtu ilikuwa intruded, then that's something else. Bottom line, the case against him is weak.

Am afraid the law has changed. Public taken photos in certain circumstances be held to be intrusion of privacy. Hiyo ni kesi ya Hosking v Runting - google uisome vizuri.

Kuhusu plaintiff, kwani kesi ya defamation inakuwa nani v nani mkuu? Si a private law...so it can be Kikwete, it can be the individuals who can prove its effect on them, it can also be the government kama inataka kuhusika. Nadhani unaweza hata ku-pool plaintiffs wengi pamoja, kwa mfano kesi za makampuni ya sigara marekani, au kosa linapoathiri wengi, kama zile kesi za asbestos miaka ya 70s.

Kwa mtu ku-photoshop picha moja na kusambaza ni tofauti na kutengeneza website inayoweka hizo picha na kusambaza kila siku. Hapo nadhani ndo unavuka mpaka, au sio? Maana moja, hawatatumia resources kutafuta culprit, lakini ukifanya iwe biashara sasa...duh, sidhani kama watakusamehe. I would imagine mtu huyo angeshukiwa na private lawsuits mpaka alie!
 
Kuhusu plaintiff, kwani kesi ya defamation inakuwa nani v nani mkuu? Si a private law...so it can be Kikwete, it can be the individuals who can prove its effect on them...
Na tumeshaambiwa kuwa kuna malalamiko zaidi ya 6800
 
Am afraid the law has changed. Public taken photos in certain circumstances be held to be intrusion of privacy. Hiyo ni kesi ya Hosking v Runting - google uisome vizuri.

Jurisdiction jurisdiction jurisdiction! Hiyo kesi ulioi cite ni ya wapi?

Kuhusu plaintiff, kwani kesi ya defamation inakuwa nani v nani mkuu? Si a private law...so it can be Kikwete, it can be the individuals who can prove its effect on them, it can also be the government kama inataka kuhusika. Nadhani unaweza hata ku-pool plaintiffs wengi pamoja, kwa mfano kesi za makampuni ya sigara marekani, au kosa linapoathiri wengi, kama zile kesi za asbestos miaka ya 70s.

The case against him is weak. All he needs is representation like this and game over:[ame="http://www.youtube.com/watch?v=fSS9lxU9Wy0"]YouTube - Johnny Cochran closing arguments[/ame]

Kwa mtu ku-photoshop picha moja na kusambaza ni tofauti na kutengeneza website inayoweka hizo picha na kusambaza kila siku. Hapo nadhani ndo unavuka mpaka, au sio? Maana moja, hawatatumia resources kutafuta culprit, lakini ukifanya iwe biashara sasa...duh, sidhani kama watakusamehe. I would imagine mtu huyo angeshukiwa na private lawsuits mpaka alie!

The plaintiff(s) will have to prove that he (the defendant) commercially gained from publishing those pictures. Sorry, but the whole thing looks ridiculous to me.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom